< 1 Chronicles 1 >

1 Adam, Seth, Enosh,
Adamu, Sethi, Enoshi,
2 Kenan, Mahalalel, Jared,
Kenani, Mahalaleli, Yaredi,
3 Enoch, Methuselah, Lamech,
Henoko, Methusela, Lameki.
4 Noah. The sons of Noah: Shem, Ham, and Japheth.
Wana wa Nuhu walikuwa ni Shemu, Hamu, na Yafethi.
5 The sons of Japheth: Gomer, and Magog, and Madai, and Javan, and Tubal, and Meshech, and Tiras.
Wana wa Yafethi walikuwa ni Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki, na Tirasi.
6 The sons of Gomer: Ashkenaz, and Riphath, and Togarmah.
Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifathi na Togama.
7 The sons of Javan: Elishah, and Tarshish, Kittim, and Rodanim.
Wana wa Yavani walikuwa ni Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Warodani.
8 The sons of Ham: Cush, and Mizraim, Put, and Canaan.
Wana wa Hamu walikuwa ni Kushi, Misri, Putu, na Kanaani.
9 The sons of Cush: Seba, and Havilah, and Sabtah, and Raamah, and Sabteca. The sons of Raamah: Sheba, and Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa ni Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa ni Sheba na Dedani.
10 Cush became the father of Nimrod; he began to be a mighty hunter on the earth.
Kushi akawa baba wa Nimrodi, aliyekuwa shujaa wa Kwanza katika dunia.
11 Mizraim became the father of Ludim, and Anamim, and Lehabim, and Naphtuhim,
Misri akawa babu wa Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12 and Pathrusim, and Casluhim (from whom came the Philistines), and Caphtorim.
Wapathrusi, Wakasluhi (Wafilisti walipotoka), na Wakaftori.
13 Canaan became the father of Sidon his firstborn, and Heth,
Kanaani akawa baba wa Sidoni, mwanae wa kwanza, na wa Hethi.
14 and the Jebusites, and the Amorites, and the Girgashites,
Pia akawa babu wa Myebusi, Mwamori, Mgirgashi,
15 and the Hivites, and the Arkites, and the Sinites,
Mhivi, Mwarki, Msini,
16 and the Arvadites, and the Zemarites, and the Hamathites.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi.
17 The sons of Shem: Elam, and Asshur, and Arpachshad, and Lud, and Aram. And the sons of Aram: Uz, and Hul, and Gether, and Mash.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Arfaksadi, Ludi, Aramu, Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
18 Arpachshad became the father of Kenan, and Kenan became the father of Shelah, and Shelah became the father of Eber.
Arfaksadi akawa baba wa Sala, na Sala akawa baba wa Eberi.
19 To Eber were born two sons: the name of the one was Peleg; for in his days the earth was divided; and his brother's name was Joktan.
Eberi alikuwa na wana wawili wa kiume. Jina la wa kwanza lilikuwa Pelegi, kwa kuwa katika siku zake dunia ilikuwa imegawanyika. Jina la kaka yake lilikuwa Yoktani.
20 Joktan became the father of Almodad, and Sheleph, and Hazarmaveth, and Jerah,
Yoktani akawa baba wa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
21 and Hadoram, and Uzal, and Diklah,
Hadoramu, Uzali, Dikla,
22 and Obal, and Abimael, and Sheba,
Obali, Abimaeli, Sheba,
23 and Ophir, and Havilah, and Jobab. All these were the sons of Joktan.
Ofiri, Havila, na Yobabu; wote hawa walikuwa uzao wa Yoktani.
24 Shem, Arpachshad, Kenan, Shelah,
Shemu, Arfaksadi, Sala,
25 Eber, Peleg, Reu,
Eberi, Pelegi, Reu,
26 Serug, Nahor, Terah,
Serugi, Nahori, Tera,
27 Abram (that is, Abraham).
Abramu, aliye kuwa Ibrahimu.
28 The sons of Abraham: Isaac, and Ishmael.
Wana wa Ibrahimu walikuwa Isaka na Ishmaeli.
29 These are their generations: the firstborn of Ishmael, Nebaioth; then Kedar, and Adbeel, and Mibsam,
Hawa ndio wanao: mzaliwa wa kwanza alikuwa ni Nebayothi, kisha Kedari, Abdeeli, Mibsamu,
30 Mishma, and Dumah, Massa, Hadad, and Tema,
Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema,
31 Jetur, Naphish, and Kedemah. These are the sons of Ishmael.
Yeturi, Nafishi, na Kedama. Hawa ndio wana wa Ishamaeli.
32 The sons of Keturah, Abraham's secondary wife: she bore Zimran, and Jokshan, and Medan, and Midian, and Ishbak, and Shuah. The sons of Jokshan: Sheba, and Dedan.
Wana wa Ketura, suria wa Ibrahimu, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani, Ishbaki, na Shua. Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.
