< Isaiah 48 >

1 "Hear this, house of Jacob, you who are called by the name of Israel, and have come forth out of the waters of Judah; who swear by the name of YHWH, and make mention of the God of Israel, but not in truth, nor in righteousness
Sikiliza hili, nyumba ya Jakobo, mlioitwa kwa jina la Israeli, na mmetoka katika mbegu ya Yuda; yeye akirie kwa jina la Yahwe na kumuhusisha Mungu wa Israeli, lakini sio kweli wala kwa namna ya haki.
2 (for they call themselves of the holy city, and stay themselves on the God of Israel; YHWH of hosts is his name):
Maana wanajiita wenyewewatu wa mji mtakatifu na kumuamini Mungu wa Israeli; Yahwe wa majeshi ndilo jina lake.
3 I have declared the former things from of old; yes, they went forth out of my mouth, and I caused them to hear it. Suddenly I did them, and they happened.
''Nimetangaza vitu kutoka siku nyingi; Wamekuja nje kutoka mdomoni mwangu, na nimewafanya wajulikane; halafu gafla nimewafanyia, na yakatimia.
4 Because I knew that you are obstinate, and your neck is an iron sinew, and your brow bronze;
Kwa sababu nilijua kwamba wewe ni mkaiidi, misuli ya shingo yako ni kama ya chuma, na paji la uso ni kama shaba,
5 therefore I have declared it to you from of old; before it came to pass I showed it to you; lest you should say, 'My idol has done them, and my engraved image, and my molten image, has commanded them.'
Hivyo basi nilitangaza vitu hivi kabla havijatokeo hivyo, nilikujulisha wewe, 'Sanamu yangu imefanya haya au sanamu yangu ya kuchonga na sanamu yangu ya kuyeyusha, yamekwishisha vitu.
6 You have heard it; see all this; and you, will you not declare it? "I have shown you new things from this time, even hidden things, which you have not known.
Umesikia kuhusu mambo haya; angalia ushahidi wote; na wewe, Je hautakubali kwamba ninacho kisema ni cha kweli? Kuanzia sasa na kuendelea Nitawaonyesha vitu vipya, mambo yaliyofichika ambayo hamkuyajua.
7 They are created now, and not from of old; and before this day you did not hear them; lest you should say, 'Look, I knew them.'
Sasa, na sio yaliyopita, yamekuwa sasa, na kabla ya leo hamkusikia kuhusu wao, hivyo hautaweza kusema, 'Ndio, nilijua kuhusu wao.'
8 Yes, you did not hear; yes, you did not know; yes, from of old your ear was not opened: for I knew that you dealt very treacherously, and was called a transgressor from the womb.
Haukusikia; haukuelewa; haya mambo hayakufuniliwa katika masikio kabla ya. Maana nilijua kwamba umekuwa mdanganyifu, na kwamba umekuwa muasi kutoka kuzaliwa.
9 For my name's sake will I defer my anger, and for my praise will I refrain for you, that I not cut you off.
Kwa niaba ya jina langu nitahairisha asira yangu, na kwa heshima yangu nitajizuia kutokumuharibu yeye.
10 Look, I have refined you, but not as silver; I have chosen you in the furnace of affliction.
Tazama, Mimi niliwaandaa ninyi, lakini sio kama fedha; Nimekusafisha wewe katika tanuru la mateso.
11 For my own sake, for my own sake, will I do it; for how should my name be profaned? I will not give my glory to another.
Kwa niaba yangu, kwa niaba yangu nitafanya; maana ni kwa jinsi gani niruhusu jina langu lisiheshimike? Sitampa utukufu wangu mtu yeyote.
12 "Listen to me, O Jacob, and Israel my called: I am he; I am the first, I also am the last.
Nisikilize mimi, Yakobo, na Israeli niliyekuita: Mimi ndiye; Mimi ni wa kwanza, na pia wa mwisho.
13 Yes, my hand has laid the foundation of the earth, and my right hand has spread out the heavens: when I call to them, they stand up together.
Ndio, mkono wangu umeweka msingi wa nchi, na mkono wangu wa kuume ulizitawanya mbingu, zimesimama juu kwa pamoja.
14 "Let all of them assemble and hear; who among them has declared these things? He whom YHWH loves shall perform his pleasure on Babylon, and his arm shall be on the Chaldeans.
Jikusanyeni wenyewe, nyinyi nyote, na sikilizeni; ni nani miongoni mwenu atangazaye mambo haya? Yahwe atakamilisha lengo lake dhidi ya Babeli. Atachukua mapenzi ya Yahwe dhidi ya wa Wakaldayo.
15 I, even I, have spoken; yes, I have called him; I have brought him, and he shall make his way prosperous.
Mimi, nimezungumza, ndio, nimemchagua yeye, nimemleta yeye, na yeye atafanikiwa.
16 "Come near to me and hear this: "From the beginning I have not spoken in secret; from the time that it was, there am I." Now YHWH has sent me, with his Spirit.
Sogea karibu na mimi, sikiliza hili; kutoka mwanzo sikuzungumza katika siri; lakini ilipotokea, Mimi niko hapa; na sasa Bwana Mungu amenituma mimi, na Roho wake.''
17 Thus says YHWH, your Redeemer, the Holy One of Israel: I am YHWH your God, who teaches you to profit, who leads you by the way that you should go.
Yahwe asema hivi, Mkombozi wenu, Mtakatifu wa Israeli anasema, ''Mimi ni Yahwe Mungu wenu, ninayewafundisha juu ya kufanikiwa, ninayewaonyesha njia mtakayoiptia.
18 But would that you had listened to my commandments. Then your peace would have been like a river, and your righteousness like the waves of the sea.
Ikiwa kama mtaheshimu amri zangu! Hivyo amani na maendeleo yatatiririka kama mto, na wokovu wenu ni kama mawimbi kwenye bahari.
19 Your descendants would have been as the sand, and the offspring of your body like its grains; his name not be cut off nor destroyed from before me.
Watoto wako watakuwa wengi kama mchanga, na watoto kutoka kwenye tombo zenu watakuwa wengi kama nafaka kwenye mchanga; majina yao hayataondolewa wala kufutwa mbele yangu.
20 Go forth from Babylon, flee from the Chaldeans; with a voice of singing declare, tell this, utter it even to the end of the earth: say, YHWH has redeemed his servant Jacob.
Tokeni nje ya Babeli! wakimbieni Wakaldayo! kwa sauti ya kupiga kelele tangaza kwamba! hakikisha hili linajulikana, hakikisha hili linafika mpaka miisho ya nchi! sema 'Yahwe amemkomboa Yakobo mtumishi wake.
21 They did not thirst when he led them through the deserts; he caused the waters to flow out of the rock for them; he split the rock also, and the waters gushed out.
Hawakupatwa na kiu alipowaongoza katika jangwa, alifanya maji kutokea kwenye mwamba kwa ajili yao; aliugawa na kufungua mwamba, na maji yakatoka nje.
22 "There is no peace," says YHWH, "for the wicked."
Hakuna amani kwa watenda makosa- amesema Yahwe.''

< Isaiah 48 >