< Chronicles I 17 >
1 And it came to pass as David lived in his house, that David said to Nathan the prophet, Behold, I dwell in a house of cedar, but the ark of the covenant of the Lord [is] under [curtains] of skins.
Ikawa baada ya mfalme kuwa katika nyumba yake, akasema kwa Nathani yule nabii, “Angalia, nina ishi katika nyumba iliyo jengwa na mierezi, lakini sanduku la agano la Yahweh lipo kwenye chini ya hema.”
2 And Nathan said to David, Do all that is in your heart; for God [is] with you.
Kisha Nathani akasema kwa Daudi, Nenda, fanya yalio moyoni mwako, kwa kuwa Mungu yupo nawe.”
3 And it came to pass in that night, that the word of the Lord came to Nathan, [saying],
Lakini usiku huo neno la Mungu lilimjia Nathani, nakusema,
4 Go and say to David my servant, Thus said the Lord, You shall not build me a house for me to dwell in it.
“Nenda umwambie Daudi mtumishi wangu, 'Hivi ndivyo Yahweh asemavyo: Hautanijengea nyumba ya kuishi.
5 For I have not lived in a house from the day that I brought up Israel until this day, but I have been in a tabernacle and a tent,
Kwa kuwa sijaishi katika nyumba toka ile siku niliyo ileta Israeli hadi leo. Badala yake, nimeishi ndani ya hema, hema la kukusanyikia, sehemu mbali mbali.
6 in all places through which I have gone with all Israel: did I ever speak to [any] one tribe of Israel whom I commanded to feed my people, saying, [Why is it] that you have not built me a house of cedar?
Katika sehemu zote nilizo enda na Israeli, niliwai kusema lolote kwa viongozi wa Israeli niliyo wachagua kuwa chunga watu wangu, kwa kusema, “Kwa nini haujanijengea mimi nyumba ya mierezi?””
7 And now thus shall you say to my servant David, Thus says the Lord Almighty, I took you from the sheepfold, from following the flocks, to be a ruler over my people Israel:
“Kisha sasa, mwambie mtumishi wangu Daudi, 'Hili ndilo Yahweh wa majeshi anasema: Nilikuchugua kutoka malishoni, kufuata kondoo, ilikwamba uwe mtawala wa watu wangu Waisraeli.
8 and I was with you in all places whither you went, and I destroyed all your enemies from before you, and I made for you a name according to the name of the great ones that are upon the earth.
Nimekuwa nawe pote ulipo enda na nimewakata maadui zako wote, na na nitakufanyia jina, kama jina la wakuu wa dunia.
9 And I will appoint a place for my people Israel, and I will plant him, and he shall dwell by himself, and shall no longer be anxious; and the son of iniquity shall no longer afflict him, as at the beginning,
Nitachagua sehemu ya watu wangu Israeli na nitawapanda hapo, iliwaishi sehemu yao na wasisumbuke tena. Watu wa ovu hawata watesa tena, kama walivyo fanya mwanzo,
10 and from the days when I appointed judges over my people Israel. Also I have humbled all your enemies, and I will increase you, and the Lord will build you a house.
kama walivyo kuwa wakifanya toka siku zile nilipo waamuru waamuzi kuwa juu ya watu wangu Waisraeli. Kisha nitawatiisha maadui zako wote. Zaidi sana nina kwambia kwamba mimi, Yahweh, nitakujengea nyumba.
11 And it shall come to pass when your days shall be fulfilled, and you shall sleep with your fathers, that I will raise up your seed after you, which shall be of your bowels, and I will establish his kingdom.
Itakuja kuwa hapo siku zako zitapo timia za wewe kwenda kwa baba zako, nitainua uzao wako baada yako, na mmoja wa uzao wako nitaimarisha ufalme wake.
12 He shall build me a house, and I will set up his throne for ever.
Yeye atanijengea nyumba, na nitaimarisha kiti chake cha enzi milele.
13 I will be to him a father, and he shall be to me a son: and my mercy will I not withdraw from him, as I withdrew [it] from them that were before you.
