< Acts 8 >
1 Saul was consenting to his death. A great persecution arose against the church which was in Jerusalem in that day. They were all scattered abroad throughout the regions of Judea and Samaria, except for the apostles.
Sauli alikuwa kwenye makubaliano ya kifo chake. siku hiyo ndipo alipoanza kuwatesa kinyume cha kanisa lililokuwa Yerusalemu; na waaminio wote waliotawanyika katika majimbo ya Yudea na Samaria, isipokuwa mitume.
2 Devout men buried Stephen, and lamented greatly over him.
Watu wachamungu walimzika Stefano na kufanya maombolezo makubwa juu yake.
3 But Saul ravaged the church, entering into every house, and dragged both men and women off to prison.
Lakini Sauli alilidhuru sana kanisa. Alikwenda nyumba kwa nyumba na kuwaburuza nje wanawake na waume, na kuwatupia gerezani.
4 Therefore those who were scattered abroad went around proclaiming the word.
waaminio ambao walikuwa wametawanyika bado walilihubiri neno.
5 And Philip went down to the city of Samaria, and proclaimed to them the Christ.
Filipo akashuka katika mji wa Samaria na akamtangaza Kristo huko.
6 The crowds listened with one accord to the things that were spoken by Philip, when they heard and saw the signs which he did.
Baada ya makutano kusikia na kuona ishara alizofanya Filipo; wakaweka umakini juu ya kile alichosema.
7 For unclean spirits came out of many of those who had them. They came out, crying with a loud voice. Many who had been paralyzed and lame were healed.
Kutoka hapo watu wengi waliosikia, pepo wachafu waliwatoka watu huku wakilia kwa sauti kubwa, na wengi waliopooza na viwete waliponywa.
8 There was great joy in that city.
Na kulikuwa na furaha kubwa katika mji.
9 But there was a certain man, Simon by name, who used to practice sorcery in the city, and amazed the people of Samaria, making himself out to be some great one,
Lakini palikuwa na mtu mmoja katika mji ule jina lake Simon, ambaye alikuwa akifanya uchawi; ambao aliutumia kuwashangaza watu wa taifa la Samaria, wakati akisema kuwa yeye ni mtu wa muhimu.
10 to whom they all listened, from the least to the greatest, saying, "This man is that power of God which is called Great."
Wasamaria wote tangu mdogo hata mkubwa, wakamsikiliza; wakasema;”mtu huyu ni ile nguvu ya Mungu ambayo ni kuu.”
11 They listened to him, because for a long time he had amazed them with his sorceries.
Wakamsikiliza, kwa maana amewashangaza muda mrefu kwa uchawi wake.
12 But when they believed Philip as he preached good news concerning the Kingdom of God and the name of Jesus Christ, they were baptized, both men and women.
Lakini wakati walipoamini kuwa Filipo alihubiri juu ya ufalme wa Mungu na juu ya jina la Yesu Kristo, walibatizwa, wanaume kwa wanawake.
13 Simon himself also believed. Being baptized, he continued with Philip. Seeing signs and great miracles occurring, he was amazed.
Na Simoni mwenyewe aliamini: baada ya kubatizwa, aliendelea kuwa na Filipo; alipoona ishara na miujiza iliyokuwa ikitendeka, alishangaa.
14 Now when the apostles who were at Jerusalem heard that Samaria had received the word of God, they sent Peter and John to them,
Wakati mitume wa Yerusalemu waliposikia kuwa Samaria imepokea neno la Mungu, wakawatuma Petro na Yohana.
15 who, when they had come down, prayed for them, that they might receive the Holy Spirit;
Wakati walipokuwa wakishuka wakawaombea; kwamba wampokee Roho Mtakatifu.
16 for he had not yet fallen upon any of them. They had only been baptized in the name of the Lord Jesus.
Mpaka muda huo, Roho Mtakatifu alikuwa hajawashukia hata mmoja wao; walikuwa tu wamebatizwa kwa jina la Bwana Yesu.
17 Then they laid their hands on them, and they received the Holy Spirit.
Ndipo Petro na Yohana wakawawekea mikono, nao wakampokea Roho Mtakatifu.
18 Now when Simon saw that the Spirit was given through the laying on of the apostles' hands, he offered them money,
Wakati Simoni alipoona kwamba Roho Mtakatifu ametolewa kupitia kuwekewa mikono na mitume; akataka kuwapa pesa,
19 saying, "Give me also this power, that whomever I lay my hands on may receive the Holy Spirit."
Akasema, “Nipeni hii nguvu, ili kila nitakayemwekea mikono apokee Roho Mtakatifu.”
20 But Peter said to him, "May your silver perish with you, because you thought you could obtain the gift of God with money.
Lakini Petro akamwambia; pesa yako pamoja na wewe ipotelee mbali, kwa sababu umedhani kuwa karama ya Mungu inapatikana kwa pesa.
21 You have neither part nor lot in this matter, for your heart is not right before God.
Hauna sehemu katika jambo hili, kwa sababu moyo wako si mnyoofu mbele za Mungu.
