< Song of Solomon 1 >

1
Wimbo ulio Bora, ambao ni wa Sulemani. Wanamke mdogo akizungumza na mpenzi wake
2 Let him kisse me with the kisses of his mouth: for thy loue is better then wine.
O, laiti ungenibusu na mabasu ya mdomo wako, kwa kuwa upendo wako ni bora kuliko mvinyo.
3 Because of the sauour of thy good ointments thy name is as an ointment powred out: therefore the virgins loue thee.
Mafuta yako ya upako yana manukato mazuri; jina lako ni kama marashi yaeleayo, hivyo wanawake wadogo wanakupenda.
4 Drawe me: we will runne after thee: the King hath brought me into his chabers: we will reioyce and be glad in thee: we will remember thy loue more then wine: the righteous do loue thee.
Nichukuwe kwako, na tutakimbia. Mwanamke akizungumza mwenyewe Mfalme amenipeleka vyumbani mwake. Mwanamke akizungumza na mpenzi wake nina furuha; nina furahi kuhusu wewe; acha ni shereheke upendo wako; ni bora kuliko mvinyo. Ni halisi kwa wanawake wengine kupenda. Mwanamke akizungumza na wanawake wengine.
5 I am blacke, O daughters of Ierusalem, but comely, as the tentes of Kedar, and as the curtaines of Salomon.
Mimi ni mweusi lakini mzuri, enyi mabinti wa wanaume wa Yerusalemu - mweusi kama hema za Kedari, muzuri kama mapazia ya Sulemani.
6 Regard ye me not because I am blacke: for the sunne hath looked vpon mee. The sonnes of my mother were angry against mee: they made me the keeper of ye vines: but I kept not mine owne vine.
Usinishangae kwasababu ni mweusi, kwasababu jua limeniunguza. Wana wa mama yangu walikuwa na hasira juu yangu; walinifanya mtunzi wa mashamba ya mizabibu, lakini mshamba langu la mizabibu sijatunza. Wanamke akizungumza na mpenzi wake.
7 Shewe me, O thou, whome my soule loueth, where thou feedest, where thou liest at noone: for why should I be as she that turneth aside to the flockes of thy companions?
Niambie, wewe ninaye kupenda, wapi unalisha mifugo yako? Wapi unapumzisha mifugo yako mchana? Kwa nini niwe kama mtu anaye akangaika miongoni mwa mifugo ya marafiki zako? Mpenzi wake anamjibu
8 If thou knowe not, O thou the fairest among women, get thee foorth by the steps of the flocke, and feede thy kiddes by the tents of the shepheards.
Kama haujui, uliye mzuri miongoni mwa wanawake, fuata nyayo za mifugo yangu, na ulishe watoto wako wa mbuzi karibu na hema za wachungaji.
9 I haue compared thee, O my loue, to the troupe of horses in the charets of Pharaoh.
Nina kulinganisha, mpenzi wangu, na farasi mzuri wakike miongoni mwa farasi wa magari ya Farao.
10 Thy cheekes are comely with rowes of stones, and thy necke with chaines.
Mashavu yako ni mazuri na mapambo, shingo yako na mikufu ya madini.
11 We will make thee borders of golde with studdes of siluer.
Nitakufanyia mapambo ya dhahabu yaliochanganywa na fedha. Mwanamke akiongea mwenyewe.
12 Whiles the King was at his repast, my spikenard gaue the smelll thereof.
Wakati mfalme akiwa amelala kitandani mwake, marashi yangu yakasambaza arufu.
13 My welbeloued is as a bundle of myrrhe vnto me: he shall lie betweene my breasts.
Mpenzi wangu ni kwangu kama mkebe wa marashi unao lala usiku katika ya maziwa yangu.
14 My welbeloued is as a cluster of camphire vnto me in the vines of Engedi.
Mpenzi wangu ni kwangu kama kifurushi cha maua ya hena katika mashamba ya mizabibu ya Eni Gedi. Mpenzi wake anazungumza naye
15 My loue, beholde, thou art faire: beholde, thou art faire: thine eyes are like the doues.
Ona, wewe ni mzuri, mpenzi wangu; ona, wewe ni mzuri; macho yako ni kama ya hua. Mwanamke anazungumza na mpenzi wake.
16 My welbeloued, beholde, thou art faire and pleasant: also our bed is greene:
Ona, wewe ni mtanashati, mpenzi wangu, jinsi mtanashati.
17 The beames of our house are cedars, our rafters are of firre.
Nguzo za nyumba yetu ni za matawi ya mierezi, na dari letu ni la matawi ya miberoshi.

< Song of Solomon 1 >