< Psalms 64 >

1 For the end, a Psalm of David. Hear my prayer, O God, when I make my petition to you; deliver my soul from fear of the enemy.
Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
2 You have sheltered me from the conspiracy of them that do wickedly; from the multitude of them that work iniquity;
Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
3 who have sharpened their tongues as a sword; they have bent their bow maliciously;
Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4 to shoot in secret at the blameless; they will shoot him suddenly, and will not fear.
ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5 They have set up for themselves an evil matter, they have given counsel to hide snares; they have said, Who shall see them?
Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
6 They have searched out iniquity; they have wearied themselves with searching diligently, a man shall approach and the heart is deep,
Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
7 and God shall be exalted, their wounds were [caused by] the weapon of the foolish children,
Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
8 and their tongues have set him at nothing, all that saw them were troubled;
Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
9 and every man was alarmed, and they related the works of God, and understood his deeds.
Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
10 The righteous shall rejoice in the Lord, and hope on him, and all the upright in heart shall be praised.
Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.

< Psalms 64 >