< 1 Chronicles 11 >

1 Then all Israel gathered themselves to David to Hebron, saying, Behold, we are your bone and your flesh.
Kisha Waisraeli wote walikuja Hebroni kwa Daudi na kusema, “Angalia, sisi ni nyama na mifupa yako.
2 And moreover in time past, even when Saul was king, you were he that led out and brought in Israel: and the LORD your God said to you, You shall feed my people Israel, and you shall be ruler over my people Israel.
Katika wakati uliopita, Sauli alipoo kuwa mfalme juu yetu, ni wewe uliye ongoza jeshi la Israeli. Yahweh Mungu wako alisema kwako, 'utawachunga watu wangu wa Isaraeli, na utakuwa mtawala wa watu wangu wa Israeli”'.
3 Therefore came all the elders of Israel to the king to Hebron; and David made a covenant with them in Hebron before the LORD; and they anointed David king over Israel, according to the word of the LORD by Samuel.
Kwaiyo wazee wote wa Israeli wakamjia mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao mbele ya Yahweh. Wakampaka mafuta Daudi kuwa mfalme wa Israeli. Kwa namna hii, neno la Yahweh lilo nenwa na Samweli likawa kweli.
4 And David and all Israel went to Jerusalem, which is Jebus; where the Jebusites were, the inhabitants of the land.
Daudi na Israeli yote wakaenda Yerusalemu (yani, Yebusi). Sasa Wayebusi, wakazi wa nchi, walikuwa pale.
5 And the inhabitants of Jebus said to David, You shall not come here. Nevertheless David took the castle of Zion, which is the city of David.
Wakazi wa yebusi wakamwabia Daudi, “Hautakuja humu.” Lakini Daudi alichukuwa ngome ya Sayuni, mji wa Daudi.
6 And David said, Whoever smites the Jebusites first shall be chief and captain. So Joab the son of Zeruiah went first up, and was chief.
Daudi alisema, “Yeyote atakaye washambulia Wayebusi wa kwanza atakuwa mkuu wa jeshi” kwaiyo Yoabu mwana wa Zeruia akashambulia wa kwanza, hivyo akafanywa mkuu wa jeshi.
7 And David dwelled in the castle; therefore they called it the city of David.
Daudi akaanza kuishi katika hiyo ngome. Kwaiyo wakaiita mji wa Daudi.
8 And he built the city round about, even from Millo round about: and Joab repaired the rest of the city.
Akaimarisha mji kutoka Milo na hadi mpaka ukuta unao zunguka. Yoabu akaimairisha mji wote uliyo baki.
9 So David waxed greater and greater: for the LORD of hosts was with him.
Daudi akawa mkuu na mkuu kwa sababu Yahweh wa Majeshi alikuwa naye.
10 These also are the chief of the mighty men whom David had, who strengthened themselves with him in his kingdom, and with all Israel, to make him king, according to the word of the LORD concerning Israel.
Hawa walikuwa viongozi Daudi aliyo kuwa nao, waliyo jionyesha imara katika ufalme wake, pamoja na Israeli, kumfanya mfalme, kutii neno la Yahweh kuhusu Israeli.
11 And this is the number of the mighty men whom David had; Jashobeam, an Hachmonite, the chief of the captains: he lifted up his spear against three hundred slain by him at one time.
Hii ni orodha ya wanajeshi shupavu wa Daudi. Yashobeami, mwana wa Mhakimoni, alikuwa mkuu wa kikosi cha thelathini. Aliwaua wanaume mia tatu na mkuki wake katika sehemu moja.
12 And after him was Eleazar the son of Dodo, the Ahohite, who was one of the three mighty men.
Baada ya yeye alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, Mahohi, aliyekuwa mmoja wa wanaume watatu hodari.
13 He was with David at Pasdammim, and there the Philistines were gathered together to battle, where was a parcel of ground full of barley; and the people fled from before the Philistines.
