< Nehemiah 7 >

1 Now it happened, when the wall was built, and I had set up the doors, and the gatekeepers and the singers and the Levites were appointed,
Wakati ukuta ulipomalizika na milango nimekwisha kuisimamisha, na walinzi wa malango na waimbaji na Walawi walikuwa wamechaguliwa,
2 that I put my brother Hanani, and Hananiah the commander of the fortress, in charge of Jerusalem; for he was a faithful man, and feared God above many.
nikampa ndugu yangu Hanani kuwa na amri juu ya Yerusalemu, pamoja na Hanania ambaye alikuwa msimamizi wa kijiji, kwa kuwa alikuwa mwaminifu na alimuogopa Mungu zaidi kuliko wengi.
3 I said to them, "Do not let the gates of Jerusalem be opened until the sun is hot; and while they stand guard, let them shut the doors, and you bar them: and appoint watches of the inhabitants of Jerusalem, everyone in his watch, with everyone near his house."
Nami nikawaambia, Msifungue malango ya Yerusalemu mpaka jua litakapokuwa kali. Wakati walinzi wa mlango wanalinda, unaweza kufunga milango na kuikaza. Chagua walinzi kutoka kwa wale wanaoishi Yerusalemu, wengine mahali pa kituo chao cha ulinzi, na wengine mbele ya nyumba zao wenyewe.
4 Now the city was wide and large; but the people were few in it, and the houses were not built.
Sasa jiji lilikuwa pana na kubwa, lakini kulikuwa na watu wachache ndani yake, na hakuna nyumba zilizojengwa tena.
5 My God put into my heart to gather together the nobles, and the rulers, and the people, that they might be reckoned by genealogy. I found the book of the genealogy of those who came up at the first, and I found written in it:
Mungu wangu aliweka moyoni mwangu, kuwakusanya pamoja wakuu, maafisa, na watu kuwaandikisha katika familia zao. Nilipata Kitabu cha kizazi cha wale ambao walirudi kwanza na nikaona kwamba imeandikwa humo.
6 These are the people of the province, who went up out of the captivity of those who had been carried away, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away, and who returned to Jerusalem and to Judah, everyone to his city;
Hawa ndio watu wa jimbo ambao walikwenda kutoka kwenye uhamisho wa wale waliohamishwa ambao Nebukadreza mfalme wa Babeli aliwachukua mateka. Wakarudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenda kwenye mji wake.
7 who came with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Nahamani, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
Walikuja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana. Idadi ya wana wa Israeli ilikuwa.
8 The descendants of Parosh, two thousand one hundred seventy-two.
Wana wa Paroshi, 2, 172.
9 The descendants of Shephatiah, three hundred seventy-two.
Wana wa Shefatia, 372.
10 The descendants of Arah, six hundred fifty-two.
Wana wa Ara, 652.
11 The descendants of Pahath-Moab, of the descendants of Jeshua and Joab, two thousand eight hundred eighteen.
Wana wa Pahath Moabu,
12 The descendants of Elam, one thousand two hundred fifty-four.
kwa wana wa Yeshua na Yoabu, 2, 818.
13 The descendants of Zattu, eight hundred forty-five.
Wana wa Elamu, 1, 254.
14 The descendants of Zaccai, seven hundred sixty.
Wana wa Zatu, 845. Wana wa Zakai, 760.
15 The descendants of Bani, six hundred forty-eight.
Wana wa Binnui, 648.
16 The descendants of Bebai, six hundred twenty-eight.
Wana wa Bebai, 628.
17 The descendants of Azgad, two thousand three hundred twenty-two.
Wana wa Azgadi, 2, 322.
18 The descendants of Adonikam, six hundred sixty-seven.
Wana wa Adonikamu, 667.
19 The descendants of Bigvai, two thousand sixty-seven.
Wana wa Bigwai, 2, 067.
20 The descendants of Adin, six hundred fifty-five.
Wana wa Adini, 655.
21 The descendants of Ater, of Hezekiah, ninety-eight.
Wana wa Ateri, wa Hezekia, 98.
22 The descendants of Hashum, three hundred Twenty-eight.
Wana wa Hashumu, 328.
23 The descendants of Bezai, three hundred twenty-four.
Wana wa Besai, 324.
24 The descendants of Jorah, one hundred twelve.
Wana wa Harifu, 112.
25 The descendants of Gibbar, ninety-five.
Wana wa Gibeoni, 95.
