< Exodus 35 >

1 And Moses gathered all the congregation of the children of Israel together, and said, These are the words which the Lord has spoken for [you] to do them.
Musa akawakusanya jamii yote ya Waisraeli na kuwaambia, “Haya ndio mambo Yahweh aliyo waamuru mfanye.
2 Six days shall you perform works, but on the seventh day [shall be] rest—a holy sabbath—a rest for the Lord: every one that does work on it, let him die.
Kwa siku sita kazi ya weza fanywa, lakini kwako, siku ya saba lazima iwe siku takatifu, siku ya Sabato ya mapumziko, takatifu kwa Yahweh. Yeyote atakaye fanya kazi hiyo siku lazima auawe.
3 You shall not burn a fire in any of your dwellings on the sabbath-day; I [am] the Lord.
Haupaswi kuwasha moto kwenye nyumba zenu siku ya Sabato.”
4 And Moses spoke to all the congregation of the children of Israel, saying, This [is] the thing which the Lord has appointed you, saying,
Musa akasema na jamii yote ya Waisraeli, kwa kusema, “Hichi ndicho kitu Yahweh alicho amuru.
5 Take of yourselves an offering for the Lord: every one that engages in his heart shall bring the first fruits to the Lord; gold, silver, brass,
Chukuwa sadaka kwa ajili ya Yahweh, wote wenye moyo mkunjufu. Leta sadaka kwa Yahweh - dhahabu, fedha, shaba,
6 blue, purple, double scarlet spun, and fine linen spun, and goats' hair,
buluu, zambarau, sufu nyekundu na kitambaa kizuri; nywele za mbuzi;
7 and rams' skins dyed red, and skins [dyed] blue, and incorruptible wood,
ngozi za kondoo zilizotiwa rangi nyekundu na ngozi za pomboo; na mbao za mshita;
8 and sardine stones, and stones for engraving for the shoulder-piece and full-length robe.
mafuta ya taa kwa pahali patakatifu, viungo vya manukato kwa hayo mafuta ya kutiwa,
9 And every man that is wise in heart among you, let him come and work all things whatever the Lord has commanded.
kwa uvumba mzuri na vito vya shohamu na vito vya kutiwa kwa hiyo naivera, na kwa hicho kifuko cha kifuani.
10 The tabernacle, and the cords, and the coverings, and the rings, and the bars, and the posts,
Kila mwanaume mwenye ustadi kati yenu aje na afanye kila kitu ambacho Yahweh aliyaamuru —
11 and the ark of the testimony, and its staves, and its propitiatory, and the veil,
hema la kuabudia, na kifuniko chake, na vifungo vyake, na mbao zake, nguzo, na sakafu;
12 and the curtains of the court, and its posts,
pia sanduku na nguzo zake, kiti cha rehema, na pazia la kusitiri.
13 and the emerald stones,
Walileta meza na miguu yake, vyombo vyake vyote, na mkate wa wonyesho;
14 and the incense, and the anointing oil,
kinara cha taa, vyombo vyake, taa, na mafuta ya zile taa;
15 and the table and all its furniture,
ile madhabahu ya uvumba na nguzo zake, mafuta ya upako na uvumba ulitiwa maukato; kishikizo cha mwingilio wa hema ya kuabudia;
16 and the candlestick for the light and all its furniture,
madhabahu ya sadaka ya kuteketeza na kitunzi cha shaba na nguzo na vyombo; na ile beseni kubwa na sakafu yake.
17 and the altar and all its furniture;
Walileta vishikizo kwa ajili ya nyuani na nguzo zake na sakafu yake, na pazia kwa ajili mwingilio wa nyauni;
18 and the holy garments of Aaron the priest, and the garments in which they shall do service;
na ile misumari ya hema la kuabudia na nyuani, pamoja na kamba zake.
19 and the garments of priesthood for the sons of Aaron and the anointing oil, and the compound incense.
Walileta mavazi yaliyofumwa kutumikia sehemu takatifu, mavazi takatifu ya Aruni kuhani na wanae, kwa wao kutumika kama makuhani.”
20 And all the congregation of the children of Israel went out from Moses. And they brought, they whose heart prompted them, and they to whoever it seemed good in their mind, each and offering:
Kisha makabila yote ya Israeli yakaondoka na kwenda kutoka uweponi mwa Musa.
21 and they brought an offering to the Lord for all the works of the tabernacle of witness, and all its services, and for all the robes of the sanctuary.
