< Psalms 53 >

1 For the Leader; upon Mahalath. Maschil of David. The fool hath said in his heart: 'There is no God'; they have dealt corruptly, and have done abominable iniquity; there is none that doeth good.
Mpumbavu husema moyoni mwake, “Hakuna Mungu.” Wamepotoka na kufanya machukizo; hakuna mmoja atendaye mema.
2 God looked forth from heaven upon the children of men, to see if there were any man of understanding, that did seek after God.
Toka mbinguni Mungu hutazama chini kwa wanadamu kuona kama kuna yeyote mweye akili, amtafutaye yeye.
3 Every one of them is unclean, they are together become impure; there is none that doeth good, no, not one.
Wote wamekengeuka. Kwa pamoja wamepotoka. Hakuna atendaye mema, hata mmoja.
4 'Shall not the workers of iniquity know it, who eat up My people as they eat bread, and call not upon God?'
Je, wale wanao fanya uovu hawana uelewa - wale walao watu wangu kana kwamba wanakula mkate na hawamuiti Mungu?
5 There are they in great fear, where no fear was; for God hath scattered the bones of him that encampeth against thee; Thou hast put them to shame, because God hath rejected them.
Wao walikuwa katika hofu kuu, ingawa hakuna sababu ya kuogopa ilikuwepo hapo; maana Mungu ataitawanya mifupa ya yeyote atakaye kusanyika dhidi yako; watu kama hao wataaibishwa kwa sababu Mungu amewakataa wao.
6 Oh that the salvation of Israel were come out of Zion! When God turneth the captivity of His people, let Jacob rejoice, let Israel be glad.
Oh, kwamba wokovu wa Israel ungepatikana Sayuni! Wakati Mungu atakapowaleta watu wake kutoka kifungoni, ndipo Yakobo atashangilia na Israeli itafurahi!

< Psalms 53 >