< Deuteronomy 14 >

1 “You [are] sons of your God YHWH; you do not cut yourselves, nor make baldness between your eyes for the dead;
Ninyi ni watu wa Yahwe Mungu wenu. Msijikate wenyewe, wala kunyoa sehemu za nyuso zenu kwa ajili ya wafu.
2 for you [are] a holy people to your God YHWH, and YHWH has fixed on you to be to Him for a people, a peculiar treasure, out of all the peoples who [are] on the face of the ground.
Kwa kuwa mu taifa lilowekwa wakfu kwa Yahwe Mungu wenu, na Yahwe amewachagua kuwa watu kwa ajili ya urithi wake, zaidi kuliko watu wote walio juu ya uso wa dunia.
3 You do not eat any abomination;
Hampaswi kula kitu chochote kilicho chukizo.
4 this [is] the beast which you eat: ox, lamb of the sheep, or kid of the goats,
Hawa ni wanyama ambao mnaweza kula: ng'ombe, kondoo, mbuzi,
5 deer, and roe, and fallow deer, and wild goat, and ibex, and antelope, and zemer;
kulungu, paa, kulungu wa kiume, mbuzi wa mwituni, paa mweupe na pofu na kondoo wa mlimani
6 and every beast dividing the hoof, and cleaving the cleft into two hooves, bringing up the cud, among the beasts—you eat it.
Mnaweza kula wanyama wowote ambao wamegawanyika kwato, ambaye ana kwato zilizogawanyika mara mbili, na utafuna macheuo.
7 Only, this you do not eat, of those bringing up the cud, and of those dividing the cloven hoof: the camel, and the hare, and the hyrax, for they are bringing up the cud, but the hoof has not divided—they [are] unclean to you;
Hata hivyo, hampaswi kula baadhi ya wanyama ambao utafuna macheuo au ambao wana kwato zilizogawanyika mara mbili: ngamia, sungura, pomono, kwa sababu watafuna macheuo lakini hawajagawanyika kwato, ni najisi kwenu.
8 and the sow, for it is dividing the hoof, and not [bringing] up the cud—it [is] unclean to you; you do not eat of their flesh, and you do not come against their carcass.
Nguruwe ni najisi kwenu pia kwa sababu amegawanyika kwato lakini hatafuni macheuo; ni najisi kwenu. Msile nyama ya nguruwe, na msiguse mizoga yao.
9 This you eat of all which [are] in the waters: anything that has fins and scales you eat;
Haya yaliyo ndani ya maji mnaweza kula: chochote kilicho na mapesi na magamba;
10 and anything which does not have fins and scales you do not eat—it [is] unclean to you.
lakini chochote kisichokuwa na mapesi na magamba msile; ni najisi kwenu.
11 Any clean bird you eat;
Ndege wote safi mnaweza kula.
12 and these [are] they of which you do not eat: the eagle, and the bearded vulture, and the osprey,
Lakini hawa ni ndege ambao hampaswi kula: tai, tumbusi, kipungu,
13 and the kite, and the falcon, and the vulture after its kind,
mwewe mwekundu na mweusi, aina yoyote ya kipanga.
14 and every raven after its kind;
Hampaswi kula aina yoyote ya kunguru,
15 and the ostrich, and the nightjar [[or male ostrich]], and the seagull, and the hawk after its kind;
na mbuzi na mwewe wa usiku, Lanes ndege wa baharini, aina yoyote ya mwewe,
16 the little owl, and the great owl, and the waterhen,
bundi mdogo, bundi mkubwa, na bundi mweupe,
17 and the pelican, and the Egyptian vulture, and the cormorant,
Mwari, nyamafu ya tai, mnandio.
18 and the stork, and the heron after its kind, and the hoopoe, and the bat.
Hampaswi kula korongo, aina yoyote ya kongoti, hudihudi, na popo.