Kila mtu moyo wake ulimchochea na aliye andaliwa na roho yake alikuja na kuleta sadaka kwa Yahweh kwa matengenezo ya hema ya kuabudia, kwa vitu vyote kwajili ya huduma ndani yake, na kwa vazi takatifu.
22 And the men, even every one to whom it seemed good in his heart, brought from the women, [even] brought seals and ear-rings, and finger-rings, and necklaces, and bracelets, every article of gold.
Walikuja, wote wanaume kwa wanawake, wote waliokuwa na moyo wa utayari. Walileta madini, hereni, pete, na vitu vya thamani, vitu vyote tofauti vyenye madini ya dhahabu. Waliwasilisha sadaka za dhahabu kama sadaka ya kupunga kwa Yahweh.
23 And all as many as brought ornaments of gold to the Lord, and with whoever fine linen was found; and they brought skins [dyed] blue, and rams' skins dyed red.
Kila mmoja alikuwa na sufu ya buluu, dhambarau, au nyekundu, nguo nzuri, singa za mbuzi, ngozi za kondoo zilizobadili kuwa nyekundu, na ngozi ya pomboo walivileta.
24 And every one that offered an offering brought silver and brass, the offerings to the Lord; and [they] with whom was found incorruptible wood; and they brought [offerings] for all the works of the preparation.
kila mmoja alitengeneza sadaka ya fedha au shaba walizileta kama sadaka kwa Yahweh, na kila mmoja aliyekuwa na mti wa mshita kwa matumizi ya kazi aliuleta.
25 And every woman skilled in her heart to spin with her hands, brought spun [articles], the blue, and purple, and scarlet and fine linen.
kila mwanamke mwenye ustadi walisokota sufu kwa mikono yao na walileta sufu walizosokota za buluu, dhambarau, au sufu nyekundu, au nguo nzuri.
26 And all the women to whom it seemed good in their heart in their wisdom, spun the goats' hair.
Wanawake wote wenye mioyo iliyochochewa na walio na ustadi walisokota singa za mbuzi.
27 And the rulers brought the emerald stones, and the stones for setting in the ephod, and the oracle,
Viongozi walileta mawe ya shohamu na mawe mengine kwaajili ya kuwekwa kwenye hiyo naivera na hicho kifuko cha kifuani;
28 and the compounds both for the anointing oil, and the composition of the incense.
walileta viungo na mafuta kwaajili ya taa, kwa mafuta ya upako, na kwa uvumba wa manukato.
29 And every man and woman whose mind inclined them to come in and do all the works as many as the Lord appointed them to do by Moses—[they] the children of Israel brought an offering to the Lord.
Waisraeli walileta sadaka ya hiyari kwa Yahweh; kila mwanaume na mwanamke ambao mioyo yao ilikuwa tayari walileta vifaa kwaajili kazi zote ambazo Yahweh aliamuru kupitia Musa zifanyike.
30 And Moses said to the children of Israel, Behold, God has called by name Beseleel the [son] of Urias the [son of] Or, of the tribe of Juda,
Musa alisema kwa waisraeli, “Tazama, Yahweh ameita kwa jina juu ya Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huri, kutoka kabila la Yuda.
31 and has filled him with a divine spirit of wisdom and understanding, and knowledge of all things,
Aliijaza Bezaleli kwa Roho yake, kumpa hekima, uwelewa, na maarifa, kwa aina zote za ujenzi,
32 to labor skillfully in all works of cunning workmanship, to form the gold and the silver and the brass,
kufanya sanaa ya ubunifu na kufanya kazi za dhahabu, shaba, na shaba;
33 and to work in stone, and to fashion the wood, and to work in every work of wisdom.
pia kukata na kupanga mawe na mbao iliochongwa- kufanya kazi za aina zote kwa ubunifu na ujenzi.
34 And [God] gave improvement in understanding both to him, and to Eliab the [son] of Achisamach of the tribe of Dan.
Aliiweka kufundisha ndani ya moyo wake, yeye pamoja na Oholiabu mwana wa Ahisamaki, kutoka kabila la Dani.
35 And [God] filled them with wisdom, understanding [and] perception, to understand to work all the works of the sanctuary, and to weave the woven and embroidered work with scarlet and fine linen, to do all work of curious workmanship [and] embroidery.
Aliwajaza kwa ustadi wa kufanya kazi za aina zote, kufanya kazi ya kama kuchora mawe, kama mwerevu, kama mtia taraza katika nyuzi za rangu ya buluu, dhambarau, na nyekundu na nguo nzuri, na kama washonaji. Walikuwa wachonga mawe wa kazi zote, na walikuwa wabunifu wa sanaa.

< Exodus 35 >