< Isaiah 31 >
1 Woe to them that go down to Egypt for help, And put their trust in horses, And confide in chariots, because they are many, And in horsemen, because their number is great, But look not to the Holy One of Israel, And resort not to Jehovah.
Ole wao washukao Misri kuomba msaada na kutegemea farasi, kuweka imani katika magari (maana wako wengi) na ( maana faras haziesabiki). Lakini hawausiani na Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Yahwe!
2 Yet he, too, is wise; He will bring evil, and not take back his words; He will arise against the house of the evil-doers, And against the help of them that do iniquity.
Lakini ni mwenye busara, na ataleta maafa na atakanusha maneno yake. Na atakuja juu ya nyumba zitendazo maovu, na dhidi ya wale wanaowasaidia kuteda dhambi.
3 The Egyptians are men, and not God, And their horses are flesh, and not spirit. When Jehovah shall stretch forth his hand, Then shall the helper fall, and the helped be overthrown; And they shall all perish together.
Misri ni mtu na sio Mungu, ni farasi wa mwili na sio wa roho. Yahwe atakapota nje kwa mkono wake, wote waliowasaidia watakuwa na mashaka, na yeyote atakayesidia atanguka; wote kwa pamoja watatoweka.
4 For thus hath Jehovah said to me: As when the lion and the young lion growl over their prey, And a multitude of shepherds is called forth against him, By their noise he is not terrified, Nor by their tumult disheartened; So shall Jehovah of hosts come down to fight for mount Zion, and her hill.
Hivi ndivyo Yahwe alivyosema na mimi, '' kama simba, na hata mtoto wa simba, hunguruma juu ya mawindo yake, pale makundi ya wachungaji yanapoita dhidi yake, lakini hatatemeka kwa sauti zao, wala hatakwenda kwa sababu ya kelele zao, hivyo Yahwe wa majeshi atashuka kupigana kwenye mlima Sayuni, katika kilima hicho.
5 As birds hover over their young, So shall Jehovah of hosts defend Jerusalem; He will defend and deliver, spare and save.
Kama ndege apaavyo, hivyo Yahwe wa majeshi atailinda Yerusalemu; atailinda na kuiokoa kama apitavyo juu na kuilinda.
6 Turn, O ye children of Israel, To him from whom ye have so deeply revolted! For in that day shall every one cast away his idols of
Mrudieni yeye kutoka huyo mliyemgeukia, watu wa Israeli.
7 silver and his idols of gold, Which your hands have made for sin.
Maana katika siku hiyo kila mmoja ataondoa miungu ya fedha na miungu ya dhahabu iliyotegenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
8 The Assyrian shall fall by a sword not of man, Yea, a sword not of mortal shall devour him; He shall flee before the sword, And his young warriors shall be slaves.
Asiria atangamizwa kwa upanga; na upanga usioshikiwa na mtu utumaliza yeye. Ataukimbia upanga, na vijana wake wadogo watafanyishwa kazi ngumu.
9 Through fear shall he pass beyond his stronghold, And his princes shall be afraid of the standard. Thus saith Jehovah, who hath his fire in Zion, And his furnace in Jerusalem.
Na watashindwa kujiani kwa sababu ya hofu, na mkuu wao ataogopa mbele ya bendera ya jeshi la Yahwe.''- Hili ni tamko la Yahwe, ambao moto uko Sayuni na ambayo sufuria ya moto iko Yerusalemu.