< Ezra 2 >
1 Now these are the children of the province who went up out of the captivity of the exiles, whom Nebuchadnezzar the king of Babylon had carried away into exile unto Babylon, and who returned unto Jerusalem and Judah, every one unto his city;
Hawa ndio watu katika jimbo waliochukuliwa mateka na kwenda na mfalme Nebukadneza, yeye aliwachukua utumwani Babeli, watu wakarudi katika miji yao ya Yerusalem na Yuda.
2 Who came with Zerubbabel, Jeshua', Nehemiah, Serayah, Re'elayah, Mordecai, Bilshan, Misspar, Bigvai, Rechum, Ba'anah. The number of the men of the people of Israel was:
Walikuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari., Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndio idadi ya wanaume ya watu wa Israeli.
3 The children of Par'osh, two thousand one hundred seventy and two.
Waporoshi: 2, 172
4 The children of Shephatyah, three hundred seventy and two.
Wana wa Shefatia: 372
5 The children of Arach, seven hundred seventy and five.
Wana wa Ara: 775.
6 The children of Pachath-moab, of the children of Jeshua' and Joab, two thousand eight hundred and twelve.
Wana wa Path-Moabu, kupitia Yeshua na Yoabu: 2, 812.
7 The children of 'Elath, one thousand two hundred fifty and four.
Wana wa Eliamu: 1, 254.
8 The children of Zatthu, nine hundred and forty and five.
Wana wa Zatu: 945.
9 The children of Zaccai, seven hundred and sixty.
Wana wa Zakai: 760.
10 The children of Bani, six hundred forty and two.
Wana wa Binui: 642.
11 The children of Bebai, six hundred twenty and three.
Wana wa Bebai: 623.
12 The children of 'Azgad, one thousand two hundred twenty and two.
Wana wa Azgadi: 1, 222.
13 The children of Adonilam, six hundred sixty and six.
Wana wa Adonikamu: 666.
14 The children of Bigvai, two thousand fifty and six.
Wana wa Bigwai: 2, 056.
15 The children of 'Adin, four hundred fifty and four.
Wana wa Adini: 454.
16 The children of Ater of Hezekiah, ninety and eight.
Wana wa Ateri kupitia Hezekiah: tisini na nane.
17 The children of Bezai, three hundred twenty and three.
Wana wa Besai: 323.
18 The children of Jorah, one hundred and twelve.
Wana wa Harifu: 112.
19 The children of Chashum, two hundred twenty and three.
Wanaume wa Hashimu: 223.
20 The children of Gibbar, ninety and five.
Wanaume wa Gibeoni: Tisini na tano.
21 The people of Beth-lechem, one hundred twenty and three.
Wanaume wa Bethlehemu: 123.
22 The men of Netophah, fifty and six.
Wanaume wa Netofa: Hamsini na sita.
23 The men of 'Anathoth, one hundred twenty and eight.
Wanaume wa Anathothi: 128.
24 The people of 'Azmaveth, forty and two.
Wanaume wa Beth-Azmawethi: Arobaini na mbili.
25 The people of Kiryath-'arim, Kephirah, and Beeroth, seven hundred and forty and three.
Wanaume wa Kiriath-Yearimu, na Kefira, na Beerothi: Mia saba arobaini na tatu.
26 The people of Ramah and Geba', six hundred twenty and one.
Wanaume wa Rama na Geba: 621.
27 The men of Michmass, one hundred twenty and two.
Wanaume wa Mikmashi: 122.
28 The men of Beth-el and 'Ai, two hundred twenty and three.
Wanaume wa Betheli, na Ai: 223.
29 The people of Nebo, fifty and two.
Wanaume wa Nebo: Hamsini na mbili.
30 The children of Magbish, one hundred fifty and six.
Wanaume wa Magbishi: 156.
31 The children of the other 'Elam, one thousand two hundred fifty and four.
Wanaume wengine wa Elamu: 1, 254.
32 The children of Charim, three hundred and twenty.
nne. Wanaume wa Harimu: 320.
33 The people of Lod, Chadid, and Ono, seven hundred twenty and five.
Wanaume wa Lodi, na Hadidi, na Ono: 725.
34 The people of Jericho, three hundred forty and five.
Wanaume wa Yeriko: 345.
35 The people of Senaah, three thousand and six hundred and thirty.
Wanaume wa Senaa: 3, 630.
36 The priests were: The children of Jeda'yah, of the house of Jeshua', nine hundred seventy and three.
Wana wa Yedaya kuhani wa nyumba ya Yoshua: 973.
37 The children of Immer, one thousand fifty and two.
Wana wa Imeri: 1, 052.
38 The children of Pashchur, one thousand two hundred forty and seven.
Wana wa Pashuri: 1, 247.
39 The children of Charim, one thousand and seventeen.
Wana wa Harimu: 1, 017.
40 The Levites were: The children of Jeshua, and Kadmiel, of the children of Hodavyah, seventy and four.
Walawi: Wana wa Yeshua, na Kadmieli, wana wa Hodavia: Sabini na
41 The singers were: The children of Assaph, one hundred twenty and eight.
nne. Waimbaji hekaluni wana wa Asafu: 128.
42 The children of the gate-keepers were: The children of Shallum, the children of Ater, the children of Talmon, the children of 'Akkub, the children of Chatita, the children of Shobai, in all one hundred thirty and nine.
Walinzi: wana wa Shalumu, Ateri na, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai: 139 jumla.