Alikuwa na Daudi huko Pasidamimu, na pale Wafilisti wakakusanyika pamoja kwa mapambano, ambapo palikuwa na uwanja wa ngano na jeshi liliwakimbia Wafilisti.
14 And they set themselves in the middle of that parcel, and delivered it, and slew the Philistines; and the LORD saved them by a great deliverance.
Walisimama katikati ya uwanja. Wakautetea na kuwakata Wafilisti na Yahweh akawaokoa na ushindi mkubwa.
15 Now three of the thirty captains went down to the rock to David, into the cave of Adullam; and the host of the Philistines encamped in the valley of Rephaim.
Kisha watatu wa viongozi thelathini wakashuka chini kwenye mwamba wa Daudi, katika pango la Adulamu. Jeshi la Wafilisti walieka kambi katika bonde la Refaim.
16 And David was then in the hold, and the Philistines’ garrison was then at Bethlehem.
Kwa wakati huo Daudi alikuwa katika ngome yake, pangoni, Wafilisti walikita kambi yao Bethilehemu.
17 And David longed, and said, Oh that one would give me drink of the water of the well of Bethlehem, that is at the gate!
Daudi alikuwa na kiu ya maji na akasema, “Laiti mtu akanipatia maji ya kunywa kutoka kisima kilicho Bethilehemu, kisima kilicho pembeni mwa lango!”
18 And the three broke through the host of the Philistines, and drew water out of the well of Bethlehem, that was by the gate, and took it, and brought it to David: but David would not drink of it, but poured it out to the LORD.
Hawa wanaume hodari watatu wakatoboa kupita jeshi la Wafilisti na kuchota maji kwenye kisima cha Bethilehemu, kisima pembeni mwa lango. Wakachukuwa maji na kumletea Daudi, lakini alikataa kunywa. Badala yake, akamwaga chini kwa Yahweh.
19 And said, My God forbid it me, that I should do this thing: shall I drink the blood of these men that have put their lives in jeopardy? for with the jeopardy of their lives they brought it. Therefore he would not drink it. These things did these three mightiest.
Kisha akasema, “Yahweh, iwe mbali na mimi, kwamba ni yanywe haya maji. Je ninywe damu ya wanaume walio hatarisha maisha yao?” Kwa sababu wameeka maisha ya hatarini, akakataa kunywa. Haya ni mambo wanaume hodari watatu walio fanya.
20 And Abishai the brother of Joab, he was chief of the three: for lifting up his spear against three hundred, he slew them, and had a name among the three.
Abishai kaka wa Yoabu, alikuwa kiongozi wa watatu. Alitumia mkuki wake dhidi ya watu mia tatu na kuwaua. Ametajwa pamoja na wale watatu.
21 Of the three, he was more honorable than the two; for he was their captain: however, he attained not to the first three.
Kati ya wale watatu, yeye alipewa heshima mara mbili na akawa kiongozi wao. Japo hakuwa mmoja wa miongoni mwao.
22 Benaiah the son of Jehoiada, the son of a valiant man of Kabzeel, who had done many acts; he slew two lion like men of Moab: also he went down and slew a lion in a pit in a snowy day.
Benaia mwana wa Yehoiada alikuwa mwanaume mwenye nguvu aliye fanya mambo makuu. Aliua wana wawili wa Arieli wa Moabu. Pia alishuka chini ya shimo na kumuua simba wakati theluji ikianguka.
23 And he slew an Egyptian, a man of great stature, five cubits high; and in the Egyptian’s hand was a spear like a weaver’s beam; and he went down to him with a staff, and plucked the spear out of the Egyptian’s hand, and slew him with his own spear.
Alimua hadi Mmisri, mwanaume mwenye mita mbili na theluthi moja. Mmisri alikuwa na mkuki kama gongo la mshonaji, lakini alimfuata chini na fimbo tu. Akakamata mkuki katika mkono wa Mmisri na kumuua na mkuki wake.
