< Ezra 2 >

1 And these [are] sons of the province who are going up—of the captives of the expulsion that Nebuchadnezzar king of Babylon removed to Babylon, and they return to Jerusalem and Judah, each to his city—
Basi hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka hadi Babeli (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
2 who have come in with Zerubbabel, Jeshua, Nehemiah, Seraiah, Reelaiah, Mordecai, Bilshan, Mispar, Bigvai, Rehum, Baanah. The number of the men of the people of Israel:
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu na Baana): Orodha ya wanaume kati ya watu wa Israeli ilikuwa:
3 sons of Parosh, two thousand one hundred seventy-two;
wazao wa Paroshi 2,172
4 sons of Shephatiah, three hundred seventy-two;
wazao wa Shefatia 372
5 sons of Arah, seven hundred seventy-five;
wazao wa Ara 775
6 sons of Pahath-Moab, of the sons of Jeshua [and] Joab, two thousand eight hundred and twelve;
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,812
7 sons of Elam, one thousand two hundred fifty-four;
wazao wa Elamu 1,254
8 sons of Zattu, nine hundred and forty-five;
wazao wa Zatu 945
9 sons of Zaccai, seven hundred and sixty;
wazao wa Zakai 760
10 sons of Bani, six hundred forty-two;
wazao wa Bani 642
11 sons of Bebai, six hundred twenty-three;
wazao wa Bebai 623
12 sons of Azgad, one thousand two hundred twenty-two;
wazao wa Azgadi 1,222
13 sons of Adonikam, six hundred sixty-six;
wazao wa Adonikamu 666
14 sons of Bigvai, two thousand fifty-six;
wazao wa Bigwai 2,056
15 sons of Adin, four hundred fifty-four;
wazao wa Adini 454
16 sons of Ater of Hezekiah, ninety-eight;
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
17 sons of Bezai, three hundred twenty-three;
wazao wa Besai 323
18 sons of Jorah, one hundred and twelve;
wazao wa Yora 112
19 sons of Hashum, two hundred twenty-three;
wazao wa Hashumu 223
20 sons of Gibbar, ninety-five;
wazao wa Gibari 95
21 sons of Beth-Lehem, one hundred twenty-three;
watu wa Bethlehemu 123
22 men of Netophah, fifty-six;
watu wa Netofa 56
23 men of Anathoth, one hundred twenty-eight;
watu wa Anathothi 128
24 sons of Azmaveth, forty-two;
watu wa Azmawethi 42
25 sons of Kirjath-Arim, Chephirah, and Beeroth, seven hundred and forty-three;
wazao wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
26 sons of Ramah and Gaba, six hundred twenty-one;
wazao wa Rama na Geba 621
27 men of Michmas, one hundred twenty-two;
watu wa Mikmashi 122
28 men of Beth-El and Ai, two hundred twenty-three;
watu wa Betheli na Ai 223
29 sons of Nebo, fifty-two;
wazao wa Nebo 52
30 sons of Magbish, one hundred fifty-six;
wazao wa Magbishi 156
31 sons of another Elam, one thousand two hundred fifty-four;
wazao wa Elamu ile ingine 1,254
32 sons of Harim, three hundred and twenty;
wazao wa Harimu 320
33 sons of Lod, Hadid, and Ono, seven hundred twenty-five;
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 725
34 sons of Jericho, three hundred forty-five;
wazao wa Yeriko 345
35 sons of Senaah, three thousand and six hundred and thirty.
wazao wa Senaa 3,630
36 The priests: sons of Jedaiah, of the house of Jeshua, nine hundred seventy-three;
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37 sons of Immer, one thousand fifty-two;
wazao wa Imeri 1,052
38 sons of Pashhur, one thousand two hundred forty-seven;
wazao wa Pashuri 1,247
39 sons of Harim, one thousand and seventeen.
wazao wa Harimu 1,017
40 The Levites: sons of Jeshua and Kadmiel, of the sons of Hodaviah, seventy-four.
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41 The singers: sons of Asaph, one hundred twenty-eight.