19 And every teeming thing which is flying—it [is] unclean to you; they are not eaten;
Wote wenye mabawa; vitu vya utando ni najisi kwenu; havipaswi kuliwa.
20 any clean bird you eat.
Mnaweza kula vitu vyote virukavyo.
21 You do not eat of any carcass; you give it to the sojourner who [is] within your gates, and he has eaten it; or sell [it] to a stranger; for you [are] a holy people to your God YHWH. You do not boil a kid in its mother’s milk.
Hampaswi kula chochote kinachokufa chenyewe; mnaweza kumpa mgeni ambaye yuko katika mji wenu, kwamba anaweza kula au mnaweza kuuza kwa mgeni. Kwa kuwa mu taifa lilolowekwa wakfu kwa ajili ya Yahwe Mungu wenu. Hampaswi kumchemusha mbuzi kijana katika maziwa ya mama yake.
22 You certainly tithe all the increase of your seed which the field is bringing forth year by year;
Hakika mnapaswa kutoa fungu la kumi la mavuno ya mbegu zenu zote, ambazo huja kutoka kwenye shamba kila mwaka.
23 and you have eaten before your God YHWH, in the place where He chooses to cause His Name to dwell, the tithe of your grain, of your new wine, and of your oil, and the firstlings of your herd, and of your flock, so that you learn to fear your God YHWH [for] all the days.
Mnapaswa kula mbele ya Yahwe Mungu wenu, katika eneo ambalo atachagua kama patakatifu pake, fungu la kumi la nafaka zenu, za mvinyo mpya, na mafuta yenu, na mzaliwa wa kwanza wa wanyama na mifugo, kwamba mnaweza kujifunza daima kumheshimu Yahwe Mungu wenu.
24 And when the way is too much for you, that you are not able to carry it—when the place is too far off from you which your God YHWH chooses to put His Name there, when your God YHWH blesses you—
Kama safari ni ndefu kwenu na kwamba hamwezi kuibeba, kwa sababu eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua kama patakatifu pake ni mbali kwenu, basi, wakati Yahwe Mngu anawabariki,
25 then you have given [it] in money, and have bound up the money in your hand, and gone to the place on which your God YHWH fixes;
mtabadilisha sadaka katika pesa. Fungeni pesa kwenye mkono, na nendeni kwenye eneo ambalo Yahwe Mungu wenu atachagua.
26 and you have given the money for anything which your soul desires, for oxen, and for sheep, and for wine, and for strong drink, and for anything which your soul asks for, and you have eaten before your God YHWH there, and you have rejoiced, you and your house.
Huko mtatumia pesa kwa chochote mnatamani kwa ng'ombe au kondoo, au kwa mvinyo, au kwa kinywaji imara, au kwa chochote mnatamani; mtakula hapo mbele ya Yahwe Mungu wenu, na mtafurahi, nyie na nyumba zenu.
27 As for the Levite who [is] within your gates, you do not forsake him, for he has no portion and inheritance with you.
Mlawi ambaye yuko malangoni mwenu- msimsahau, kwa kuwa hana sehemu wala urithi pamoja nanyi.
28 At the end of three years you bring out all the tithe of your increase in that year, and have placed [it] within your gates;
Mwisho mwa kila miaka mitatu mtawasilisha mafungu yote ya kumi ya mazao kwa mwaka huo huo, na mtatunza katika malango yenu;
29 and the Levite has come in—for he has no part and inheritance with you—and the sojourner, and the fatherless, and the widow, who [are] within your gates, and they have eaten, and been satisfied, so that your God YHWH blesses you in all the work of your hand which you do.”
na Mlawi, kwa sababu hana sehemu wala urithi pamoja nanyi, na mgeni, na yatima, na wajane walio ndani ya malango yenu, watakuja na kula na kurithika. Fanya hivyo kwa Yahwe Mungu wenu aweze kuwabariki katika kazi zote za mikono yenuo mnazofanya.

< Deuteronomy 14 >