< Leviticus 3 >

1 And if his offering be a sacrifice of peace-offerings: if he offer of the herd, whether male or female, he shall offer it without blemish before the LORD.
Kama mtu atoa dhabihu ambayo ni matoleo ya amani ya mnyama kutoka katika kundi, dume au jike, lazima atatoa mnyama asiyena kasoro mbele ya Bwana.
2 And he shall lay his hand upon the head of his offering, and kill it at the door of the tent of meeting; and Aaron's sons the priests shall dash the blood against the altar round about.
Ataweka mikono yake juu ya sadaka yake na atamchinja mbele ya mlango wa hema ya kukutania. Kisha wana wa Haruni makuhani watanyunyizia damu yake katika pande za madhabahu.
3 And he shall present of the sacrifice of peace-offerings an offering made by fire unto the LORD: the fat that covereth the inwards, and all the fat that is upon the inwards,
Mtu akitoa dhabihu ya amani itolewayo kwa moto kwa ajili ya Bwana. Mafuta yanayofunika au yanayoungana na hizo sehemu za ndani,
4 and the two kidneys, and the fat that is on them, which is by the loins, and the lobe above the liver, which he shall take away hard by the kidneys.
figo mbili na mafuta yaliyofunika kiunoni na yanayozunguka ini, pamoja na figo atayatoa pamoja.
5 And Aaron's sons shall make it smoke on the altar upon the burnt-offering, which is upon the wood that is on the fire; it is an offering made by fire, of a sweet savour unto the LORD.
Wana wa Haruni watayachoma hayo katika madhabahu pamoja na sadaka ya kutekezwa, juu ya kuni zilizo kwenye moto. Zitaleta harufu nzuri mbele ya Bwana; itakuwa sadaka ya itolewayo kwake kwa moto.
6 And if his offering for a sacrifice of peace-offerings unto the LORD be of the flock, male or female, he shall offer it without blemish.
Kama dhabihu ya amani ya mtu itolewayo kwa Bwana ni kutoka katika mifugo ni mbuzi au kondoo ni dume au jike, atatoa dhabihu isiyo na kasoro.
7 If he bring a lamb for his offering, then shall he present it before the LORD.
Kama atatoa mwanakondoo kwa ajili ya dhabihu yake, atamtoa mbele za Bwana.
8 And he shall lay his hand upon the head of his offering, and kill it before the tent of meeting; and Aaron's sons shall dash the blood thereof against the altar round about.
Ataweka mkono wake juu ya ya kichwa cha dhabihu yake na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande za madhabahu.
9 And he shall present of the sacrifice of peace-offerings an offering made by fire unto the LORD: the fat thereof, the fat tail entire, which he shall take away hard by the rump-bone; and the fat that covereth the inwards, and all the fat that is upon the inwards,
Mtu akitoa sadaka ya dhabihu ya amani kama sadaka ya kusogezwa kwa moto kwa Bwana. Mafuta, mafuta ya mkia yatakatwa hapo karibu na mfupa wa kiuno, na mafuta yanayofunika matumbo na mafuta yaliyo katika matumbo,
10 and the two kidneys, and the fat that is upon them, which is by the loins, and the lobe above the liver, which he shall take away by the kidneys.
na figo zote mbili na mafuta yanayofunika yaliyo karibu na kiuno kitambi kilicho karibu na ini na figo ataziondoa zote.
11 And the priest shall make it smoke upon the altar; it is the food of the offering made by fire unto the LORD.
Na kuhani atayatekeza yote kwa moto katika madhabahu kama sadaka ya chakula isogezwayo kwa moto kwa Bwana.
12 And if his offering be a goat, then he shall present it before the LORD.
Kama matoleo ya mtu ni mbuzi, ndipo ataitoa mbele ya Bwana.
13 And he shall lay his hand upon the head of it, and kill it before the tent of meeting; and the sons of Aaron shall dash the blood thereof against the altar round about.
Ataweka mikono yake juu ya kichwa cha mbuzi na atamchinja mbele ya hema ya kukutania. Ndipo wana wa Haruni watanyunyizia damu pande zote za madhabahu.
14 And he shall present thereof his offering, even an offering made by fire unto the LORD: the fat that covereth the inwards, and all the fat that is upon the inwards,
Mtu akitoa dhabihu kwa Bwana kwa njia ya moto. Ataondoa mafuta yanayozunguka matumbo, na mafuta yote yanayozunguka matumbo.
15 and the two kidneys, and the fat that is upon them, which is by the loins, and the lobe above the liver, which he shall take away by the kidneys.
Ataondoa pia figo mbili na mafuta yanayozunguka, ambayo yanazunguka kiuno na kitambi cha maini pamoja na figo.
16 And the priest shall make them smoke upon the altar; it is the food of the offering made by fire, for a sweet savour; all the fat is the LORD'S.
Kuhani atateketeza yote juu ya madhabahu kama matoleo ya chakula yatolewayo kwa moto, ni sadaka ya kuleta harufu nzuri sana. Mafuta yote ni ya Bwana.
17 It shall be a perpetual statute throughout your generations in all your dwellings, that ye shall eat neither fat nor blood.
Itakuwa ni amri ya kudumu kwa kizazi cha watu katika maeneo yote mtakapotengeneza makazi, kwamba hamtakula mafuta au damu.”'

< Leviticus 3 >