< Ezekiel 15 >
1 And the word of the LORD came unto me, saying:
Kisha neno la Yahwe likanijia, liksema,
2 'Son of man, what is the vine-tree more than any tree, the vine branch which grew up among the trees of the forest?
“Mwanadamu, je ni jisni gani mzabibu ulivo bora kuliko mti na matawi yaliyomo kwenye miti katika msitu?
3 Shall wood be taken thereof to make any work? or will men take a pin of it to hang any vessel thereon?
Je watu huwa wanachukua mbao kutoka kwenye mzabbibu kufanyia chochote? au huwa wanatengenezea vitu kutokana na huo kuning'iniza chochote juu ya huo?
4 Behold, it is cast into the fire for fuel; the fire hath devoured both the ends of it, and the midst of it is singed; is it profitable for any work?
Tazama! Kama umetupwa kwenye moto kama kuni, na kama moto umezichoma ncha zake zote na katikati pia, je unafaa kwa chochote?
5 Behold, when it was whole, it was meet for no work; how much less, when the fire hath devoured it, and it is singed, shall it yet be meet for any work?
Tazama! Wakati ulipokuwa umekamilika, haukuweza kufanya chochote; kisha hakika, wakati moto ulipouchoma, lakini bado haukuweza kutengeneza kitu chochote kwa ajili ya matumizi yoyote.
6 Therefore thus saith the Lord GOD: As the vine-tree among the trees of the forest, which I have given to the fire for fuel, so do I give the inhabitants of Jerusalem.
Kwa hiyo Bwana Yahwe asema hivi: haufanani na miti katika misitu, niliyoitoa mzabibu kama kuni kwa moto; nitatenda vivyo hivyo mbele ya wakaao Yerusalemu.
7 And I will set My face against them; out of the fire are they come forth, and the fire shall devour them; and ye shall know that I am the LORD, when I set My face against them.
Kwa kuwa nitauweka uso wangu juu yao. Ingawa watatoka kutoka kwenye moto, bado moto utawala; hivyo mtajua kwamba mimi ni Yahwe, wakati nitakapoona uso wangu juu yenu.
8 And I will make the land desolate, because they have acted treacherously, saith the Lord GOD.'
Kisha nitaifanya nchi kuwa ukiwa kwa sababu wamefanya dhambi-hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo.”