Nitakuwa baba kwake, naye atakuwa mwana wangu. Sitaondoa uwaminifu wa Agano langu kwake, kama nilivyo ondoa kwa Sauli, aliye tawala kabla yako.
14 And I will establish him in my house and in his kingdom for ever; and his throne shall be set up for ever.
Nitamweka juu ya nyumba yangu na katika ufalme wangu milele, na kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.”
15 According to all these words, and according to all this vision, so spoke Nathan to David.
Nathani akanena haya kwa Daudi na kumtaarifu, na akamwambia kuhusu maono yote.
16 And king David came and sat before the Lord, and said, Who am I, O Lord God? and what [is] my house, that you have loved me for ever?
Kisha Daudi mfalme akaenda ndani na kuketi mbele za Yahweh; akasema, “Mimi ni nani, Yahweh Mungu, na familia yangu ni nini, hadi unilete umbali huu?
17 And these things were little in your sight, O God: you have also spoken concerning the house of your servant for a long time to come, and you have looked upon me as a man looks upon his fellow, and have exalted me, O Lord God.
Hili lilikuwa jambo dogo machoni pako, Mungu. Umezungumzia familia ya mtumishi wako kwa muda mrefu ujao, na umenionyesha vizazi vijavyo, Yahweh Mungu.
18 What shall David do more toward you to glorify [you]? and you know your servant.
Nini zaidi mimi, Daudi, niseme? Umemheshimu mtumishi wako. Umemtambua kwa kipekee mtumishi wako.
19 And you have wrought all this greatness according to your heart.
Yahweh, kwa ajili ya mtumishi wako, na kutimiza kusudi lako, umefanya hili ilikudhihirisha matendo yako makuu.
20 O Lord, there is none like you, and there is no God beside you, according to all things which we have heard with our ears.
Yahweh, hakuna aliye kama wewe, na hakuna Mungu zaidi yako, kama tulivyo sikia mara zote.
21 Neither is there another nation upon the earth [such] as your people Israel, whereas God led him in the way, to redeem a people for himself, to make for himself a great and glorious name, to cast out nations from before your people, whom you redeemed out of Egypt.
Ni taifa gani duniani kama watu wako Israeli, ambaye wewe, Mungu, uliwaokoa kutoka Misri iliwawe watu wako, kujifanyia jina lako kwa matendo makuu na yahajabu? Uliondoa mataifa mbele za watu wako, uliye waokoa kutoka Misri.
22 And you have appointed your people Israel as a people to yourself for ever; and you, Lord, did become a God to them.
Ulifanya Israeli watu wako milele, na wewe, Yahweh, ukawa Mungu wao.
23 And now, Lord, let the word which you spoke to your servant, and concerning his house, be confirmed for ever, and do you as you have spoken.
Hivyo sasa, Yahweh, ile ahadi uliyo iweka kuhusu mtumishi wako na nyumba yake itimizwe milele. Fanya kama ulivyo nena.
24 And let your name [be] established and magnified for ever, [men] saying, Lord, Lord, Almighty God of Israel: and [let] the house of your servant David [be] established before you.
Jina lako na litukuzwe milele na kuwa kuu, ili watu waseme, 'Yahweh wa majeshi ni Mungu wa Israeli,' na nyumba yangu, mimi Daudi, mtumishi wako ikiwa imeimarishwa mbele zako.
25 For you, O Lord my God, have revealed to the ear of your servant that you will build him a house; therefore your servant has found a willingness to pray before you.
Kwa kuwa wewe, Mungu wangu, umedhihirisha kwa mtumishi wako utamjengea nyumba. Hiyo ndio sababu, mimi mtumishi wako, nimepata ujasiri wa kuomba kwako.
26 And now, Lord, you yourself are God, and you have spoken these good things concerning your servant.
Sasa, Yahweh, wewe ni Mungu, na umefanya hii ahadi nzuri kwa mtumishi wako:
27 And now you have begun to bless the house of your servant, so that it should continue for ever before you: for you, Lord, have blessed [it], and do you bless [it] for ever.
Sasa imekupendeza kubariki nyumba ya mtumishi wako, iliiendelee milele mbele zako. Wewe, Yahweh, umeibariki, na itabarikiwa milele.”