< Psalms 85 >

1 [For the Chief Musician. A Psalm by the sons of Korah.] YHWH, you have been favorable to your land. You have restored the fortunes of Jacob.
Yahwe, wewe umeonesha fadhilia kwenye nchi yako; umeurejesha ustawi wa Yakobo.
2 You have forgiven the iniquity of your people. You have covered all their sin. (Selah)
Umesamehe dhambi ya watu wako; umezisitiri dhambi zao zote. (Selah)
3 You have taken away all your wrath. You have turned from the fierceness of your anger.
Umeondoa ghadhabu yako yote; umeiacha hasira yako kali.
4 Restore us, God of our salvation, and cause your indignation toward us to cease.
Uturejeshe sisi, Ee Mungu wa wokovu wetu, na uikomeshe chuki yako juu yetu.
5 Will you be angry with us forever? Will you draw out your anger to all generations?
Je! Utaendelea kuwa na hasira juu yetu milele? utadumisha hasira kizazi chote kijacho?
6 Won't you revive us again, that your people may rejoice in you?
Je, hautatuhuisha tena? Kisha watu wako watafurahia katika wewe.
7 Show us your loving kindness, YHWH. Grant us your salvation.
Utuoneshe sisi uaminifu wa agano lako, Yahwe, utupe sisi wokovu wako.
8 I will hear what God, YHWH, will speak, for he will speak peace to his people, his faithful ones; but let them not turn again to folly.
Nitasikiliza yale Yahwe Mungu asemayo, maana yeye atafanya amani pamoja na watu wake, wafuasi wake waminifu. Lakini lazima wasirudi tena katika njia za kipumbavu.
9 Surely his salvation is near those who fear him, that glory may dwell in our land.
Hakika wokovu wake u karibu na wale wanao mwabudu yeye; kisha utukufu utabaki katika nchi yetu.
10 Mercy and truth meet together. Righteousness and peace have kissed each other.
Uaminifu wa agano na uaminifu vimekutana pamoja; haki na amani vimebusiana.
11 Truth springs out of the earth. Righteousness has looked down from heaven.
Uaminifu unatoa chemchem kutoka ardhini, na haki hutazama chini kutoka mawinguni.
12 Yes, YHWH will give that which is good. Our land will yield its increase.
Ndiyo, Yahwe atatoa baraka zake njema, na nchi itatoa mazao yake.
13 Righteousness goes before him, And prepares the way for his steps.
Haki itaenda mbele zake na kufanya njia kwa ajili ya nyayo zake.

< Psalms 85 >