26 The men of Bethlehem and Netophah, one hundred eighty-eight.
Watu kutoka Bethlehemu na Netofa, 188.
27 The men of Anathoth, one hundred twenty-eight.
Watu wa Anathothi, 128.
28 The men of Beth Azmaveth, forty-two.
Watu wa Beth Azmaweth, 42.
29 The men of Kiriath Jearim, Kephirah, and Beeroth, seven hundred forty-three.
Watu wa Kiriath Yearimu, Kefira, na Beerothi, 743.
30 The men of Ramah and Geba, six hundred twenty-one.
Watu wa Rama na Geba, 621.
31 The men of Michmas, one hundred and twenty-two.
Watu wa Mikmasi, 122.
32 The men of Bethel and Ai, a hundred twenty-three.
Watu wa Betheli na Ai, 123.
33 The men of the other Nebo, fifty-two.
Watu wa Nebo, 52.
34 The descendants of the other Elam, one thousand two hundred fifty-four.
Watu wa Elamu wa pili, 1, 254.
35 The descendants of Harim, three hundred twenty.
Watu wa Harimu, 320.
36 The descendants of Jericho, three hundred forty-five.
Watu wa Yeriko, 345.
37 The descendants of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty-one.
Watu wa Lodi, Hadidi, na Ono, 721.
38 The descendants of Senaah, three thousand nine hundred thirty.
Watu wa Senaa, 3, 930.
39 The priests: The descendants of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy-three.
makuhani Wana wa Yedaya (wa nyumba ya Yeshua), 973.
40 The descendants of Immer, one thousand fifty-two.
Wana wa Imeri, 1, 052.
41 The descendants of Pashhur, one thousand two hundred forty-seven.
Wana wa Pashuri, 1, 247.
42 The descendants of Harim, one thousand seventeen.
Wana wa Harimu, 1, 017.
43 The Levites: the descendants of Jeshua, of Kadmiel, of the descendants of Hodaviah, seventy-four.
Walawi, wana wa Yeshua, wa Kadmieli, wa Binui, wa Hodavia, 74.
44 The singers: the descendants of Asaph, one hundred forty-eight.
Waimbaji wana wa Asafu; 148.
45 The gatekeepers: the descendants of Shallum, the descendants of Ater, the descendants of Talmon, the descendants of Akkub, the descendants of Hatita, the descendants of Shobai, one hundred thirty-eight.
Waliofungua mlango wana wa Shalumu, wana wa Ateri, wana wa Talmoni; wana wa Akubu, wana wa Hatita, wana wa Shobai, 138.
46 The Nethinim: the descendants of Ziha, the descendants of Hasupha, the descendants of Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu wana wa Siha, wana wa Hasufa, wana wa Tabaothi,
47 the descendants of Keros, the descendants of Siaha, the descendants of Padon,
wana wa Kerosi, wana wa Siaha, wana wa Padoni,
48 the descendants of Lebana, the descendants of Hagaba, the descendants of Salmai,
wana wa Lebana, wana wa Hagaba, wana wa Salmai,
49 the descendants of Hanan, the descendants of Giddel, the descendants of Gahar,
wana wa wa Hanani, wana wa Gideli, wana wa Gahari.
50 the descendants of Reaiah, the descendants of Rezin, the descendants of Nekoda,
Wana wa Reaya, wana wa Resini, wana wa Nekoda,
51 the descendants of Gazzam, the descendants of Uzza, the descendants of Paseah.
wana wa Gazamu, wana wa Uza, wana wa Pasea,
52 The descendants of Besai, the descendants of Meunim, the descendants of Nephusim,
wana wa Besai, wana wa Meunimu, wana wa Nefusimu.
53 the descendants of Bakbuk, the descendants of Hakupha, the descendants of Harhur,
Wana wa Bakbuki, wana wa Hakufa, wana wa Harhuri,
54 the descendants of Bazluth, the descendants of Mehida, the descendants of Harsha,
wana wa Baslith, wana wa Mehida, wana wa Harsha,
55 the descendants of Barkos, the descendants of Sisera, the descendants of Temah,
wana wa Barkosi, wana wa Sisera, wana wa Tema,
56 the descendants of Neziah, the descendants of Hatipha.
wana wa Nesia, wana wa Hatifa.
