< Esias 9 >

1 Drink this first. Act quickly, O land of Zabulon, land of Nephthalim, and the rest [inhabiting] the sea-coast, and [the land] beyond Jordan, Galilee of the Gentiles.
Viza itaondolewa kwa yeyote ambaye yuko kwenye dhiki. Katika kipindi cha awali aliifedhehesha nchi ya Zebuluni na nchi ya Naftali, lakini kipindi cha baadae ataifanya itukuke, njia ya kuelekea baharini, mbele ya Yordani na mataifa ya Galilaya.
2 O people walking in darkness, behold a great light: you that dwell in the region [and] shadow of death, a light shall shine upon you.
Watu wanotembeakatika giza wameona wameona mwanga mkubwa; wale waishio katika nchi ya uvuli wa mauti, mwanga umewaka juu yao.
3 The multitude of the people which you have brought down in your joy, they shall even rejoice before you as they that rejoice in harvest, and as they that divide the spoil.
Umeliongeza taifa; umeongeza furaha yao. Wamefurahia mbele yako kama furaha ya kipindi cha mavuno, kama watu wanavyofurahi kugawanya nyara.
4 Because the yoke that was laid upon them has been taken away, and the rod that was on their neck: for he has broken the rod of the exactors, as in the day of Madiam.
Maana nira ya mzigo wake, boriti katika mabega yake, fimbo ya mkandamizaji, umesambaratisha ndoto kama siku ya Midiamu.
5 For they shall compensate for every garment that has been acquired by deceit, and [all] raiment with restitution; and they shall be willing, [even] if they were burnt with fire.
Kila buti likanyagalo gasia na vazi limekwisha kwenye damu itachomwa, mafuta kwa moto.
6 For a child is born to us, and a son is given to us, whose government is upon his shoulder: and his name is called the Messenger of great counsel: for I will bring peace upon the princes, and health to him.
Kwetu mtoto amezaliwa, kwetu mtoto ametoka; na mtawala atakuwa kwenye mabega yake; na jina lake ataitwa mshauri wa ajabu, Mungu mwenye nguvu, Baba wa milele, Mfalme wa Amani.
7 His government shall be great, and of his peace there is no end: [it shall be] upon the throne of David, and [upon] his kingdom, to establish it, and to support [it] with judgment and with righteousness, from henceforth and forever. The seal of the Lord of hosts shall perform this.
Enzi yake na amani yake haitakuwa na mwisho, maana anatawala katika kiti cha enzi cha Daudi, na juu ya ufalme wake, ataanzisha hukumu ya haki, tangu sasa na hata milele. Bidii ya Yahwenwa majeshi itafanya haya.
8 The Lord has sent death upon Jacob, and it has come upon Israel.
Bwana alituma neno juu ya Yakobo, na ikaanguka juu ya Israeli,
9 And all the people of Ephraim, and they that lived in Samaria shall know, who say in their pride and lofty heart,
Watu wote watajua, Hata Samaria na wakazi wote wa Samaria, wanaongea kwa kiburi na moyo wenye kiburi,
10 The bricks are fallen down, but come, let us hew stones, and cut down sycamores and cedars, and let us build for ourselves a tower.
Matofali yameanguka, lakini tutajenga tena kwa jiwe la patasi; mkuyu umekatwa chini, lakini tutaotesha mierezi katika eneo lao.
11 And God shall dash down them that rise up against him on mount Sion, and shall scatter his enemies;
Hivyo basi Yahwe atamwinua juu yao Rezini, adui zake, atawakoroga adui zake,
12 [even] Syria from the rising of the sun, and the Greeks from the setting of the sun, who devour Israel with open mouth. For all this [his] anger is not turned away, but still [his] hand is exalted.
Waaramea upande wa mashariki, na wafilisti upande wa magharibi. Nao watamla Israeli kwa mdomo uliowazi. katika mambo yote haya hasira yake haijapungua; badala yake ameunyosha mkono wake nje.
13 But the people turned not until they were struck, and they sought not the Lord.
Lakini hawatageuka kwa yule anayewapiga wao, wala kumtafuta Yahwe wa majeshi.
14 So the Lord took away from Israel the head and tail, great and small, in one day:
Hivyo basi yao atakata kichwa nakiwiwili cha Israeli, kuti na nyasi, katika siku moja.
15 the old man, and them that respect persons, this is the head; and the prophet teaching unlawful things, he is the tail.
Viongozi na watu wenye vyeo na manabii wanaofundisha kuwa uongo ni mkia.
16 And they that pronounce this people blessed shall mislead them; and they mislead them that they may devour them.
Wale wanaowaongoza watu hawa wanawaongoza vibaya, na wale wanaongozwa wameangamia.
17 Therefore the Lord shall not take pleasure in their young men, neither shall he have pity on their orphans or on their widows: for they are all transgressors and wicked, and every mouth speaks unjustly. For all this [his] anger is not turned away, but [his] hand is yet exalted.
Hivyo basi Bwana atafurahia juu ya vijana wadogo wala hatakuwa na huruma kwa yatima na wajane, maana kila mmoja hana Mungu na ni watenda dhambi, na kila mdomo unazungumza matendo mabaya. Mambo yote haya, hasira yake haijapungua; badala yake mkono wake umenyooka hata sasa.
18 And iniquity shall burn as fire, and shall be devoured by fire as dry grass: and it shall burn in the thickets of the wood, and shall devour all that is round about the hills.
Matendo mabaya yataungua kama moto, moto hulao mbigili na miiba; itachoma hata vichaka vya mwitu, na safu ya moshi mkubwa upaa.
19 The whole earth is set on fire because of the fierce anger of the Lord, and the people shall be as men burnt by fire: no man shall pity his brother.
Japo hasira ya Yahwe wa majeshi imeunguza, na watu ni kama mafuta kwenye moto. Hakuna mtu aliyemuacha ndugu yake.
20 But [one] shall turn aside to the right hand, for he shall be hungry; and shall eat on the left, and a man shall by no means be satisfied with eating the flesh of his own arm.
Watanyakuwa chakula katika mkono kulia lakini bado watasikia njaa; watakula chakula kwa mkono wa kushoto lakini hawataridhika. Kila mmoja atakula nyama ya mkono wake mwenyewe.
21 For Manasses shall eat [the flesh] of Ephraim, and Ephraim [the flesh] of Manasses; for they shall besiege Juda together. For all this [his] anger is not turned away, but [his] hand is yet exalted.
Manase; kwa pamoja watavamia Yuda. Mambo yote haya, hasira yake haitapungua; badala yake, amenyoosha mkono wake hata sasa.

< Esias 9 >