< Isaiah 33 >

1 Woe to thee that spoilest, and thou wast not spoiled; and dealest treacherously, and they dealt not treacherously with thee! When thou hast ceased to spoil, thou shalt be spoiled; and when thou art weary with dealing treacherously, they shall deal treacherously with thee.
Ole wenu, waharibifu ambao hamjaharibiwa! Ole wao wasaliti ambao hamjaslitiwa! Pindi mtakapoacha uaribifu, nanyi mtaharibiwa. Pindi mtakapoacha usaliti, nayi mtasalitiwa.
2 O LORD, be gracious unto us; we have waited for Thee; be Thou their arm every morning, our salvation also in the time of trouble.
Yahwe, tuurumie sisi; tumekusubiri wewe; umekuwa mkono wetu kila asubuhi, na wokovu wetu katika kipindi cha mateso.
3 At the noise of the tumult the peoples are fled; at the lifting up of Thyself the nations are scattered.
Watu wamekimbia kwa kusikia sauti kubwa; uliponyanyuka, mataifa yametawanyika,
4 And your spoil is gathered as the caterpillar gathereth; as locusts leap do they leap upon it.
Mateka wako wamejikusanya kama mkasanyiko wa nzige; kama nzige warukavyo, watu wataruka juu yake.
5 The LORD is exalted, for He dwelleth on high; He hath filled Zion with justice and righteousness.
Yahwe ameinuliwa. Anaishi mahali pa juu. Ataijaza Sayuni kwa haki na usawa.
6 And the stability of thy times shall be a hoard of salvation — wisdom and knowledge, and the fear of the LORD which is His treasure.
Atakuwa imara katika kipidi chenu, wingi wa wokovu, busara, na maarifa; hofu ya Yahwe iko katika hazina yake.
7 Behold, their valiant ones cry without; the ambassadors of peace weep bitterly.
Tazama, wujumbe wanalia mtaani; wanadiplomasia wanamatumaini ya amani kwa kulia kwa uchungu.
8 The highways lie waste, the wayfaring man ceaseth; he hath broken the covenant, he hath despised the cities, he regardeth not man.
Barabara kuu imeachwa faragha; hakuna wasafiri tena. Maagano yamevujika, mashahidi wanadharaulika, na utu wa mtu hauheshimiki.
9 The land mourneth and languisheth; Lebanon is ashamed, it withereth; Sharon is like a wilderness; and Bashan and Carmel are clean bare.
Nchi imeomboleza na kunyaukia mbali; Lebanoni inaibisha na kunyaukia mbali; Sharoni imekuwa kama jangwa wazi; Bashani na Kermeli zimepuputisha majani yake.
10 Now will I arise, saith the LORD; now will I be exalted; now will I lift Myself up.
''Sasa nitanyanyuka, ''asema Yahwe; '' sasa nitanyanyuliwa juu; sasa nitainuliwa.
11 Ye conceive chaff, ye shall bring forth stubble; your breath is a fire that shall devour you.
Utashika mimba ya makapi na utazaa mabua; na punzi yako ni moto ambao utakuunguza wewe.
12 And the peoples shall be as the burnings of lime; as thorns cut down, that are burned in the fire.
Watu watachomwa na kuwa kama chokaa, kama miiba ya porini inavyokatwa na kuchomwa.
13 Hear, ye that are far off, what I have done; and, ye that are near, acknowledge My might.
Enyi mlio mbali sana, sikiliza nilicho kifanya; na enyi mlio karibu, kirini ukuu wangu.''
14 The sinners in Zion are afraid; trembling hath seized the ungodly: 'Who among us shall dwell with the devouring fire? Who among us shall dwell with everlasting burnings?'
Watenda zambi wa Sayuni wanogopa; tetemeko limewakuta wasio na Mungu. Ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto mkali? Na ni nani miongoni mwetu anayeweza kukaa kwenye moto wa milele?
15 He that walketh righteously, and speaketh uprightly; he that despiseth the gain of oppressions, that shaketh his hands from holding of bribes, that stoppeth his ears from hearing of blood, and shutteth his eyes from looking upon evil;
Nyie mnaotembe katika haki na kuongea kw uaminifu; yeye anayedharau mapato ya ukandamizaji, yeye anayekataa kuchuka rushwa, ambaye hausiki kwenye kupanga vurugu za kihalifu, na ambaye haangali maovu-
16 He shall dwell on high; his place of defence shall be the munitions of rocks; his bread shall be given, his waters shall be sure.
Ataiweka nyumba yake juu; sehemu yake ya ulinzi itakuwa ni ngome ya mwamba; chakula na maji yake hayataisha.
17 Thine eyes shall see the king in his beauty; they shall behold a land stretching afar.
Macho yako yatamuona mfalme katika uzuri wake; watatazama nchi kubwa.
18 Thy heart shall muse on the terror: 'Where is he that counted, where is he that weighed? Where is he that counted the towers?'
Moyo wako utakumbuka hofu; yuko wapi mwandishi, yuko wapi yule aliayepima pesa? na yuko wapi yeye aesabue minara?
19 Thou shalt not see the fierce people; a people of a deep speech that thou canst not perceive, of a stammering tongue that thou canst not understand.
Hautawaona watu wanaopinga, watu weye lugha ya ajabu ambayo hautaweza kuielewa.
20 Look upon Zion, the city of our solemn gatherings; thine eyes shall see Jerusalem a peaceful habitation, a tent that shall not be removed, the stakes whereof shall never be plucked up, neither shall any of the cords thereof be broken.
Itazame Sayuni, mji wa sikukuu yetu; macho yako yataiona Yerusalemu kama makao tulivu, hema ambalo halitatolewa, vigingi vyake havitatolewa wala kamba zake hazitakatika.
21 But there the LORD will be with us in majesty, in a place of broad rivers and streams; wherein shall go no galley with oars, neither shall gallant ship pass thereby.
Badala yake Yahwe katika ukuu wake atakuwa pamoja na sisi, katika eneo la maji mengi na mifereji mingi. Hakuna manuari na mpiga makasia watakayepita hapo, na hakuna mashua itakayopita uko.
22 For the LORD is our Judge, the LORD is our Lawgiver, the LORD is our King; He will save us.
Maana Yahwe ni hakimu wetu, Yahwe ni mwanasheria wet, Yahwe ni mfalme wetu; atatukomboa sisi.
23 Thy tacklings are loosed; they do not hold the stand of their mast, they do not spread the sail; then is the prey of a great spoil divided; the lame take the prey.
Kamba zako zimelegea; haziwezi kushika mlingoti katika eneo lake; haziwezi kuzunguka meli; pindi mateka wanavyogawanyika, hata vilema watawatoa nje kama mateka.
24 And the inhabitant shall not say: 'I am sick'; the people that dwell therein shall be forgiven their iniquity.
Na wenyeji watasema, ''Ninaumwa;'' watu wanaoishi pale watasamehewa maovu yao.

< Isaiah 33 >