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42 Sons of the gatekeepers: sons of Shallum, sons of Ater, sons of Talmon, sons of Akkub, sons of Hatita, sons of Shobai, the whole [are] one hundred thirty-nine.
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43 The Nethinim: sons of Ziha, sons of Hasupha, sons of Tabbaoth,
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44 sons of Keros, sons of Siaha, sons of Padon,
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45 sons of Lebanah, sons of Hagabah, sons of Akkub,
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46 sons of Hagab, sons of Shalmai, sons of Hanan,
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47 sons of Giddel, sons of Gahar, sons of Reaiah,
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 sons of Rezin, sons of Nekoda, sons of Gazzam,
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49 sons of Uzza, sons of Paseah, sons of Besai,
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50 sons of Asnah, sons of Mehunim, sons of Nephusim,
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51 sons of Bakbuk, sons of Hakupha, sons of Harhur,
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52 sons of Bazluth, sons of Mehida, sons of Harsha,
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53 sons of Barkos, sons of Sisera, sons of Thamah,
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54 sons of Neziah, sons of Hatipha.
wazao wa Nesia na Hatifa.
55 Sons of the servants of Solomon: sons of Sotai, sons of Sophereth, sons of Peruda,
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56 sons of Jaalah, sons of Darkon, sons of Giddel,
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57 sons of Shephatiah, sons of Hattil, sons of Pochereth of Zebaim, sons of Ami.
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58 All the Nethinim, and the sons of the servants of Solomon [are] three hundred ninety-two.
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59 And these [are] those going up from Tel-Melah, Tel-Harsa, Cherub, Addan, Immer, and they have not been able to declare the house of their fathers, and their seed, whether they [are] of Israel:
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60 sons of Delaiah, sons of Tobiah, sons of Nekoda, six hundred fifty-two.
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61 And of the sons of the priests: sons of Habaiah, sons of Koz, sons of Barzillai (who took a wife from the daughters of Barzillai the Gileadite, and is called by their name);
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62 these have sought their register among those reckoning themselves by genealogy, and they have not been found, and they are redeemed from the priesthood,
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63 and the Tirshatha says to them that they do not eat of the most holy things until the standing up of a priest with [the] Lights and with [the] Perfections.
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64 All the assembly together [is] forty-two thousand three hundred sixty,
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65 apart from their servants and their handmaids; these [are] seven thousand three hundred thirty-seven: and of them [are] two hundred male and female singers.
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66 Their horses [are] seven hundred thirty-six, their mules, two hundred forty-five,
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67 their camels, four hundred thirty-five, donkeys, six thousand seven hundred and twenty.
ngamia 435 na punda 6,720.
68 And some of the heads of the fathers in their coming to the house of YHWH that [is] in Jerusalem, have offered willingly for the house of God, to establish it on its base;
Walipofika kwenye nyumba ya Bwana huko Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa jamaa walitoa sadaka za hiari kwa ajili ya kujenga upya nyumba ya Mungu katika eneo lake.
69 according to their power they have given to the treasure of the work; of gold, sixty-one thousand drams, and of silver, five thousand pounds, and of priests’ coats, one hundred.
Wakatoa kwa kadiri ya uwezo wao na kutia katika hazina darkoni 61,000 za dhahabu, mane 5,000 za fedha, na mavazi 100 ya ukuhani kwa ajili ya kazi hiyo.
70 And the priests dwell, and the Levites, and of the people, and the singers, and the gatekeepers, and the Nethinim, in their cities; even all Israel in their cities.
Makuhani, Walawi, waimbaji, mabawabu, na watumishi wa Hekalu waliishi katika miji yao wenyewe, pamoja na baadhi ya watu wengine, nao Waisraeli waliosalia waliishi katika miji yao.

< Ezra 2 >