< Psalms 13 >

1 For the Leader. A Psalm of David. How long, O LORD, wilt Thou forget me for ever? How long wilt Thou hide Thy face from me?
Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
2 How long shall I take counsel in my soul, having sorrow in my heart by day? How long shall mine enemy be exalted over me?
Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
3 Behold Thou, and answer me, O LORD my God; lighten mine eyes, lest I sleep the sleep of death;
Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
4 Lest mine enemy say: 'I have prevailed against him'; lest mine adversaries rejoice when I am moved.
Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
5 But as for me, in Thy mercy do I trust; my heart shall rejoice in Thy salvation.
Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
6 I will sing unto the LORD, because He hath dealt bountifully with me.
Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.

< Psalms 13 >