< 1 Chronicles 8 >

1 And Benjamin begot Bela his firstborn, Ashbel the second, and Aharah the third,
Wana watano wa Benjamini walikuwa Bela mwana wake wa kwanza, Asibeli, Ahara,
2 Nohah the fourth, and Rapha the fifth.
Noha, na Rafa.
3 And there are sons to Bela: Addar, and Gera,
Wana wa Bela walikuwa Adari, Gera, Abihudi,
4 and Abihud, and Abishua, and Naaman, and Ahoah,
Abishau, Naamani, Ahoa,
5 and Gera, and Shephuphan, and Huram.
Gera, Shefufani, na Huramu.
6 And these [are] sons of Ehud—they are heads of fathers to the inhabitants of Geba, and they remove them to Manahath:
Hawa walikuwa uzao wa Ehudi ambao walikuwa vichwa vya koo kwa wakazi wa Geba, ambao walihimizwa kuhamia Manahati:
7 even Naaman, and Ahiah, and Gera, who removed them and begot Uzza and Ahihud.
Naamani, Ahijahi, na Gera. Wa mwishi, Gera, aliwaongoza katika kuhama. Alikuwa baba wa Uza na Ahihudi.
8 And Shaharaim begot in the field of Moab after his sending them away; Hushim and Baara [are] his wives.
Shaharaimu akawa baba wa watoto katika ardhi ya Moabu, baada ya kuwatariki wake zake Hushimu na Baara.
9 And he begets of his wife Hodesh: Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcham,
kwa mke wake Hodeshi, Shaharaimu akawa baba wa Yobabu, Zibia, Mesha, Malkamu,
10 and Jeuz, and Shachiah, and Mirmah. These [are] his sons, heads of fathers.
Yeuzi, Shachia, na Mirima. Hawa walikuwa wana wake, viongozi katika koo zao.
11 And of Hushim he begot Ahitub and Elpaal.
Alikwisha kuwa baba wa Abitubi, na Elipaali kwa Hushimu.
12 And sons of Elpaal: Eber, and Misheam, and Shamer (he built Ono and Lod and its small towns),
Wana wa Elipaali walikuwa Eba, Mishamu, na Shemedi ( ambao walijenga Ono na Lod pamoja na vijiji vilivyozunguka.)
13 and Beriah and Shema (they [are] the heads of fathers to the inhabitants of Aijalon—they caused the inhabitants of Gath to flee),
Pia walikuwako Beria na Shema. Walikuwa vichwa vya koo walizoishi Aijalon, Ambao waliwaondoa wakazi wa Gati.
14 and Ahio, Shashak, and Jeremoth,
Beria alikuwa na wana watatu: Ahio, Shashaki, Jeremothi,
15 and Zebadiah, and Arad, and Ader,
Zebadia, Aradi, Eda,
16 and Michael, and Ispah, and Joha, sons of Beriah,
Mikaeli, Ishipa, na Joha.
17 and Zebadiah, and Meshullam, and Hezeki, and Heber,
Elipaa alikuwa na wana hawa: Zebadia, Meshulamu, Hiziki, Heba,
18 and Ishmerai, and Jezliah, and Jobab, sons of Elpaal;
Ishimerai, Izilia, na Yobabu.
19 and Jakim, and Zichri, and Zabdi,
Shimei alikuwa na wana hawa: Yokimu, Zikri, Zabdi,
20 and Elienai, and Zillethai, and Eliel,
Elienai, Zilletai, Elieli,
21 and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, sons of Shimei;
Adaia, Beraia, na Shimrati.
22 and Ishpan, and Heber, and Eliel,
Shashaki alikuwa na wana hawa: Ishipani, Eba, Elieli,
23 and Abdon, and Zichri, and Hanan,
Abdoni, Zikri, Hanani,
24 and Hananiah, and Elam, and Antothijah,
Hanania, Elamu, Antotoja,
25 and Iphedeiah, and Penuel, sons of Shashak;
Ifdeia, na Penueli.
26 and Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,
Yerohamu alikuwa na wana hawa: Shamsherai, Sheharia, Atli,
27 and Jaareshiah, and Eliah, and Zichri, sons of Jeroham.
Yaareshia, Elija, na Zikri.
28 These [are] heads of fathers, by their generations, [the] heads. These dwelt in Jerusalem.
Hawa walikuwa vichwa vya koo na viongozi walioishi Yerusalemu.
29 And the father of Gibeon has dwelt in Gibeon, and the name of his wife [is] Maachah;
Baba wa Gibeoni, Jeieli, ambaye mke wake aliitwa Maaka, aliishi ndani ya Gibeoni.
30 and his son, the firstborn, [is] Abdon, and Zur, and Kish, and Ba‘al, and Nadab,
Uzao wake wa kwanza alikuwa Abdoni, akafatia Zuri, Kishi, Baali, Nadab,
31 and Gedor, and Ahio, and Zacher;
Gedori, Ahio, na Zekari.
32 and Mikloth begot Shimeah. And they also dwelt opposite their brothers—with their brothers in Jerusalem.
Mwana mwingine wa Yeieli alikuwa Mikloti, ambaye akaja kuwa baba wa Shimea. Pia wanaishi karibu na ndugu zao Yerusalemu.
33 And Ner begot Kish, and Kish begot Saul, and Saul begot Jonathan, and Malchi-Shua, and Abinadab, and Esh-Ba‘al.
Neri alikuwa baba wa Kishi. Kishi alikuwa baba wa Sauli. Sauli alikuwa baba wa Yonathani, Malkishua, Abinadabu, na Ishbaali.
34 And a son of Jonathan [is] Merib-Ba‘al, and Merib-Ba‘al begot Micah;
Mwana wa Yonathani alikuwa Meribu Baali. Meribu Baali alikuwa baba wa Mika.
35 and sons of Micah: Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz:
Wana wa Mika walikuwa Pithoni, Meleki, Tarea, and Ahazi.
36 and Ahaz begot Jehoadah, and Jehoadah begot Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri begot Moza,
Ahazi akawa baba wa Yehoada. Yehoada alikuwa baba wa Amelethi, Azimavethi, na Zimri. Zimri alikuwa baba wa Moza.
37 and Moza begot Binea, Raphah his son, Eleasah his son, Azel his son.
Moza alikuwa baba wa Binea. Binea alikuwa baba wa Rafa. Rafa alikuwa baba wa Eleasa. Eleasa alikuwa baba wa Azeli.
38 And to Azel [are] six sons, and these [are] their names: Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these [are] sons of Azel.
Azeli alikuwa na wana sita: Azrikamu, Bokeru, Ishimaeli, Obadia, na Hanani. Wote hawa walikuwa wana wa Azeli.
39 And sons of his brother Eshek: Ulam his firstborn, Jehush the second, and Eliphelet the third.
Wana wa Esheki, kaka yake, walikuwa Ulamu mzaliwa wake wa kwanza, Yeushi wa pili, na Elifeleti wa tatu.
40 And the sons of Ulam are men mighty in valor, treading bow, and multiplying sons and son’s sons—one hundred and fifty. All these [are] of the sons of Benjamin.
Wana wa Ulamu walikuwa wanaume wa mapambano na warusha mishale wa zuri. Walikuwa na wana wengi na wajukuu, jumla ya 150. Wote hawa walikuwa uzao wa Benjamini.

< 1 Chronicles 8 >