< Psalms 34 >
1 A Psalm of David; when he changed his demeanour before Abimelech, who drove him away, and he departed. I will bless the LORD at all times; His praise shall continually be in my mouth.
Nitamsifu Yahwe wakati wote, siku zote sifa zake zitakuwa mdomoni mwangu.
2 My soul shall glory in the LORD; the humble shall hear thereof, and be glad.
Nitamsifu Yahwe! walio onewa wasikie na kufurahi.
3 O magnify the LORD with me, and let us exalt His name together.
Msifuni Yahwe pamoja nami, kwa pamoja tuliinue jina lake.
4 I sought the LORD, and He answered me, and delivered me from all my fears.
Nilimuomba Yahwe msaada naye akanijibu, akanipa ushindi juu ya hofu yangu yote.
5 They looked unto Him, and were radiant; and their faces shall never be abashed.
Wale wanao mtazama yeye wana furaha, na nyuso zao hazina aibu.
6 This poor man cried, and the LORD heard, and saved him out of all his troubles.
Huyu mtu aliye onewa alilia na Yahwe akamsikia na kumuokoa kwenye matatizo yake yote.
7 The angel of the LORD encampeth round about them that fear Him, and delivereth them.
Malaika wa Yahwe huweka kambi wakiwazunguka wale wanao muogopa yeye na kuwaokoa.
8 O consider and see that the LORD is good; happy is the man that taketh refuge in Him.
Onjeni muone Yahwe ni mzuri. Amebarikiwa mtu yule ambaye Yahwe ni kimbilio lake.
9 O fear the LORD, ye His holy ones; for there is no want to them that fear Him.
Muogopeni Yahwe, ninyi watu watakatifu wake. Hakuna kupungukikwa kwa wale wanao mhofu yeye.
10 The young lions do lack, and suffer hunger; but they that seek the LORD want not any good thing.
Simba wadogo wakati mwingine hukosa chakula na kuteseka kwa njaa, bali wale wamtafutao Yahwe hawatapungukiwa chochote kilicho kizuri.
11 Come, ye children, hearken unto me; I will teach you the fear of the LORD.
Njoni, wana, mnisikilize mimi. nitawafundisha ninyi hofu ya Yahwe.
12 Who is the man that desireth life, and loveth days, that he may see good therein?
Mtu nani aliyepo ambaye anatamani maisha na anapenda kuwa na siku nyingi, ili kwamba aweze kuona vizuri?
13 Keep thy tongue from evil, and thy lips from speaking guile.
Hivyo uepushe ulimi wako na uovu na uilinde midomo yako kuongea uongo.
14 Depart from evil, and do good; seek peace, and pursue it.
Uache uovu na utende mema. Uitafute amani na kuiendea amani.
15 The eyes of the LORD are toward the righteous, and His ears are open unto their cry.
Macho ya Yahwe yako kwenye haki na masikio yake huelekea kulia kwao.
16 The face of the LORD is against them that do evil, to cut off the remembrance of them from the earth.
Uso wa Yahwe uko kinyume na wale watendao uovu, kuikatilia mbali kumbukumbu yao duniani.
17 They cried, and the LORD heard, and delivered them out of all their troubles.
Wenye haki hulia na Yahwe husikia na kuwaokoa kwenye matatizo yao yote.
18 The LORD is nigh unto them that are of a broken heart, and saveth such as are of a contrite spirit.
Yahwe yu karibu nao waliovunjika moyo, naye huwaokoa waliogandamizwa rohoni.
19 Many are the ills of the righteous, but the LORD delivereth him out of them all.
Mateso ya wenye haki ni mengi, bali Yahwe huwaokoa nayo yote.
20 He keepeth all his bones; not one of them is broken.
Yeye huitunza mifupa yake yote, hakuna hata mmoja wao utavunjika.
21 Evil shall kill the wicked; and they that hate the righteous shall be held guilty.
Uovu utawauwa waovu. Wale wachukiao haki watahukumiwa.
22 The LORD redeemeth the soul of His servants; and none of them that take refuge in Him shall be desolate.
Yahwe huokoa maisha ya watumishi wake. Hakuna atakaye hukumiwa hata mmoja atafutaye usalama katika yeye.