< Ezekiel 27 >

1 Moreover the word of the LORD came unto me, saying:
Tena neno la Yahwe likanijia, kusema,
2 'And thou, son of man, take up a lamentation for Tyre,
“Sasa wewe, mwanadamu, anza kuomboleza kuhusiana na Tiro,
3 and say unto Tyre, that dwelleth at the entry of the sea, that is the merchant of the peoples unto many isles: Thus saith the Lord GOD: Thou, O Tyre, hast said: I am of perfect beauty.
na mwambie Tiro, aishiye kwenye malango ya bahari, manahodha wa watu hata visiwa vingi, Bwana Yahwe asema hivi kwako: Tiro, umesema, mimi ni ukamilifu katika uzuri.'
4 Thy borders are in the heart of the seas, thy builders have perfected thy beauty.
Mipaka yako iko kwenye moyo wa bahari; majengo yako yamekamilisha uzuri wako.
5 Of cypress-trees from Senir have they fashioned all thy planks; they have taken cedars from Lebanon to make masts for thee.
Wametengeneza mbao nene na pana kwa mvinje kutoka Mlima Hermoni; wamechukua mkangazi kutoka Lebanoni kuufanya mlingoti.
6 Of the oaks of Bashan have they made thine oars; thy deck have they made of ivory inlaid in larch, from the isles of the Kittites.
Wametengeneza makasia yako kutoka kwenye mialo ya Bashani; wametengeza sitaha zako kwa mbao za mvinje kutoka Kitimu, na wametengeneza kwa pembe.
7 Of fine linen with richly woven work from Egypt was thy sail, that it might be to thee for an ensign; blue and purple from the isles of Elishah was thine awning.
Tanga zako zilikuwa za rangi za kitani kutoka Misri ambazo zilikuwa kama beramu!
8 The inhabitants of Sidon and Arvad were thy rowers; thy wise men, O Tyre, were in thee, they were thy pilots.
Wale waliokuwa wakiishi Sidoni na Arvadi walikuwa wavuta makasia wako; wenye busara wa Tire walikuwa ndani yenu; walikuwa marubani wako.
9 The elders of Gebal and the wise men thereof were in thee thy calkers; all the ships of the sea with their mariners were in thee to exchange thy merchandise.
Mafundistadi wenye uzoefu wa hali ya juu kutoka Gabeli walijaza mishono; meli zote za bahari na mabaharia wao miongoni mwenu walikuwa wakiwabeba manahodha kwaajili ya biashara.
10 Persia and Lud and Put were in thine army, thy men of war; they hanged the shield and helmet in thee, they set forth thy comeliness.
Uajemi, Ludi, na Putu walikuwa katika jeshi lako, watu wako wa vita. Walining'iniza ngao na chapeo ndani yako; walionyesha uzuri wako.
11 The men of Arvad and Helech were upon thy walls round about, and the Gammadim were in thy towers; they hanged their shields upon thy walls round about; they have perfected thy beauty.
Watu wa Arvadi na Heleki katika jeshi lako walikuwa juu ya kuta zako wamekuzunguka, na watu wa Gamadi walikuwa kwenye minara yako. Walinin'giniza juu ngao zao juu ya kuta zako zote zilizokuzunguka! Wakaukamilisha uzuri wako.
12 Tarshish was thy merchant by reason of the multitude of all kinds of riches; with silver, iron, tin, and lead, they traded for thy wares.
Tarshishi alikuwa mdau wa biashara pamoja nawe kwa sababu ya wingi wa utajiri wako wa kuuza mizigo: fedha, chuma, bati, na risasi. Walinunua na kuuza bidhaa za biashara!
13 Javan, Tubal, and Meshech, they were thy traffickers; they traded the persons of men and vessels of brass for thy merchandise.
Yavani, Tubali, na Mesheki-waliwauza watumwa na katika vitu kutengeneza shaba. Walibeba bidhaa zako.
14 They of the house of Togarmah traded for thy wares with horses and horsemen and mules.
Beth Togarma waliandaa farasi, farasi dume, na nyumbu kama kama bidhaa zako.
15 The men of Dedan were thy traffickers; many isles were the mart of thy hand; they brought thee as tribute horns of ivory and ebony.
Watu wa Dedani walikuwa wafanya biashara wako kwenye pwani nyingi. Bidhaa zilikuwa mkononi mwako; walikutumia pembe, pembe za ndovu, na mpingo kama ushuru!
16 Aram was thy merchant by reason of the multitude of thy wealth; they traded for thy wares with carbuncles, purple, and richly woven work, and fine linen, and coral, and rubies.
Shamu alikuwa mchuuzi katika bidhaa zako nyingi; waliandaa zumaridi, zambarau, nguo zenye rangi mbali mbali, kitambaa kizuri, lulu, na kito chekundu cha thamani kama bidhaa zako.
17 Judah, and the land of Israel, they were thy traffickers; they traded for thy merchandise wheat of Minnith, and balsam, and honey, and oil, and balm.
Yuda na nchi ya Israeli walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe. Waliandaa ngano kutoka Minithi, keki, asali, mafuta, na lihamu kama bidhaa zako.
18 Damascus was thy merchant for the multitude of thy wealth, by reason of the multitude of all riches, with the wine of Helbon, and white wool.
Dameski alikuwa mfanya biashara wa bidhaa zako zote, za utajiri mkubwa mno, na ya divai ya Helboni na sufu ya Zahari.
