< Ezekiel 42 >

1 Then he brought me forth into the outer court, the way toward the north; and he brought me into the chamber that was over against the separate place, and which was over against the building, toward the north,
Kisha yule mtu akanituma kwenda ua wa nje upande wa kaskazini, akanileta kwenye vyumba mbele ya ua wa nje na ukuta wa nje kaskazini.
2 even to the front of the length of a hundred cubits, with the door on the north, and the breadth of fifty cubits,
Hivyo vyumba vilikuwa dhiraa mia moja karibu na mbele yake na dhiraa hamsini upana.
3 over against the twenty cubits which belonged to the inner court, and over against the pavement which belonged to the outer court; with gallery against gallery in three stories.
Baadhi ya hivyo vyumba vilielekea ua wa ndani na vilikuwa na dhiraa ishirini kutoka patakatifu. Kulikuwa na vyumba vitatu vinavyolingana, na kingine juu kilichokuwa kimetazama chini kuelekea kingine vilikuwa vimefunguliwa, vilikuwa na pakutokea. Baadhi ya vyumba vilielekea nje kwenye ua wa nje.
4 And before the chambers was a walk of ten cubits breadth inward, a way of one cubit; and their doors were toward the north.
Njia dhiraa kumi upana dhiraa mia moja urefu kueleikea mbele ya vyumba. Milango ya vyumba ilikuwa mbele kaskazini.
5 Now the upper chambers were shorter; for the galleries took away from these, more than from the lower and the middlemost, in the building.
Lakini kumbi za juu zilikuwa ndogo, kwa ajili ya njia za kutembea zilichukua kutoka kwazo sehemu kubwa kulikuwa walivyofanya kwenye vyumba vya chini na katikati usawa wa jengo.
6 For they were in three stories, and they had not pillars as the pillars of the courts; therefore room was taken away from the lowest and the middlemost, in comparison with the ground.
Kwa kuwa orofa tatu hapakuwa na mihimili, kama zile nyua, ambazo zilikuwa na mihimili. Hivyo usawa wa vyumba vya juu vilikuwa sawa sawa katika kipimo cha kulinganisha na vyumba vya chini na usawa wa katikakati.
7 And the wall that was without by the side of the chambers, toward the outer court in front of the chambers, the length thereof was fifty cubits.
Ukuta wa nje karibu na vyumba mbele ya ua wa nje, ua uliokuwa mbele ya vyumba. Huo ukuta ulikuwa dhiraa hamsini urefu.
8 For the length of the chambers that were toward the outer court was fifty cubits; and, lo, before the temple were a hundred cubits.
Urefu wa vyumba vya ua wa nje ulikuwa dhiraa hamsini, na vyumba vilivyokuwa vimeelekea patakatifu vilikuwa dhiraa mia moja urefu.
9 And from under these chambers was the entry on the east side, as one goeth into them from the outer court.
Kulikuwa na mahali pa kuingilia kwenye vyumba vidogo zaidi kutoka upande mashariki, kuingia kutoka ua wa nje.
10 In the breadth of the wall of the court toward the east, before the separate place, and before the building, there were chambers,
Karibu na ukuta wa ua wa nje juu ya upande wa mgaribi pa ua wa ndani, mbele ya patakatifu pa ua wa nje, pia kulikuwa na vyumba na njia ya mbele yao.
11 with a way before them; like the appearance of the chambers which were toward the north, as long as they, and as broad as they, with all their goings out, and according to their fashions; and as their doors,
zilikuwa kama umbo la vyumba kwa upande wa kaskazini. Zilikuwa urefu ule ule na upana na matokeo yale yale na mipangilio na madirisha.
12 so were also the doors of the chambers that were toward the south, there was a door in the head of the way, even the way directly before the wall, toward the way from the east, as one entereth into them.
Kwa upande wa kusini kulikuwa na madirisha kwenye vyumba ambavyo vilikuwa kama yale yaliyokuwa upande wa kaskazini. Aya iliyokuwa ndani ilikuwa na mlango kwenye kichwa chake, na njia ilifunguliwa kwenye vyumba tafauti. Upande mashariki kulikuwa na malango wa njia kwenye njia mwishoni.
13 Then said he unto me: 'The north chambers and the south chambers, which are before the separate place, they are the holy chambers, where the priests that are near unto the LORD shall eat the most holy things; there shall they lay the most holy things, and the meal-offering, and the sin-offering, and the guilt-offering; for the place is holy.
Kisha yule mtu akanambia, “Vyumba vya kaskazini na vyumba vya kusini vilivyokuwa mbele ya ua wa nje ni vyumba vitakatifu amabapo makuhani wafanyao kazi karibu sana na Yahwe waweze kula chakula kitakatifu sana. Wataweka vitu vitakatifu sana-sadaka ya chakula, sadaka ya dhambi, na sadaka ya hatia-kwa kuwa hapa ni mahali patakatifu.
14 When the priests enter in, then shall they not go out of the holy place into the outer court, but there they shall lay their garments wherein they minister, for they are holy; and they shall put on other garments, and shall approach to that which pertaineth to the people.'
Wakati makuhani watakapoingia hapo, wasitoke nje ya mahali patakatifu kwa ua wa nje, bila kuweka mavazi karibu mahali wahudumupo, kwa kuwa hapa ni patakatifu. Hivyo watavalia mahali pengine nguo kabla ya kwenda karibu na watu.”
15 Now when he had made an end of measuring the inner house, he brought me forth by the way of the gate whose prospect is toward the east, and measured it round about.
Yule mtu akamaliza kupima ndani ya nyumba na kisha akanichukua nje ya lango lililokuwa limeelekea magharibi na kuzipima sehemu zote zilizokuwa zimepazunguka hapo.
16 He measured the east side with the measuring reed, five hundred reeds, with the measuring reed round about.
Akaupima upande wa mashariki na fimbo ya kupimia-dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia.
17 He measured the north side, five hundred reeds, with the measuring reed round about.
akaupima upande wa kaskazini-dhiraa mia tano na fimbo ya kupimia.
18 He measured the south side, five hundred reeds, with the measuring reed.
Pia akaupima upande wa kusini dhraa mia tano na fimbo ya kupimia.
19 He turned about to the west side, and measured five hundred reeds with the measuring reed.
Pia akageuka na kuupima upande wa magharibi dhiraa mia tano kwa fimbo ya kupimia,
20 He measured it by the four sides; it had a wall round about, the length five hundred, and the breadth five hundred, to make a separation between that which was holy and that which was common.
Akaipima pande nne. Ilikuwa na ukuta umeizunguka ilikuwa dhiraa mia tano urefu, na dhiraa mia tano upana, kulitenganisha umbo takatifu kutoka ambapo ni pa kawada.

< Ezekiel 42 >