33 The sons of Midian: Ephah, and Epher, and Hanoch, and Abida, and Eldaah. All these were the sons of Keturah.
Wana wa Midiani walikuwa Efa, Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa. Wote hawa walikuwa uzaowa Ketura.
34 Abraham became the father of Isaac. The sons of Isaac: Esau, and Israel.
Ibrahimu akawa baba wa Isaka. Wana wa Isaka walikuwa Esau na Israeli.
35 The sons of Esau: Eliphaz, Reuel, and Jeush, and Jalam, and Korah.
Wana wa Esau walikuwa ni Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.
36 The sons of Eliphaz: Teman, and Omar, Zepho, and Gatam, Kenaz; and by Timna: Amalek.
Wana wa Elifazi walikuwa ni Temani, Omari, Sefo, Gatamu, Kenazi, Timna, na Amaleki.
37 The sons of Reuel: Nahath, Zerah, Shammah, and Mizzah.
Wana wa Reueli walikuwa ni Nahathi, Zera, Shama, na Miza.
38 The sons of Seir: Lotan, and Shobal, and Zibeon, and Anah, and Dishon, and Ezer, and Dishan.
Wana wa Seiri walikuwa ni Lotani, Shobali, Sebioni, Ana, Dishoni, Eseri, na Dishani.
39 The sons of Lotan: Hori, and Hemam; and Timna was Lotan's sister.
Wana wa Lotani walikuwa ni Hori na Hemamu, na Timna alikuwa dada yake Lotani.
40 The sons of Shobal: Alvan, and Manahath, and Ebal, Shepho, and Onam. The sons of Zibeon: Aiah, and Anah.
Wana wa Shobali walikuwa ni Alvani, Manahathi, Ebali, Shefo, na Onamu. Wana wa Sebeoni walikuwa ni Aya na Ana.
41 The sons of Anah: Dishon. The sons of Dishon: Hemdan, and Eshban, and Ithran, and Keran.
Mwana wa Ana alikuwa ni Dishoni. Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Ithrani, na Kerani.
42 The sons of Ezer: Bilhan, and Zaavan, and Akan. The sons of Dishan: Uz, and Aran.
Wana wa Eseri walikuwa Bilhani, Zaawani, na Akani. Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.
43 Now these are the kings who reigned in the land of Edom, before there reigned any king over the children of Israel: Bela the son of Beor; and the name of his city was Dinhabah.
Hawa ndio wafalme walio tawala katika nchi ya Edomu kabla ya mfalme yeyote kuwatawala Waisraeli: Bela mwana wa Beori; na jina la mji wake ulikuwa Dinhaba.
44 Bela died, and Jobab the son of Zerah of Bozrah reigned in his place.
Bela alipo kufa, Yohabu mwana wa Zera wa Bosra akatawala badala yake.
45 Jobab died, and Husham of the land of the Temanites reigned in his place.
Yohabu alipo kufa, Hushamu wa nchi ya Watemani akatawala badala yake.
46 Husham died, and Hadad the son of Bedad, who struck Midian in the field of Moab, reigned in his place; and the name of his city was Avith.
Hushamu alipo kufa, Hadadi mwana wa Bedadi, aliye washinda Wamidiani katika uwanja wa Moabu, akatawa badala yake. Jina la mji wake ulikuwa Avithi.
47 Hadad died, and Samlah of Masrekah reigned in his place.
Hadadi alipo kufa, Samla wa Masreka akatawala badala yake.
48 Samlah died, and Shaul of Rehoboth-ha-Nahar reigned in his place.
Samla alipo kufa, Shauli wa Rehobothi Hanahari akatawala badala yake.
49 Shaul died, and Baal Hanan the son of Achbor reigned in his place.
Shauli alipo kufa, Baal-Hanani mwana wa Akbori akatawala badala yake.
50 Baal Hanan died, and Hadad son of Bedad reigned in his place; and the name of his city was Pau; and his wife's name was Mehetabel, the daughter of Matred, the daughter of Me-Zahab.
Baal-Hanani mwana wa Akbori alipo kufa, Hadari akatawala badala yake. Jina la mji wake ni Pau. Jina la mke wake lilikuwa ni Mehetabeli binti wa Matredi binti wa Mezahabu.
51 Hadad died. The chiefs of Edom were: chief Timna, chief Alvah, chief Jetheth,
Hadadi akafa. Wajumbe wa ukoo wa Edomu walikuwa Timna, Alva, Yethethi,
52 chief Oholibamah, chief Elah, chief Pinon,
Oholibama, Ela, Pinoni,
53 chief Kenaz, chief Teman, chief Mibzar,
Kenazi, Temani, Mibsari,
54 chief Magdiel, chief Iram. These are the chiefs of Edom.
Magdieli, na Iramu. Hawa ndio walikuwa wajumbe wa ukoo wa Edomu.

< 1 Chronicles 1 >