22 Repent therefore of this, your wickedness, and ask the Lord if perhaps the thought of your heart may be forgiven you.
Hivyo basi tubu maovu yako na kumwomba Mungu labda utasamehewe fikra za moyo wako.
23 For I see that you are in the gall of bitterness and in the bondage of iniquity."
Kwa maana naona uko katika sumu ya uchungu na kifungo cha dhambi.”
24 Simon answered, "Pray for me to the Lord, that none of the things which you have spoken happen to me."
Simoni akajibu na kusema, “Mwombeni Bwana kwa ajili yangu, kwa kuwa mambo yote mliyozungumza yaweza kunitokea.
25 They therefore, when they had testified and spoken the word of the Lord, returned to Jerusalem, and preached the Good News to many villages of the Samaritans.
Wakati Petro na Yohana walipokuwa wameshuhudia na kuhubiri neno la Bwana, walirudi Yerusalemu kwa njia hiyo; walihubiri injili katika vijiji vingi vya Wasamaria.
26 But an angel of the Lord spoke to Philip, saying, "Arise, and go toward the south to the way that goes down from Jerusalem to Gaza. This is a desert."
Basi malaika wa Bwana akanena na Filipo na kusema, “Angaza na uende kusini katika njia iendayo chini ya Yerusalemu kuelekea Gaza.” ( Njia hii iko katika jangwa).
27 And he arose and went. And look, there was a man from Ethiopia, a eunuch of great authority under Kandake, the queen of the Ethiopians, who was in charge over all her treasure. He had come to Jerusalem to worship,
Akaangaza na kwenda. Tazama, kulikuwa na mtu wa Ethiopia, towashi mwenye mamlaka kuu chini ya kandase; malkia wa Ethiopia. Aliyewekwa juu ya hazina yake yote; naye alikuwa amekwenda Yerusalemu kuabudu.
28 and he was returning. And sitting in his chariot, he was reading the prophet Isaiah.
Alikuwa akirejea ameketi garini mwake akisoma chuo cha nabii Isaya.
29 And the Spirit said to Philip, "Go and join up with that chariot."
Roho akasema na Filipo, “Sogea karibu na gari hili ukashikamane nalo.
30 And running near, Philip heard him reading the prophet Isaiah, and said, "Do you understand what you are reading?"
“Hivyo Filipo akaenda mbio, akamsikia akisoma katika chuo cha nabii Isaya; akasema, Je unafahamu unachosoma?”
31 He said, "How can I, unless someone explains it to me?" So he invited Philip to come up and sit with him.
Muethiopia akasema, “nitawezaje mtu asiponiongoza?” Akamsihi Filipo apande garini na kuketi pamoja naye.
32 Now the passage of the Scripture which he was reading was this, "He was led like a sheep to the slaughter, and like a lamb before its shearer is silent, so he does not open his mouth.
Sasa fungu la maandiko alilokuwa akisoma Muethiopia ni hili; Aliongozwa kama kondoo kwenda machinjioni kuchinjwa; na kama kondoo alinyamaza kimya, hakufungua kinywa chake:
33 In his humiliation his justice was taken away. Who will declare his generation? For his life is taken from the earth."
Kwa kuhuzunishwa kwake hukumu yake iliondolewa: Nani ataeleza kizazi chake? maisha yake yameondolewa katika nchi.”
34 The eunuch answered Philip, "Who is the prophet talking about? About himself, or about someone else?"
Hivyo towashi akamwuliza Filipo, na kusema, “nakuomba, ni nabii yupi ambaye anaongelewa habari zake, ni kuhusu yeye, au za mtu mwingine”?
35 Philip opened his mouth, and beginning from this Scripture, preached to him Jesus.
Filipo alianza kuongea, alianza kwa andiko hili la Isaya kumhubiria habari za Yesu.
36 As they went on the way, they came to some water, and the eunuch said, "Look, here is water. What is keeping me from being baptized?"
Wakiwa njiani, wakafika penye maji,' towashi akasema, “Tazama, pana maji hapa nini kinazuia nisibatizwe?,
37 And he said to him, "If you believe with all your heart, you may." And he answered and said, "I believe that Jesus Christ is the Son of God."
maneno haya, “Hivyo Muethiopia akajibu “naamini kwamba Yesu Kristo ni Mwana wa Mungu,” hayamo kwenyemaandiko ya kale). Ndipo Muethiopia akaamuru gari lisimame.
38 He commanded the chariot to stand still, and they both went down into the water, both Philip and the eunuch, and he baptized him.
Walikwenda ndani ya maji, pamoja Filipo na towashi, Filipo akambatiza.
39 When they came up out of the water, the Spirit of the Lord caught Philip away, and the eunuch did not see him any more, for he went on his way rejoicing.
Wakati walipotoka kwenye maji, Roho wa Bwana ikampeleka Filipo mbali; towashi hakumwona, akaenda njia yake akishangilia.
40 But Philip was found at Azotus. Passing through, he preached the Good News to all the cities, until he came to Caesarea.
Lakini Philipo akatokea Azoto. Alipita katika mkoa ule na kuhubiri injili katika miji yote mpaka alipofika Kaisaria.