< Jonah 2 >

1 Then Jonah prayed unto the LORD his God out of the fish's belly.
Kisha Yona akamwomba Bwana Mungu wake kutoka katika tumbo la samaki.
2 And he said: I called out of mine affliction unto the LORD, and He answered me; out of the belly of the nether-world cried I, and Thou heardest my voice. (Sheol h7585)
Akasema, Nimemwita Bwana juu ya shida yangu naye akanijibu; kutoka tumbo la Kuzimu nililia kwa msaada! Uliisikia sauti yangu. (Sheol h7585)
3 For Thou didst cast me into the depth, in the heart of the seas, and the flood was round about me; all Thy waves and Thy billows passed over me.
Ulikuwa umenitupa ndani ya kina, ndani ya moyo wa bahari, na maji yaliyonizunguka; mawimbi yako yote na gharika yalipita juu yangu.
4 And I said: 'I am cast out from before Thine eyes'; yet I will look again toward Thy holy temple.
Nikasema, 'Nimefukuzwa mbele ya macho yako; lakini nitaangalia tena juu ya hekalu lako takatifu. '
5 The waters compassed me about, even to the soul; the deep was round about me; the weeds were wrapped about my head.
Maji yalifunika kunizunguka karibu na shingo yangu; kina kilinizunguka; mwani ukakizinga kichwa changu.
6 I went down to the bottoms of the mountains; the earth with her bars closed upon me for ever; yet hast Thou brought up my life from the pit, O LORD my God.
Nilikwenda chini ya milima; nchi na baa zake zimefungwa juu yangu milele. Lakini wewe umeinua uhai wangu shimoni, Bwana, Mungu wangu!
7 When my soul fainted within me, I remembered the LORD; and my prayer came in unto Thee, into Thy holy temple.
Wakati nafsi yangu ilipozimia ndani yangu, nikamwita Bwana; basi sala yangu ilikujia, katika hekalu lako takatifu.
8 They that regard lying vanities forsake their own mercy.
Wote ambao huzingatia miungu isiyofaa hukataa uaminifu wako wao wenyewe.
9 But I will sacrifice unto Thee with the voice of thanksgiving; that which I have vowed I will pay. Salvation is of the LORD.
Lakini mimi, nitakuchinjia kwa sauti ya shukrani; Nitayatimiza yale niliyoapa. Wokovu hutoka kwa Bwana!
10 And the LORD spoke unto the fish, and it vomited out Jonah upon the dry land.
Kisha Bwana akanena na samaki, akamtapika Yona juu ya nchi kavu.

< Jonah 2 >