< Psalms 87 >

1 A Psalme or song committed to the sonnes of Korah. God layde his foundations among the holy mountaines.
Mji aliouanzisha umesimama juu ya mlima mtakatifu;
2 The Lord loueth the gates of Zion aboue all the habitations of Iaakob.
Yahwe anapenda zaidi malango ya Sayuni kuliko mahema yote ya Yakobo.
3 Glorious things are spoken of thee, O citie of God. (Selah)
Mambo matukufu yamesemwa kwako, mji wa Mungu. (Selah)
4 I will make mention of Rahab and Babel among them that knowe me: beholde Palestina and Tyrus with Ethiopia, There is he borne.
Ninataja Rahabu na Babeli kwa wafuasi wangu. Tazama, Filisti, na Tiro, pamoja na Ethiopia nao watasema, 'Huyu alizaliwa humo.'”
5 And of Zion it shall be sayde, Many are borne in her: and he, euen the most High shall stablish her.
Itasemwa juu ya Sayuni, “Kila mmoja wa hawa alizaliwa katika yeye; na yeye Aliye Juu atamuimarisha.
6 The Lord shall count, when hee writeth the people, He was borne there. (Selah)
Yahwe anaandika katika kitabau cha sensa ya mataifa, “Huyu alizaliwa humo.” (Selah)
7 Aswell the singers as the players on instruments shall prayse thee: all my springs are in thee.
Hivyo waimbaji na wachezaji kwa pamoja waseme, “chemchem zangu zimo kwako.”

< Psalms 87 >