19 Vedan and Javan traded with yarn for thy wares; massive iron, cassia, and calamus, were among thy merchandise.
Dani na Yavani kutoka Uzali walikwandalia bidhaa ya chuma kilichofuliwa, na mdalasini, na mchai. Hivi vikawa bidhaa yako.
20 Dedan was thy trafficker in precious cloths for riding.
Dedani alikuwa mchuuzi katika nguo nzuri za kutandika.
21 Arabia, and all the princes of Kedar, they were the merchants of thy hand; in lambs, and rams, and goats, in these were they thy merchants.
Arabuni na wakuu wote wa Kedari walikuwa wafanyabiashara pamoja nawe; walikuandalia wanakondoo, kondoo dume na mbuzi.
22 The traffickers of Sheba and Raamah, they were thy traffickers; they traded for thy wares with chief of all spices, and with all precious stones, and gold.
Wafanya biashara wa Sheba na Raama walikuja kukuuzia kila aina ya viungo vizuri katika vito vyote vya thamani; waliuza dhahabu kwa ajili ya bidhaa.
23 Haran and Canneh and Eden, the traffickers of Sheba, Asshur was as thine apprentice in traffic.
Harani, Kane, na Adina walikuwa wafanya biashara pamoja nawe, karibu na Sheba, Ashuru, na Kilmadi.
24 These were thy traffickers in gorgeous fabrics, in wrappings of blue and richly woven work, and in chests of rich apparel, bound with cords and cedar-lined, among thy merchandise.
Hawa walikuwa wachuuzi wako mapambo ya joho ya nguo za urujuani pamoja na rangi zilibuniwa, na nguo zilizo sanifiwa vizuri katika sehemu zako za soko.
25 The ships of Tarshish brought thee tribute for thy merchandise; so wast thou replenished, and made very heavy in the heart of the seas.
Merikebu za Tarshishi zilikuwa misafara ya bidhaa yako! Hivyo ulijaa, shehena nzito katika moyo wa bahari!
26 Thy rowers have brought thee into great waters; the east wind hath broken thee in the heart of the seas.
Wapiga makasia wako walikuleta kwenye bahari kuu mno; upepo wa mashariki umekuvunja kati yao.
27 Thy riches, and thy wares, thy merchandise, thy mariners, and thy pilots, thy calkers, and the exchangers of thy merchandise, and all thy men of war, that are in thee, with all thy company which is in the midst of thee, shall fall into the heart of the seas in the day of thy ruin.
Utajiri wako, bidhaa, na mizigo ya biashara; wapiga makasia wako na marubani, na waunzi wa meli; wafanya biashara wako wa bidhaa na watu wote wa vita walio ndani yako, na jeshi lako-watazama kwenye kina cha bahari siku ya kuangamia kwako.
28 At the sound of the cry of thy pilots the waves shall shake.
Miji iliyopo kwenye bahari sauti itatetemeka kulia kwa rubani zako;
29 And all that handle the oar, the mariners, and all the pilots of the sea, shall come down from their ships, they shall stand upon the land,
Wote wavutao kasia watashuka chini kutoka meli katika zao; wanamaji na marubani wote juu ya bahari watasimama juu ya nchi.
30 And shall cause their voice to be heard over thee, and shall cry bitterly, and shall cast up dust upon their heads, they shall roll themselves in the ashes;
Kisha watakufanya kusikiliza sauti yao na kulia kwa uchungu; watarusha vumbi juu ya vichwa vyao. Watabingirika katika majivu.
31 And they shall make themselves utterly bald for thee, and gird them with sackcloth, and they shall weep for thee in bitterness of soul with bitter lamentation.
Watanyo vichwa vyao upara kwa ajili yako na kujifunga wenyewe kwa nguo za magunia, na watalia kwa sauti.
32 And in their wailing they shall take up a lamentation for thee, and lament over thee: who was there like Tyre, fortified in the midst of the sea?
Watakuinulia maombolezo ya kuomboleza kwa ajili yako na kuimba nyimbo za maombolezo juu yako, ni nani aliye kama Tiro, ambaye sasa ameletwa kunyamazishwa kati ya bahari?
33 When thy wares came forth out of the seas, thou didst fill many peoples; with the multitude of thy riches and of thy merchandise didst thou enrich the kings of the earth.
Wakati bidhaa yako ilipoenda ufukweni kutoka kwenye bahari, imewarithisha watu wengi; uliwatajirisha wafalme wa dunia kwa wingi wa utajiri wako mkubwa na bidhaa!
34 Now that thou art broken by the seas in the depths of the waters, and thy merchandise and all thy company are fallen in the midst of thee,
Lakini wakati ulipo vunjwavunjwa kwa bahari, kwa vilindi vya maji, bidhaa yako na wafanya kazi wako wote kuzama!
35 All the inhabitants of the isles are appalled at thee, and their kings are horribly afraid, they are troubled in their countenance;
Wote wakaao pwani walikuogopa, na wafalme wao kuvunjwa vunjwa katika kitisho! Nyuso zao zimetetemeka!
36 The merchants among the peoples hiss at thee; thou art become a terror, and never shalt be any more.'
Wafanya biashara wa meli wa watu wakuzomea; umekuwa tishio, na hutakuwepo tena milele.”

< Ezekiel 27 >