< Psalms 77 >
1 For the excellent musician Ieduthun. A Psalme committed to Asaph. My voyce came to God, when I cryed: my voyce came to God, and he heard me.
Nitampazia Mungu sauti yangu, nitamuita Mungu kwa sauti yangu, na Mungu wangu atanisikia.
2 In the day of my trouble I sought ye Lord: my sore ranne and ceased not in the night: my soule refused comfort.
Katika siku ya taabu nilimtafuta Bwana; usiku niliinua mikono yangu, nayo haikuchoka. Moyo wangu ulikataa kufarijiwa.
3 I did thinke vpon God, and was troubled: I praied, and my spirit was full of anguish. (Selah)
Ningali nikiugua nilielekeza mawazo yangu kwa Mungu. Nilimfikiria Mungu nilipokuwa dhaifu. (Selah)
4 Thou keepest mine eyes waking: I was astonied and could not speake.
Uliyafanya macho yangu yasisinzie; nilisumbuka sana kuongea.
5 Then I considered the daies of olde, and the yeeres of ancient time.
Nilifikiri kuhusu siku za kale, kuhusu mambo yaliyopita muda mrefu.
6 I called to remembrance my song in the night: I communed with mine owne heart, and my spirit searched diligently.
Wakati wa usiku niliukumbuka wimbo niliouimba mara moja. Nilifikiria kwa makini na kujaribu kuelewa kile kilichokuwa kimetokea.
7 Will the Lord absent him selfe for euer? and will he shewe no more fauour?
Je, Mungu atanikataa milele? Je, hatanionesha tena huruma?
8 Is his mercie cleane gone for euer? doeth his promise faile for euermore?
Je, uaminifu wa agano lake ulikuwa umetoweka milele? Je, ahadi yake imeshindwa milele?
9 Hath God forgotten to be mercifull? hath he shut vp his teder mercies in displeasure? (Selah)
Je, Mungu amesahau kuwa mwenye neema? Je, hasira yake imeifunga huruma yake? (Selah)
10 And I sayde, This is my death: yet I remembred the yeeres of the right hand of the most High.
Nilisema, “Hii ni huzuni yangu: mabadiliko ya mkono wa kuume wa Aliye Juu dhidi yetu.”
11 I remembred the workes of the Lord: certainely I remembred thy wonders of olde.
Lakini nitayakumbuka matendo yako, Yahwe; nitafikiri kuhusu matendo yako makuu yaliyopita.
12 I did also meditate all thy woorkes, and did deuise of thine actes, saying,
Nitayatafakari matendo yako yote nami nitayaishi.
13 Thy way, O God, is in the Sanctuarie: who is so great a God as our God!
Njia yako, Mungu, ni takatifu; ni mungu gani wa kulinganishwa na Mungu wetu aliye mkuu?
14 Thou art ye God that doest wonders: thou hast declared thy power among the people.
Wewe ni Mungu utendaye maajabu; wewe umeonesha nguvu zako kati ya mataifa.
15 Thou hast redeemed thy people with thine arme, euen the sonnes of Iaakob and Ioseph. (Selah)
Uliwapa watu wako ushindi kwa uweza wako mkuu - ukoo wa Yakobo na Yusufu. (Selah)
16 The waters sawe thee, O God: the waters sawe thee, and were afraide: yea, the depths trembled.
Maji yalikuona wewe, Mungu; maji yalikuona wewe, nayo yakaogopa; vina vya maji vilitetemeka.
17 The cloudes powred out water: the heauens gaue a sounde: yea, thine arrowes went abroade.
Mawingu yalitiririsha maji chini; anga zito lilitoa sauti; mishale yako ilipita kati.
18 The voyce of thy thunder was rounde about: the lightnings lightened the worlde: the earth trembled and shooke.
Sauti yako kama ya radi ilisikika katika upepo; radi iliwasha dunia; nchi iliogopa na kutetemeka.
19 Thy way is in the Sea, and thy paths in the great waters, and thy footesteps are not knowen.
Njia yako ilipita baharini na mapito yako katika maji mengi, lakini alama za miguu yako hazikuonekana.
20 Thou diddest leade thy people like sheepe by the hand of Moses and Aaron.
Uliwaongoza watu wako kama kundi kwa mkono wa Musa na Haruni.