< Jeremiah 37 >

1 And King Zedekiah son of Josiah reigns instead of Coniah son of Jehoiakim whom Nebuchadnezzar king of Babylon had caused to reign in the land of Judah,
Sasa Sedekia mwana wa Yosia alitawala kama mfalme badala ya Yehoyachin mwana wa Yehoyakimu. Nebukadreza mfalme wa Babeli alikuwa amemfanya Sedekia mfalme juu ya nchi ya Yuda.
2 and he has not listened—he, and his servants, and the people of the land—to the words of YHWH that He spoke by the hand of Jeremiah the prophet.
Lakini Sedekia, wajakazi wake, na watu wa nchi hawakusikiliza maneno ya Yahwe ambayo alitangaza kwa mkono wa Yeremia nabii.
3 And Zedekiah the king sends Jehucal son of Shelemiah, and Zephaniah son of Maaseiah the priest, to Jeremiah the prophet, saying, “Pray, we implore you, for us to our God YHWH.”
Kwa hiyo Mfalme Sedekia, Yehukali mwana wa Shelemia, na Zefania mwana wa Maaseia kuhani alituma ujumbe kwa Yeremia nabii. Walisema, “Omba kwa niaba kwa Yahwe Mungu wetu.”
4 And Jeremiah is coming in and going out in the midst of the people (and they have not put him in the prison-house),
Sasa Yeremia alikuwa anakuja na kwenda miongoni mwa watu, kwa kuwa alikuwa bado hajawekwa ndani ya gereza.
5 and the force of Pharaoh has come out of Egypt, and the Chaldeans who are laying siege against Jerusalem hear their report, and go up from off Jerusalem.
Jeshi la Farao lilitoka Misri, na Wakaldayo waliozingira Yerusalem walisikia habari kuhusu wao na kuondoka Yerusalem.
6 And there is a word of YHWH to Jeremiah the prophet, saying,
Kisha neno la Yahwe lilikuja kwa Yeremia nabii na kusema,
7 “Thus said YHWH, God of Israel: Thus you say to the king of Judah who is sending you to Me, to seek Me: Behold, the force of Pharaoh that is coming out to you for help has turned back to its land, to Egypt,
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi: Hiki ndivyo utakavyosema kwa mfalme wa Yuda, kwa sababu amekutuma wewe kutafuta ushauri toka kwangu, 'Ona, jeshi la Farao, ambalo lilikuja kukusaidia, liko tayari kurudi Misri, kwenye nchi yao.
8 and the Chaldeans have turned back and fought against this city, and captured it, and burned it with fire.
Wakaldayo watarudi. Watapigana dhidi ya mji huu, kuuteka, na kuuchoma.'
9 Thus said YHWH: Do not lift up your souls, saying, The Chaldeans surely go from off us, for they do not go;
Yahwe asema hivi: Msidaganyane kwa kusema, “Hakika Wakaldayo wanatuacha sisi,' kwa kuwa hawatatuacha.
10 for though you had struck all the force of the Chaldeans who are fighting with you, and there were left of them wounded men—they rise, each in his tent, and have burned this city with fire.”
Hata kama mmelishinda jeshi la Wakaldayo lote ambalo linapigana nanyi ili kwamba wanaume waliojeruhiwa walibakizwa katika mahema yao, wangeweza kunyanyuka na kuchoma mji huu.”
11 And it has come to pass, in the going up of the force of the Chaldeans from off Jerusalem, because of the force of Pharaoh,
Basi ilikuwa wakati jeshi la Wakaldayo lilipoondoka Yerusalem wakati jeshi la Farao lilikuwa linakuja,
12 that Jeremiah goes out from Jerusalem to go [to] the land of Benjamin, to receive a portion there in the midst of the people.
kisha Yeremia alienda toka Yerusalem kwenda nchi ya Benjamini. Alitaka kumiliki njia ya nchi huko miongoni mwa watu wake.
13 And it comes to pass, he is at the Gate of Benjamin, and there [is] a master of the ward, and his name is Irijah son of Shelemiah, son of Hananiah; and he catches Jeremiah the prophet, saying, “You are defecting to the Chaldeans!”
Kama alivyokuwa katika mlango wa Benjamini, mlinzi mkuu aliyekuwa hapo. Jina lake lilikuwa Yeria mwana wa Shelemia mwana wa Hanania. Alimshika kwa kumnyakua Yeremia nabii na kusema, “Mnatoka jangwani kwa Wakaldayo.”
14 And Jeremiah says, “Falsehood! I am not defecting to the Chaldeans”; and he has not listened to him, and Irijah lays hold on Jeremiah, and brings him to the heads,
Lakini Yeremia alisema, “Hiyo si kweli. Siendi jangwani kwa Wakaldayo.” Lakini Yeria hakumsikiliza. Alimchukua Yeremia na kumleta kwa maafisa.
15 and the heads are angry against Jeremiah, and have struck him, and put him in the prison-house—the house of Jonathan the scribe, for they had made it for a prison-house.
Maafisa walikuwa wamemkasirikia Yeremia. Walimpiga na kumweka gerezani, ambayo ilikuwa nyumba ya Yonathani mwandishi, kwa kuwa waligeuza kuwa gereza.
16 When Jeremiah has entered into the house of the dungeon, and to the cells, then Jeremiah dwells there many days,
Kwa hiyo Yeremia alikuwa amewekwa kwenye kifungo cha chini, ambako alikuwa huko kwa siku nyingi.
17 and King Zedekiah sends, and takes him, and the king asks him in his house in secret, and says, “Is there a word from YHWH?” And Jeremiah says, “There is,” and he says, “You are given into the hand of the king of Babylon.”
Kisha mfalme Sedekia alimtuma mtu mmoja aliyemleta kwenye ikulu. Kwenye nyumba yake, mfalme alimuuliza binafsi, “Kuna neno: Utatiwa kwenye mkono wa mfalme wa Babeli.”
18 And Jeremiah says to King Zedekiah, “What have I sinned against you, and against your servants, and against this people, that you have put me into a prison-house?
Kisha Yeremia alisema kwa mfalme Sedekia, “Kwa namna gani nimekutenda dhambi, mjakazi wako, au watu hawa kwamba umeniweke mimi kwenye gereza?
19 And where [are] your prophets who prophesied to you, saying, The king of Babylon does not come in against you, and against this land?
Wako wapi nabii wako, wale waliotabiri kwa ajili yako na kusema mfalme wa Babeli hatakuja dhidi yako au dhidi ya nchi hii?
20 And now, please listen, O my lord the king; please let my supplication fall before you, and do not cause me to return [to] the house of Jonathan the scribe, that I do not die there.”
Lakini sasa sikiliza, bwana wangu mfalme! Acha ombi langu liwe mbele yako. Usinirudie mimi kwenye nyumba ya Yonathani mwandishi, au nitakufa huko.”
21 And King Zedekiah commands, and they commit Jeremiah into the court of the prison, also to give a cake of bread to him daily from the bakers’ street, until the consumption of all the bread of the city, and Jeremiah dwells in the court of the prison.
Kwa hiyo mfalme Sedekia alitoa amri. Wajakazi wake walimwekea mipaka Yeremia katika uwanja wa walinzi. Alipewa mkate kila siku kutoka mtaa wa waokaji mkate, mpaka mkate wote mjini uliisha. Basi Yeremia alibaki kwenye uwanja walinzi.

< Jeremiah 37 >