< Psalms 120 >

1 In my distress I cried unto YHWH, and he heard me.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 Deliver my soul, O YHWH, from lying lips, and from a deceitful tongue.
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 What shall be given unto thee? or what shall be done unto thee, thou false tongue?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 Sharp arrows of the mighty, with coals of juniper.
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 Woe is me, that I sojourn in Mesech, that I dwell in the tents of Kedar!
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 My soul hath long dwelt with him that hateth peace.
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 I am for peace: but when I speak, they are for war.
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.

< Psalms 120 >