< Job 19 >

1 But Job answered and said:
Ndipo Ayubu akajibu na kusema,
2 How long will ye vex my soul, And break me in pieces with words?
lini mtanifanya mimi kuteseka na kunivunja vunja mimi vipande vipnde kwa maneno?
3 These ten times have ye reviled me; Without shame do ye stun me!
Mara kumi hivi mmenishutumu mimi; ninyi hamuoni aibu kwamba mmenitendea mimi kwa ukatili.
4 And be it, indeed, that I have erred, My error abideth with myself.
Kama ni dhahiri kweli mimi nimekosa, makosa yangu hubaki kuwa wajibu wangu.
5 Since, indeed, ye magnify yourselves against me, And plead against me my reproach,
Kama ni dhahiri ninyi mtajiinua juu yangu mimi na kuutumia uvumilivu wangu kunipinga mimi,
6 Know then that it is God who hath brought me low; He hath encompassed me with his net.
kisha ninyi mnapaswa kutambua kwamba Mungu amefanya mabaya kwangu mimi na amenikamata mimi katika mtego wake yeye.
7 Behold, I complain of wrong, but receive no answer; I cry aloud, but obtain no justice.
Tazama, Mimi ninalia kwa sauti, “dhuluma!” lakini sipati jibu. Mimi ninaita kwa ajili ya msaada, lakini hakuna haki.
8 He hath fenced up my way, so that I cannot pass, And hath set darkness in my paths.
Yeye ameiwekea ukuta njia yangu, ili kwamba mimi nisiweze kupita, na yeye ameweka giza katika njia yangu.
9 He hath stripped me of my glory, And taken the crown from my head.
Yeye ameniondoa Mimi kutoka katika utukufu wangu, na ameichukua taji kutoka kwenye kichwa changu mimi.
10 He hath destroyed me on every side, and I am gone! He hath torn up my hope like a tree.
Yeye amenivunjavunja mimi chini kwa kila upande, na Mimi nimetoweka; yeye amelikokota juu tumaini langu kama mti.
11 He kindleth his anger against me, And counteth me as his enemy.
Yeye pia ameiongeza ghadhabu yake dhidi yangu mimi; yeye ananihesabu mimi kama mmoja wa adui zake.
12 His troops advance together against me; They throw up for themselves a way to me, And encamp around my dwelling.
Majeshi yake huja juu pamoja; wao wananikosesha tumaini kwa kuniteka nyara kwa kundi kubwa kupigana na mimi wakizunguka hema yangu.
13 My brethren he hath put far from me, And my acquaintance are wholly estranged from me.
Yeye amewaweka ndugu zangu mbali kutoka kwangu mimi; watu wangu wa karibu wote wamejitenga kutoka kwangu mimi.
14 My kinsfolk have forsaken me, And my bosom friends have forgotten me.
Vizazi vyangu vimeniangusha mimi; rafiki zangu wa karibu wamenisahamu mimi.
15 The foreigners of my house, yea, my own maid-servants, regard me as a stranger; I am an alien in their eyes.
Wale ambao mwanzoni walikaa kama wageni ndani ya nyumba yangu na watumishi wangu wa kike, hunihesabu mimi kama mgeni. Mimi nimekuwa mgeni katika macho yao.
16 I call my servant, and he maketh no answer; With my own mouth do I entreat him.
Mimi ninamwita mtumishi wangu, lakini yeye hanipi jibu japokuwa Mimi nimemsihi yeye kwa midomo yangu.
17 My breath is become strange to my wife, And my prayers also to my own mother's sons.
Pumzi yangu mimi ni chukizo kwa mke wangu; Hata mimi ninachukiwa na wale ambao walizaliwa kutoka katika tumbo la mama yangu mimi.
18 Even young children despise me; When I rise up, they speak against me.
Hata watoto wachanga wananichukia mimi; ikiwa Mimi nitainuka kuzungumza, wao huzungumza dhidi yangu mimi.
19 All my bosom friends abhor me, And they whom I loved are turned against me.
Rafiki zangu wote ninaowazoea wananichukia sana mimi; wale ambao Mimi ninawapenda wamegeuka kinyume na mimi.
20 My bones cleave to my flesh and my skin, And I have scarcely escaped with the skin of my teeth.
Mifupa yangu inashikamana kwenye ngozi yangu na kwenye mwili wangu; Mimi ninaishi tu kwa ngozi ya meno yangu.
21 Have pity upon me, O ye my friends! have pity upon me; For the hand of God hath smitten me!
Iweni na huruma juu yangu mimi, muwe na huruma juu yangu mimi, rafiki zangu, kwa maana mkono wa Mungu umenigusa mimi.
22 Why do ye persecute me like God, And are not satisfied with my flesh?
Kwa nini mnanitesa mimi kama ninyi mlikuwa Mungu? kwa nini hamjatosheka bado kwa kula mwili wangu?
23 O that my words were now written! O that they were marked down in a scroll!
Laiti, hayo maneno yangu yangekuwa yameandikwa chini! Laiti, hayo yangekuwa yameandikwa katika kitabu!
24 That with an iron pen, and with lead, They were engraven upon the rock for ever!
Laiti, kwa kalamu ya chuma na risasi hayo yangekuwa yamechorwa katika mwamba siku zote!
25 Yet I know that my Vindicator liveth, And will hereafter stand up on the earth;
Lakini kama ilivyo kwangu mimi, Mimi ninafahamu kwamba mkombozi wangu anaishi, na kwamba hata mwisho atasimama katika nchi;
26 And though with my skin this body be wasted away, Yet without my flesh shall I see God.
baada ya ngozi yangu, hivyo ndivyo, mwili huu, unaharibiwa, ndipo katika mwili wangu mimi Nitamwona Mungu.
27 Yea, I shall see him my friend; My eyes shall behold him, and not another: For this, my soul panteth within me.
Mimi nitamwona yeye kwa macho yangu mwenyewe-Mimi, na siyo mtu mwingine. Moyo wangu hushindwa ndani yangu mimi.
28 Since ye say, “How may we persecute him, And find grounds of accusation against him?”
Kama mnatasema, 'Kwa jinsi gani tutamtesa yeye? Mzizi wa mahangaiko yake unakaa katika yeye;
29 Be ye afraid of the sword! For malice is a crime for the sword; That ye may know that judgment cometh.
ndipo uwe umeogopeshwa kwa ule upanga, kwa sababu ghadhabu huleta hukumu ya upanga, hivyo kwamba wewe uweze kutambua kuna hukumu.”

< Job 19 >