< Psalms 114 >

1 When Israel came forth out of Egypt, the house of Jacob from a people of strange language;
Israeli ilipotoka Misri, na nyumba ya Yakobo toka kutoka katika wale watu wa kigeni,
2 Judah became His sanctuary, Israel His dominion.
Yuda ilifanyika kuwa mahali pake patakatifu, Ufalme wa Israeli.
3 The sea saw it, and fled; the Jordan turned backward.
Bahari iliona ikakimbia; Yordani ilirudi nyuma.
4 The mountains skipped like rams, the hills like young sheep.
Milima iliruka kama kondoo waume, vilima viliruka kama wana-kondoo.
5 What aileth thee, O thou sea, that thou fleest? thou Jordan, that thou turnest backward?
Ewe Bahari kwa nini ulikimbia? Yordani kwa nini ulirudi nyuma?
6 Ye mountains, that ye skip like rams; ye hills, like young sheep?
Milima, kwa nini uliruka kama kondoo waume? Enyi vilima wadogo, kwa nini mliruka kama wana-kondoo?
7 Tremble, thou earth, at the presence of the Lord, at the presence of the God of Jacob;
Tetemeka, ee nchi, mbele za Bwana, uweponi mwa Mungu wa Yakobo.
8 Who turned the rock into a pool of water, the flint into a fountain of waters.
Aligeuza mwamba kuwa ziwa la maji, jiwe gumu kuwa chemchem.

< Psalms 114 >