< Psalms 64 >
1 To him that excelleth. A Psalme of David. Heare my voyce, O God, in my prayer: preserue my life from feare of the enemie.
Sikia sauti yangu, Mungu, usikilize malalamiko yangu; unilinde dhidi ya hofu ya adui zangu.
2 Hide me from the conspiracie of the wicked, and from the rage of the workers of iniquitie.
Unifiche dhidi ya mipango ya siri ya wafanyao maovu, unifiche dhidi ya watendao vurugu ya udhalimu.
3 Which haue whette their tongue like a sword, and shot for their arrowes bitter wordes.
Wao wamenoa ndimi zao kama panga; wamelenga mishale yao, maneno machungu,
4 To shoote at the vpright in secrete: they shoote at him suddenly, and feare not.
ili kwamba waweze kupiga kutoka mahali pa siri kwenda kwa mtu asiye na hatia; wampige yeye kwa ghafla nao wasihofu lolote.
5 They encourage themselues in a wicked purpose: they commune together to lay snares priuilie, and say, Who shall see them?
Wao wanahamasishana wenyewe katika kupanga uovu; wanashauriana pamoja wao binafsi ili kuweka mitego; nao husema, “Ni nani atakayetuona?”
6 They haue sought out iniquities, and haue accomplished that which they sought out, euen euery one his secret thoughtes, and the depth of his heart.
Wanabuni mipango ya dhambi; “Tumemaliza,” wanasema, “ni mpango makini.” Mawazo ya ndani na mioyo ya watu ni ya kina.
7 But God will shoote an arrowe at them suddenly: their strokes shalbe at once.
Lakini Mungu atawapiga wao; ghafla watajeruhiwa kwa mishale yake.
8 They shall cause their owne tongue to fall vpon them: and whosoeuer shall see them, shall flee away.
Watafanywa kuwa mashakani, kwa kuwa ndimi zao wenyewe ziko kinyume nao; wote wawaonao watatikisa vichwa vyao.
9 And all men shall see it, and declare the worke of God, and they shall vnderstand, what he hath wrought.
Watu wote wataogopa na kutangaza matendo ya Mungu. Kwa hekima watafikiria kuhusu kile yeye ametenda.
10 But the righteous shall be glad in the Lord, and trust in him: and all that are vpright of heart, shall reioyce.
Wenye haki watakuwa na furaha kuhusu Yahwe nao watakimbilia kwake; wote wenye haki moyoni watajivuna katika yeye.