< Isaiah 31 >

1 Woe to those that go down to Egypt for help; and depend for support on horses, and trust on chariots, because they are many; and on horsemen, because they are very strong; but who turn not unto the Holy One of Israel, and seek not the Lord!
Ole wao washukao Misri kuomba msaada na kutegemea farasi, kuweka imani katika magari (maana wako wengi) na ( maana faras haziesabiki). Lakini hawausiani na Mtakatifu wa Israeli, wala hawamtafuti Yahwe!
2 Yet he also is wise, and bringeth evil, and taketh not back his words; and riseth up against the house of evil-doers, and against the help of those that work injustice.
Lakini ni mwenye busara, na ataleta maafa na atakanusha maneno yake. Na atakuja juu ya nyumba zitendazo maovu, na dhidi ya wale wanaowasaidia kuteda dhambi.
3 But the Egyptians are men, and not God; and their horses are flesh, and not spirit; and the Lord will stretch out his hand, and there shall stumble the helper, and he that is helped shall fall down, and they all shall perish together.
Misri ni mtu na sio Mungu, ni farasi wa mwili na sio wa roho. Yahwe atakapota nje kwa mkono wake, wote waliowasaidia watakuwa na mashaka, na yeyote atakayesidia atanguka; wote kwa pamoja watatoweka.
4 For thus hath said the Lord unto me, Just as the lion or the young lion growleth over his prey, against whom is called forth the company of shepherds, of whose voice he is not afraid, and is not depressed because of their multitude: thus will the Lord come down, to fight on mount Zion and on its hill.
Hivi ndivyo Yahwe alivyosema na mimi, '' kama simba, na hata mtoto wa simba, hunguruma juu ya mawindo yake, pale makundi ya wachungaji yanapoita dhidi yake, lakini hatatemeka kwa sauti zao, wala hatakwenda kwa sababu ya kelele zao, hivyo Yahwe wa majeshi atashuka kupigana kwenye mlima Sayuni, katika kilima hicho.
5 As fluttering birds, so will the Lord of hosts shield Jerusalem; shielding and delivering; sparing and preserving.
Kama ndege apaavyo, hivyo Yahwe wa majeshi atailinda Yerusalemu; atailinda na kuiokoa kama apitavyo juu na kuilinda.
6 Turn ye unto him from whom the children of Israel have deeply revolted.
Mrudieni yeye kutoka huyo mliyemgeukia, watu wa Israeli.
7 For on that day shall every man despise his idols of silver, and his idols of gold, which your own hands have made unto you for a sin.
Maana katika siku hiyo kila mmoja ataondoa miungu ya fedha na miungu ya dhahabu iliyotegenezwa kwa mikono yenu yenye dhambi.
8 Then shall Asshur fall by the sword of one who is not a man; and the sword of one who is not a son of earth shall devour him; and he shall flee him from the sword, and his young men shall become tributary.
Asiria atangamizwa kwa upanga; na upanga usioshikiwa na mtu utumaliza yeye. Ataukimbia upanga, na vijana wake wadogo watafanyishwa kazi ngumu.
9 And his stronghold shall pass away for fear, and his princes shall be terrified because of the ensign, saith the Lord, who hath a fire in Zion, and a furnace in Jerusalem.
Na watashindwa kujiani kwa sababu ya hofu, na mkuu wao ataogopa mbele ya bendera ya jeshi la Yahwe.''- Hili ni tamko la Yahwe, ambao moto uko Sayuni na ambayo sufuria ya moto iko Yerusalemu.

< Isaiah 31 >