< Psalms 110 >

1 THE Lord said unto my Lord, Sit thou at my right hand, until I make thine enemies thy footstool.
Yahwe humwambia bwana wangu, “Kaa mkono wangu wa kuume mpaka nitakapowaweka adui zako chini ya miguu yako.”
2 The Lord shall send the rod of thy strength out of Zion: rule thou in the midst of thine enemies.
Yahwe atainyosha fimbo ya nguvu yako toka Sayuni; utawale kati ya adui zako.
3 Thy people shall be willing in the day of thy power, in the beauties of holiness from the womb of the morning: thou hast the dew of thy youth.
Siku ile ya uweza wako watu wako watakufuata wakiwa katika mavazi matakatifu ya hiari yao wenyewe; tokea tumbo la alfajiri ujana wako utakuwa kwako kama umande.
4 The Lord hath sworn, and will not repent, Thou art a priest for ever after the order of Melchizedek.
Yahwe ameapa, na hatabadilika: “Wewe ni kuhani milele, baada ya namna ya Melkizedeki.”
5 The Lord at thy right hand shall strike through kings in the day of his wrath.
Bwana yuko mkono wako wa kuume. Siku ile ya hasira yake atawaua wafalme.
6 He shall judge among the heathen, he shall fill the places with the dead bodies; he shall wound the heads over many countries.
Yeye atahukumu matifa; ataujaza uwanja wa vita kwa maiti; atawauwa viongozi kaitka nchi nyingi.
7 He shall drink of the brook in the way: therefore shall he lift up the head.
Atakunywa maji ya kijito njiani, kisha baada ya ushindi atainua kichwa chake juu.

< Psalms 110 >