< Psalms 124 >

1 A Song of Degrees. If it had not been that the Lord was among us, let Israel now say;
“Kama Yahwe asingekuwa upande wetu,” Israeli na aseme sasa,
2 if it had not been that the Lord was among us, when men rose up against us;
“Kama asingekuwa Yahwe ambaye alikuwa upande wetu wakati watu walipoinuka dhidi yetu,
3 verily they would have swallowed us up alive, when their wrath was kindled against us:
basi wangekuwa wametumeza tungali hai hasira yao lipozidi dhidi yetu.
4 verily the water would have drowned us, our soul would have gone under the torrent.
Maji yangetugharikisha; mto ungetuzidia.
5 Yes, our soul would have gone under the overwhelming water.
Kisha maji yafurikayo yangetuzamisha.”
6 Blessed be the Lord, who has not given us for a prey to their teeth.
Atukuzwe Yahwe, ambaye hajaruhusu tuwe mawindo kwa meno yao.
7 Our soul has been delivered as a sparrow from the snare of the fowlers: the snare is broken, and we are delivered.
Tumetoroka kama ndege mtegoni mwa wawindaji; mtego umevunjika, nasi tumetoroka.
8 Our help is in the name of the Lord, who made heaven and earth.
Msaada wetu uko katika Yahwe, aliyeziumba mbingu na nchi.

< Psalms 124 >