< Psalms 28 >

1 BY DAVID. To You, O YHWH, I call, My rock, do not be silent to me! Lest You are silent to me, And I have been compared With those going down to the pit.
Yahwe, ninalia; mwamba wangu, usinipuuze. Ikiwa haunijibu, nitaungana na wale waendao chini kaburini.
2 Hear the voice of my supplications, In my crying to You, In my lifting up my hands toward your holy oracle.
Sikia kilio cha kusihi kwangu pale niitapo msaada kutoka kwako, niinuapo mikono yangu mbele ya mahali patakatifu zaidi!
3 Do not draw me with the wicked, And with workers of iniquity, Speaking peace with their neighbors, And evil in their heart.
Usiniburute pamoja na waovu, wale wafanyao uovu, waongeao amani na majirani zao lakini mioyoni mwao mna uovu.
4 Give to them according to their acting, And according to the evil of their doings. Give to them according to the work of their hands. Return their deed to them.
Uwape kulingana na sitahili ya matendo yao na uwalipe kulingana na madai ya maovu yao, uwalipe kwa ajili ya kazi ya mikono yao na uwape kile wanachostahili.
5 For they do not attend to the doing of YHWH, And to the work of His hands. He throws them down, And does not build them up.
Kwa sababu hawayaelewi matendo ya Yahwe wala kazi ya mikono yake, atawakanyaga kanyaga chini na hata wajenga tena wao.
6 Blessed [is] YHWH, For He has heard the voice of my supplications.
Abarikiwe Yahwe kwa sababu yeye amesikia sauti ya kusihi kwangu!
7 YHWH [is] my strength, and my shield, In Him my heart trusted, and I have been helped. And my heart exults, And I thank Him with my song.
Yahwe ni nguvu yangu na ngao yangu; moyo wangu wa humwamini yeye, na ninasaidiwa. Kwa hiyo moyo wangu hufurahia sana, nami nitamsifu yeye kwa kuimba.
8 YHWH [is] strength to him, Indeed, the strength of the salvation of His anointed [is] He.
Yahwe ni nguvu ya watu wake, naye ni mkombozi salama wa wapakwa mafuta wake.
9 Save Your people, and bless Your inheritance, And feed them, and carry them for all time!
Uwaokoe watu wako na uwabariki warithi wako. Uwe mchungaji wao na uwabebe milele.

< Psalms 28 >