< Psalms 52 >

1 For the Leader. Maschil of David; when Doeg the Edomite came and told Saul, and said unto him: 'David is come to the house of Ahimelech.' Why boastest thou thyself of evil, O mighty man? The mercy of God endureth continually.
Kwa nini wewe unajivunia kufanya uovu, wewe mtu mwenye nguvu? Uaminifu wa agano la Mungu huja kila siku.
2 Thy tongue deviseth destruction; like a sharp razor, working deceitfully.
Ulimi wako hupanga uharibifu kama wembe mkali, na kufanya udanganyifu.
3 Thou lovest evil more than good; falsehood rather than speaking righteousness. (Selah)
Wewe unapenda uovu kuliko wema na udanganifu kuliko kuongea haki. (Selah)
4 Thou lovest all devouring words, the deceitful tongue.
Wewe hupenda maneno ambayo huwaumiza wengine, wewe ulimi mdanganyifu.
5 God will likewise break thee for ever, He will take thee up, and pluck thee out of thy tent, and root thee out of the land of the living. (Selah)
Vivyo hivyo Mungu atakuadhibu wewe milele; yeye atakuchukua na kukuondoa katika hema yako na kukung'oa katika ardhi ya uhai. (Selah)
6 The righteous also shall see, and fear, and shall laugh at him:
Wenye haki pia wataona na kuogopa; watamcheka na kusema,
7 'Lo, this is the man that made not God his stronghold; but trusted in the abundance of his riches, and strengthened himself in his wickedness.'
“Tazama, huyu ni mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake la usalama, bali aliamini katika wingi wa mali zake, naye alikuwa na nguvu alipowaharibu wengine.”
8 But as for me, I am like a leafy olive-tree in the house of God; I trust in the mercy of God for ever and ever.
Lakini kwangu mimi, niko kama mti bora wa mzeituni katika nyumba ya Mungu; Nami nitaamini uaminifu wa agano la Mungu milele na milele.
9 I will give Thee thanks for ever, because Thou hast done it; and I will wait for Thy name, for it is good, in the presence of Thy saints.
Nitakushukuru wewe daima kwa uliyo tenda. Nitalisubiri jina lako, kwa sababu ni zuri, uweponi mwa wantu wako wa kimungu.

< Psalms 52 >