< Isaiah 13 >
1 The burden of Babylon, which Isaiah the son of Amoz did see.
Tamko kuhusu Babeli, ambalo Isaya mtoto wa Amozi alipokea:
2 Set ye up an ensign upon the high mountain, lift up the voice unto them, wave the hand, that they may go into the gates of the nobles.
Kwenye mlima wa wazi imewekwa bendera ya ishara, lia kwa sauti kwao, wapungie mikono waende kwenye lango la wenye vyeo.
3 I have commanded My consecrated ones, yea, I have called My mighty ones for mine anger, even My proudly exulting ones.
Nimewamuru watakatifu wangu, ndio, nimewaita watu wangu wenye nguvu kutekeleza asira yangu, na hata watu wangu wanojigmba na kujiinua wenyewe.
4 Hark, a tumult in the mountains, like as of a great people! Hark, the uproar of the kingdoms of the nations gathered together! The LORD of hosts mustereth the host of the battle.
Kelele za umati wa watu kwenye milima, za watu wengi! Kelele za ghasiaza ufalme kama mataifa mengi yamekusanyika pamoja! Yahwe wa majeshi anapanga jeshi kwa vita.
5 They come from a far country, from the end of heaven, even the LORD, and the weapons of His indignation, to destroy the whole earth.
Wametoka katika nchi ya mbali, kutoka juu ya upeo wa macho. Ni Yahwe na silaha zake za hukumu, kuhiharibu nchi yetu.
6 Howl ye; for the day of the LORD is at hand; as destruction from the Almighty shall it come.
Omboleza maana siku ya Yahwe imekaribia; itakuja na uharibifu kutoka kwa Mwenyenzi.
7 Therefore shall all hands be slack, and every heart of man shall melt.
Hivyo basi mikono ining'inizwe kama kiwete, na kila moyo ulioyeyuka.
8 And they shall be affrighted; pangs and throes shall take hold of them; they shall be in pain as a woman in travail; they shall look aghast one at another; their faces shall be faces of flame.
Itawatisha; maumivu na uchungu atawapa wao, kama mwanamke ambaye anajifungua. Watangalia kwa kushangaa kwa kila mmoja mmoja; nyuso zao zitakuwa kama moto.
9 Behold, the day of the LORD cometh, cruel, and full of wrath and fierce anger; to make the earth a desolation, and to destroy the sinners thereof out of it,
Tazama, siku za Yahwe zinakuja na laana kali wingi wa hasira, kuifanya nchi yenye ukiwa na kuharibu wenye dhambi katika nchi.
10 For the stars of heaven and the constellations thereof shall not give their light; the sun shall be darkened in his going forth, and the moon shall not cause her light to shine.
Nyota ya mbinguni na matangamano havitatoa nuru yake. Jua litakuwa giza na hata mwenzi hautaangaza.
11 And I will visit upon the world their evil, and upon the wicked their iniquity; and I will cause the arrogancy of the proud to cease, and will lay low the haughtiness of the tyrants.
Nitaihadhibu nchi kwa maovu yake na makosa ya uovu wao. Nitamaliza kiburi cha majivuno na nitawashusha wenye kiburi wasiwe makali.
12 I will make man more rare than fine gold, even man than the pure gold of Ophir.
Nitawafanya watu kuwa nadra zaidi ya dhahabu nzuri na watu kuwa vigumu kupatikana zaidi ya dhahabu safi ya Ofiri.
13 Therefore I will make the heavens to tremble, and the earth shall be shaken out of her place, for the wrath of the LORD of hosts, and for the day of His fierce anger.
Hivyo basi nitazifanya mbingu kutingishika, na dunia itayumba kutoka sehemu iliyoko, Kwa hasira ya Yahwe wa majeshi, na siku ya hasira yake.
14 And it shall come to pass, that as the chased gazelle, and as sheep that no man gathereth, they shall turn every man to his own people, and shall flee every man to his own land.
Kama Paa anayewindwa au kama kondoo wasio na mchungaji, kila mtu atageukia watu wake na kukimbia kwenye nchi yake.
15 Every one that is found shall be thrust through; and every one that is caught shall fall by the sword.
Kwa yeyote atakayeonekana atauliwa, na yeyote atakayekamatwa atauliwa kwa upanga.
16 Their babes also shall be dashed in pieces before their eyes; their houses shall be spoiled, and their wives ravished.
Watoto wao watakatwa vipandevipande mbele ya macho yao. Nyumba zao zitavamiwa na wake zao watabakwa.
17 Behold, I will stir up the Medes against them, who shall not regard silver, and as for gold, they shall not delight in it.
Tazama, ninakaribia kuwakoroga Wamede ili wawavamie wao, ambao hawaoni maana ya fedha wala furaha ya dhahabu.
18 And their bows shall dash the young men in pieces; and they shall have no pity on the fruit of the womb; their eye shall not spare children.
Mishale yao itawachoma vijana wadogo. Hakutakuwa na shimo kwa watoto wao na hawatawacha watoto wao.
19 And Babylon, the glory of kingdoms, the beauty of the Chaldeans' pride, shall be as when God overthrew Sodom and Gomorrah.
Na Babali ufalme unaovutia zaidi, fahari ya mapambo ya wakaldyo, itaangamizwa na Mungu kama Sodoma na Gomora.
20 It shall never be inhabited, neither shall it be dwelt in from generation to generation; neither shall the Arabian pitch tent there; neither shall the shepherds make their fold there.
Hapatakuwa na wenyeji wala wakazi kutoka kizazi kimoja hadi kizazi kingine. Mwarabu atapiga hema lake uko wala wachungaji hawatalaza mifugo yao pale.
21 But wild-cats shall lie there; and their houses shall be full of ferrets; and ostriches shall dwell there, and satyrs shall dance there.
Lakini wanyama pori wa jangwani watalala pale. Nyumba zao zitajaa bundi; na mbuni watakaa huko na mbuzi pori wataruka pale.
22 And jackals shall howl in their castles, and wild-dogs in the pleasant palaces; and her time is near to come, and her days shall not be prolonged.
Fisi watalia kwenye ngome yao, na mbeha katika maeneo yao mazuri. Mda wao umekaribia, na siku zao hazitachelewa.