57 The descendants of Solomon's servants: the descendants of Sotai, the descendants of Hassophereth, the descendants of Peruda,
Wana wa Sulemani, wana wa Sotai, wana wa Sofeereth, wana wa Peruda,
58 the descendants of Jaalah, the descendants of Darkon, the descendants of Giddel,
wana wa Yaala, wana wa Darkoni, wana wa Gideli,
59 the descendants of Shephatiah, the descendants of Hattil, the descendants of Pokereth Hazzebaim, the descendants of Amon.
wana wa Shefatia, wana wa Hatili, wana wa Pokerethi Sebaimu, wana wa Amoni.
60 All the Nethinim, and the descendants of Solomon's servants, were three hundred ninety-two.
Watumishi wote wa hekalu, na wana wa watumishi wa Sulemani, walikuwa 392.
61 These were those who went up from Tel Melah, Tel Harsha, Cherub, Addan, and Immer; but they could not prove their ancestral houses, nor their descent, whether they were of Israel:
Hawa ndio watu waliokwenda kutoka Tel Mela, Tel harsha, Kerub, Addon, na Imeri. Lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba wao au jamaa za baba zao walikuwa wana wa Israeli,
62 The descendants of Delaiah, the descendants of Tobiah, the descendants of Nekoda, six hundred forty-two.
wana wa Delaya, wana wa Tobia, na wana wa Nekoda, 642.
63 Of the priests: the descendants of Hobaiah, the descendants of Hakkoz, the descendants of Barzillai, who took a wife of the daughters of Barzillai the Gileadite, and was called after their name.
Na kutoka kwa makuhani Wana wa Habaya, Hakosi, na Barzilai ( akamchukua mkewe kutoka kwa binti za Barzilai wa Gileadi na akaitwa kwa jina lao).
64 These searched for their genealogical records, but couldn't find them. Therefore were they deemed polluted and put from the priesthood.
Hawa walitafuta rekodi zao kati ya waliojiunga na kizazi chao, lakini hawakuweza kupatikana, kwa hivyo waliondolewa katika ukuhani kama walio najisi.
65 The governor said to them, that they should not eat of the most holy things, until there stood up a priest with Urim and Thummim.
Naye mkuu wa gavana akawaambia wasiruhusiwe kula chakula cha makuhani kutoka kwenye dhabihu mpaka atakapoinuka kuhani mwenye Urimu na Thumimu.
66 The whole assembly together was forty-two thousand three hundred sixty,
Kusanyiko lote lilikuwa 42, 360,
67 besides their male servants and their female servants, of whom there were seven thousand three hundred thirty-seven: and they had two hundred forty-five singing men and singing women.
isipokuwa watumishi wao wa kiume na watumishi wao wa kike, ambao walikuwa 7, 337. Walikuwa na wanaume na wanawake wa kuimba 245.
68 Their horses were seven hundred thirty-six; their mules, two hundred forty-five;
Farasi zao zilikuwa 736 kwa idadi, nyumbu zao, 245,
69 their camels, four hundred thirty-five; their donkeys, six thousand seven hundred twenty.
ngamia zao, 435, na punda zao, 6, 720.
70 Some from among the heads of ancestral houses gave to the work. The governor gave to the treasury one thousand darics of gold, fifty basins, and five hundred thirty priests' garments.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao walitoa zawadi kwa ajili ya kazi. Gavana alitoa sadaka ya darkoni elfu ya dhahabu, mabakuli 50, na mavazi 530 ya makuhani.
71 Some of the heads of ancestral houses gave into the treasury of the work twenty thousand darics of gold, and two thousand two hundred minas of silver.
Baadhi ya wakuu wa familia za baba zao waliwapa katika hazina kwa kazi darkroni elfu ishirini za dhahabu na mane 2, 200 za fedha.
72 That which the rest of the people gave was twenty thousand darics of gold, and two thousand minas of silver, and sixty-seven priests' garments.
Watu wengine waliwapa darkoni za dhahabu ishirini elfu, na dhahabu elfu mbili za fedha, na mavazi sitini na saba kwa makuhani.
73 So the priests, and the Levites, and the gatekeepers, and the singers, and some of the people, and the Nethinim, and all Israel, lived in their cities. When the seventh month had come, the children of Israel were in their cities.
Basi makuhani, Walawi, walinzi wa malango, waimbaji, watu wengine, watumishi wa hekalu, na Israeli wote waliishi katika miji yao. Hata mwezi wa saba watu wa Israeli walikuwa wakiishi katika miji yao.”

< Nehemiah 7 >