< Habakkuk 2 >

1 Upon my watch will I stand, and place myself upon the tower, and will watch to see what he will speak with me, and what I shall answer to my reproof.
Nitasimama kwenye nguzo yangu ya ulinzi na kujiweka mwenyewe juu ya mnara wa mlinzi, na nitatazama kwa makini kuona yeye atasema nini kwangu na namna gani nitageuka kutoka kwenye lawama yangu.
2 And the Lord answered me, and said, Write down the vision, and make it plain upon the tables, that everyone may read it fluently.
Yahwe alinijibu na alisema, “Rekodi maono haya, na uandike dhahiri juu ya kibao ili kwamba anayesoma anaweza kukimbia.
3 For there is yet a vision for the appointed time, and it speaketh of the end, and it will not deceive: though it tarry, wait for it; because it will surely come, it will not be delayed.
Sababu maono haya bado ni kwa wakati ujao na hatimaye atazungumza bila kuanguka. Ingawa inachelewa, isubiri. Sababu kwa hakika itatakuja na haitachelewa.
4 Behold, disturbed, not at rest is the soul of [the wicked] in him; but the righteous ever liveth in his [trustful] faith.
Tazama! yule ambae hamu yake siyo sawa ndani yake anapumua kwa nguvu. Lakini mwenye haki ataishi kwa imani.
5 And though the wine-[drunken] traitor, the proud man, whose house will not stand, who enlargeth his desire as the grave, and is like death, which cannot be satisfied, —though he gather unto him all the nations, and assemble unto him all the people: (Sheol h7585)
Sababu mvinyo ni msaliti wa kijana mwenye kiburi ili kwamba asistahimili, lakini hukuza tamaa yake kama kaburi na, kama kifo, haitaweza kuridhishwa. Yeye anajikusanyia kila taifa na anakusanya kwaajili yake watu wote. (Sheol h7585)
6 Will not all these take up a parable against him, and a proverb and a satire concerning him? and they will say, Woe to him that increaseth what is not his! for how long? and to him that loadeth himself with a burden of guilt!
Haya yote hayatatengeneza usemi kumdhihaki na wimbo wa dhihaka unaomhusu, 'ole wake yule aongezaye visivyo vya kwake! kwa muda gani utaongeza uzito wa dhamana uliyochukua?'
7 Behold, suddenly will rise up those that afflict thee, and awake those that plague thee, and thou shalt become a booty unto them.
Wale wanao ngojea kwako hawatainuka ghafla? na wale wanaokutetemesha kuamka? Utakuwa mwathirika kwaajili yao.
8 Because thou hast despoiled many nations will all the remnant of the people despoil thee; because of the blood of men, and the violence against the land, the town, and all that dwell therein.
Kwasababu umeteka nyara watu wengi, mabaki yote ya watu, yatakuteka nyara wewe. Sababu umemwaga damu nyingi za watu na umetenda kwa uasi kinyume cha nchi, miji, na wote wanaokaa ndani yake.
9 Woe to him that obtaineth an evil gain for his house, that he may set his nest on high, that he may be delivered from the grasp of the wicked!
Ole kwa yule anayechonga mapato maovu kwaajili ya nyumba yake, hivyo anaweza kutengeneza kiota chake juu kumweka yeye salama mbali na mikono ya uovu.
10 Thou hast counselled shame to thy house, by cutting off many people, and sinning [against] thy soul.
Umebuni aibu kwa nyumba yako kwa kuwakata watu wengi, na umefanya dhambi dhidi yako mwenyewe.
11 For the stone will cry out of the wall, and the beam out of the wood [-work] will answer it.
Sababu jiwe litapaza sauti kutoka ukutani, na pao la mbao litawajibu,
12 Woe to him that buildeth a city with blood-guiltiness, and layeth the foundation of a town by wrong-doing.
'Ole wake yule ajengaye mji kwa damu, na anayeimarisha mji kwa katika uovu.
13 Behold, is it not from the Lord of hosts that people shall labor for the very fire, and nations shall weary themselves for naught but vanity!
Hii haitoki kwa Yahwe wa majeshi kwamba watu wafanye kazi kwa moto na mataifa yote mengine yanachakaa menyewe bila kitu?
14 For the earth shall be filled with knowledge of the glory of the Lord, as the waters cover the sea.
Bado nchi itajaa maarifa ya utukufu wa Yahwe kama maji yanavyojaza bahari.
15 Woe unto him that maketh his neighbors drink, [to thee] that pourest out thy poisonous [wine], and makest them also drunken, in order to look on their nakedness!
'Ole wake yule anayemfanya jirani yake alewe, wewe ambaye unaye ongeza sumu uwafanye walewe ili uweze kutazama uchi wao.
16 Thou art filled with shame instead of glory; drink thou also, and let thy nakedness be uncovered: there shall be turned around thee the cup of the Lord's right hand, and filthy spittle shall be on thy glory.
Utavimbiwa na aibu zaidi kuliko utukufu. Kunywa hiyo vilevile, na funua uchi wako mwenyewe. Kikombe cha mkono wa kuume wa Yahwe utakuja katika kukugeukia wewe, na aibu itafunika heshima yako.
17 For the violence against Lebanon shall cover thee, and the destruction of beasts, which he terrified away; because of the blood of men, and the violence against the land, the town, and all that dwell therein.
Vurugu iliyofanywa kwa Lebanoni itakufunika na uharibifu wa wanyama utakuogopesha. Sababu umemwaga damu za watu na umetenda kwa uasi dhidi ya ile nchi, miji, na wote wanaokaa humo.
18 What profiteth the graven image that its maker hath graven it? the molten image, and a teacher of falsehood? that the maker of his image trusteth therein, while making dumb idols?
Sanamu iliyochongwa inakufaidia nini? Sababu yule aliyeichonga hiyo, au ambaye kaisubu kwa kuiyeyusha metali, ni mwalimu wa uongo; Sababu anaiamini kazi ya mikono yake anapotengeneza miungu hii isiyoongea.
19 Woe unto him that saith to the wood, Awake! Rouse up to the dumb stone. Shall this teach? Behold, it is overlaid with gold and silver, and no breath whatever is in its bosom.
'Ole kwa yule anayeuambia ubao, Amka! Au kwa jiwe lisiloongea, Inuka!' Vitu hivi vinafundisha? Angalia, hiki juu kimefunikwa kwa dhahabu na fedha, lakini ndani yake hakipumui kabisa.
20 But the Lord is in his holy temple: be silent before him all the earth.
Lakini Yahwe yumo katika hekalu lake takatifu! Nchi yote iwe kimya mbele zake.

< Habakkuk 2 >