43 The temple-servants were: The children of Zicha, the children of Chassupha, the children of Tabba'oth.
Wale walichaguliwa kuhudumu ndani ya Hekalu: wana wa Siha, Hasufa, Tabaothi:
44 The children of Keross, the children of Si'aha, the children of Padon.
Keros, Siaha, Padoni.
45 The children of Lebanah, the children of Chagabah, the children of 'Akkub.
Lebana, Hagaba, Akubu,
46 The children of Chagab, the children of Shalmai, the children of Chanan.
Hagabu, Salmai, Hanani
47 The children of Giddel, the children of Gachar, the children of Reayah.
Wana wa Gideli, Gahari, Reaya,
48 The children of Rezin, the children of Nekoda, the children of Gazzam.
Resini, Nekoda, Gazamu,
49 The children of 'Uzza, the children of Paseach, the children of Bessai,
Uza, Pasea, Besai,
50 The children of Assnah, the children of Me'unim, the children of Nephussim,
Asna, Meunimu, Nefusimu:
51 The children of Bakbuk, the children of Chakupha, the children of Charchur,
Wana wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri:
52 The children of Bazluth, the children of Mechida, the children of Charsha,
Basluthi, Mehida, Barsha:
53 The children of Barkoss, the children of Sissera, the children of Thamach,
Barkosi, Sisera, Tema:
54 The children of Neziach, the children of Chatipha.
Nesia, Tefa
55 The children of Solomon's servants were: The children of Sotai, the children of Sophereth, the children of Peruda.
Wana wa watumishi wa Selemani: Wana wa Sotai, Soferethi, Peruda,
56 The children of Ja'alah, the children of Darkon, the children of Giddel.
Yaala, Darkoni, Gideli,
57 The children of Shephatyah, the children of Chattil, the children of Pochereth-hazzebayim, the children of Ami.
Shefatia, Hatili, Pokereth-Sebaimu, Amoni,
58 All the temple-servants, and the children of Solomon's servants, were three hundred and ninety and two.
Walikuwa jumla ya watumishi mia tatu tisini na mbili waliochaguliwa kutumika katika Hekalu pamoja na wana wa watumishi wa Selemani.
59 And these are those who went up from Thel-melach, Thelcharsha, Kerub, Addan, and Immer; but they could not tell their family division, and their descent, whether they were of Israel:
Wale ambao walitoka Tel-mela, Tel-harsha, Kerubu, Adani, na Imeri, Lakini hawakuweza kuthibitisha kizazi chao kilitoka Israeli-
60 The children of Delayah the children of Tobiyah, the children of Nekoda, six hundred fifty and two.
pamoja na mia sita hamsini na mbili wana wa Delaya, Tobia na Nekoda.
61 And of the children of the priests: The children of Chabayah, the children of Hakkoz, the children of Barzillai, who had taken a wife from the daughters of Barzillai the Gil'adite, and was called after their name.
Vilevile, kutoka kwa wana wa kuhani: Wana wa Habaya, Hakosi, Barzilai (ambaye alipata mke kutoka kwa binti ya Barzilai, Mgileadi na akaitwa kwa jina lao)
62 These sought for their family-registers, but they were not found: wherefore they were excluded, as unfit, from the priesthood.
Walitafuta kumbukumbu ya kizazi chao, lakini haikupatikana, hivyo wakaondolewa kwenye ukuhani kama wasiosafi.
63 And the Thirshatha said unto them, that they should not eat of the most holy things, till there should stand up a priest with the Urim and Thummim.
Hivyo kiongozi akawakataza wasile kitu chochote kitakatifu kilichotakaswa mpaka kuhani mwenye Urimu na Thumimu athibitishe.
64 The whole congregation together was forty and two thousand three hundred and sixty.
Jumla ya kundi 42, 360,
65 Besides their men-servants and their maid-servants, of whom there were seven thousand three hundred thirty and seven: they had also two hundred singing men and singing women.
ukiondoa watumishi na wasaidizi (wao walikuwa 7, 337) waimbaji Hekaluni wanaume na wanawake (mia mbili)
66 Their horses were seven hundred thirty and six; their mules, two hundred forty and five;
Farasi wao: 736, Nyumbu wao: 245.
67 Their camels, four hundred thirty and five; their asses, six thousand seven hundred and twenty.
Ngamia wao: 435. Punda wao: 6, 720.
68 And some of the chiefs of the divisions, when they came to the house of the Lord which is at Jerusalem, offered freewill gifts for the house of God to set it up in its place:
Walipokwenda kwenye nyumba ya Yahwe Yerusalem, wakuu wa mababa walijitoa kwa hiari kujenga nyumba.
69 After their ability they gave unto the treasure for the work sixty and one thousand drachms of gold, and five thousand manehs of sliver, and one hundred coats for the priests.
Walitoa kadiri ya uwezo wao katika kufadhili kazi: Dhahabu za darkoni sitini na moja elfu, mane za fedha elfi tano na mavazi mia moja ya makuhani.
70 And the priests, and the Levites, and some of the people, and the singers, and the gate-keepers, and the temple-servants, dwelt in their cities, and all Israel in their cities.
Basi makuhani na walawi, watu, waimbaji hekaluni, na walinzi wa getini, na wale waliochaguliwa kutumika katika Hekalu walikaa katika miji yao. Watu wote katika Israel walikuwa katika miji yao.