< Psalms 125 >
1 “A song of the degrees.” Those who trust in the Lord are like mount Zion, which will not he moved, which endureth for ever.
Wale wamwaminio Yahwe ni kama mlima Sayuni, hautikisiki, wadumu milele.
2 Jerusalem hath mountains round about her: and [so] is the Lord round about his people, from this time forth and for evermore.
Kama milima inavyo izunguka Yerusalemu, hivyo ndivyo Yahwe anavyo wazunguka watu wake sasa na hata milele.
3 For the sceptre of wickedness shall not rest upon the lot of the righteous: in order that the righteous may not stretch forth their hands unto wrong-doing.
Fimbo ya uovu haitatawala katika nchi ya wenye haki. Vinginevyo wenye haki wanaweza kukosea.
4 Do good, O Lord, unto the good, and to those that are upright in their hearts.
Ee Yahwe, utende wema kwa wale walio wema na wale walio wanyoofu mioyoni mwao.
5 But as for those who turn aside unto their crooked ways, them will the Lord drive away with the workers of wickedness; but peace shall be upon Israel.
Lakini kwa wale wanaogeukia njia zao za upotovu, Yahwe atawaondoa pamoja na watenda maovu. Amani iwe na Israeli.