24 These things did Benaiah the son of Jehoiada, and had the name among the three mighty men.
Benaia mwana wa Yehoiada alifanya haya matukio, na akatajwa miongoni mwa wale wanaume hodari watatu.
25 Behold, he was honorable among the thirty, but attained not to the first three: and David set him over his guard.
Alisifika zaidi ya wale wanajeshi thelathini kwa ujumla, lakini hakuwa pewa hadhi ya wale wanajeshi watatu hodari. Daudi alimueka kiongozi wa walinzi wake.
26 Also the valiant men of the armies were, Asahel the brother of Joab, Elhanan the son of Dodo of Bethlehem,
Wanaume hodari walikuwa Asaheli kaka wa Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethilehemu,
27 Shammoth the Harorite, Helez the Pelonite,
Shamothi Mherori, Helezi Mpeloni,
28 Ira the son of Ikkesh the Tekoite, Abiezer the Antothite,
Ira mwana wa Ikeshi Mtekoi, Abi Eza Manathothi,
29 Sibbecai the Hushathite, Ilai the Ahohite,
Sibekai Mhushathite, Ilai Mahohite,
30 Maharai the Netophathite, Heled the son of Baanah the Netophathite,
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana Mnetofathite,
31 Ithai the son of Ribai of Gibeah, that pertained to the children of Benjamin, Benaiah the Pirathonite,
Itai mwana wa Ribai wa Gibea uzao wa Benjamini, Benaia Mpirathoni,
32 Hurai of the brooks of Gaash, Abiel the Arbathite,
Hurai wa mabonde ya Gaashi, Abieli Marbathi,
33 Azmaveth the Baharumite, Eliahba the Shaalbonite,
Azmavethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
34 The sons of Hashem the Gizonite, Jonathan the son of Shage the Hararite,
Mwana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mhararite,
35 Ahiam the son of Sacar the Hararite, Eliphal the son of Ur,
Ahiamu mwana wa Sacari Mhararite, Elifali mwana wa Uri,
36 Hepher the Mecherathite, Ahijah the Pelonite,
Hefa Mmekarathi, Ahija Mpeloni,
37 Hezro the Carmelite, Naarai the son of Ezbai,
Hezro Mcarmeli, Maarai mwana wa Ezibai,
38 Joel the brother of Nathan, Mibhar the son of Haggeri,
Yoeli kaka wa Nathani, Mibhari mwana wa Hagiri,
39 Zelek the Ammonite, Naharai the Berothite, the armor bearer of Joab the son of Zeruiah,
Zeleki Mamoni, Naharai Mberothi ( mbeba ngao ya Yoabu mwana wa Zeruia),
40 Ira the Ithrite, Gareb the Ithrite,
Ira Mithire, Garebu Mithire,
41 Uriah the Hittite, Zabad the son of Ahlai,
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Ahlai,
42 Adina the son of Shiza the Reubenite, a captain of the Reubenites, and thirty with him,
Adina mwana wa Shiza Mreubeni ( kiongozi wa Wareubeni) na thelathini pamoja nae,
43 Hanan the son of Maachah, and Joshaphat the Mithnite,
Hanani mwana wa Maaka, na Yoshafati Mmithini,
44 Uzzia the Ashterathite, Shama and Jehiel the sons of Hothan the Aroerite,
Uzia Mashiterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Waaroeri,
45 Jediael the son of Shimri, and Joha his brother, the Tizite,
Jediaeli mwana wa Shimri, Joha ( kaka yake Mtize),
46 Eliel the Mahavite, and Jeribai, and Joshaviah, the sons of Elnaam, and Ithmah the Moabite,
Elieli Mmahavi, Yeribai na Yoshavia mwana wa Elnaamu, Ithima Mmoabi,
47 Eliel, and Obed, and Jasiel the Mesobaite.
Elieli, Obedi, na Yaasieli Wamezobai.

< 1 Chronicles 11 >