< Psalms 49 >

1 To him that excelleth. A Psalme committed to the sonnes of Korah. Heare this, all ye people: giue eare, all ye that dwell in the world,
Sikieni hili, ninyi watu wote; tegeni masikio, ninyi wenyeji wa dunia,
2 As well lowe as hie, both rich and poore.
wote walio chini na walio juu, tajiri na masikini wote pamoja.
3 My mouth shall speake of wisdome, and the meditation of mine heart is of knowledge.
Mdomo wangu utazungumza hekima na tafakari ya moyo wangu itakuwa ya uelewa.
4 I will incline mine eare to a parable, and vtter my graue matter vpon the harpe.
Nitaelekeza sikio langu kwenye mfano; nitaanza mfano wangu kwa kinubi.
5 Wherefore should I feare in the euil dayes, when iniquitie shall compasse me about, as at mine heeles?
Kwa nini nilazimike kuziogopa siku za uovu, wakati uovu umenizunguka kwenye visigino vyangu?
6 They trust in their goods, and boast them selues in the multitude of their riches.
Kwa nini niwaogope wale wanao amini katika mali zao na kujivuna kuhusu utajiri wao?
7 Yet a man can by no meanes redeeme his brother: he can not giue his raunsome to God,
Ni hakika kuwa hakuna yeyote atakaye muokoa ndugu yake au kumpa Mungu pesa kwa ajili yake,
8 (So precious is the redemption of their soules, and the continuance for euer)
Kwa maana ukombozi wa uhai wa mtu ni gharama kubwa, na hakuna awezaye kulipa kile tunacho daiwa.
9 That he may liue still for euer, and not see the graue.
Hakuna yeyote atakaye ishi milele ili mwili wake usioze.
10 For he seeth that wise men die, and also that the ignorant and foolish perish, and leaue their riches for others.
Maana yeye ataona uozo. Watu wenye hekima hufa; wajinga pia huangamia na kuacha mali zao kwa wengine.
11 Yet they thinke, their houses, and their habitations shall continue for euer, euen from generation to generation, and call their lands by their names.
Mawazo yao ya ndani ni kuwa familia zao zitaishi milele, na mahali waishipo, kwa vizazi vyote; wanaita ardhi zao kwa majina yao wenyewe.
12 But man shall not continue in honour: he is like the beastes that die.
Lakini mtu, kuwa na mali, haimaanishi atabaki hai; kama wanyama walioangamia.
13 This their way vttereth their foolishnes: yet their posteritie delite in their talke. (Selah)
Hii ni hatma ya wafanyao ujinga baada ya kufa, .................
14 Like sheepe they lie in graue: death deuoureth them, and the righteous shall haue domination ouer them in the morning: for their beautie shall consume, when they shall goe from their house to graue. (Sheol h7585)
Kama kondoo wamechaguliwa kwa ajili ya kuzimu na kifo kitakuwa mchungaji wao. Nao watatawaliwa na wenye haki ifikapo asubuhi, na miili yao italiwa kuzimuni, wakiwa hawana afasi ya kuishi kwa ajili yao. (Sheol h7585)
15 But God shall deliuer my soule from the power of the graue: for he will receiue me. (Selah) (Sheol h7585)
Bali Mungu ataufufua uhai wangu kutoka katika nguvu ya kuzimu; naye atanipokea. (Selah) (Sheol h7585)
16 Be not thou afrayd when one is made rich, and when the glory of his house is increased.
Msifadhaike mtu awapo tajiri, utukufu wa nyumba yake uongezekapo.
17 For he shall take nothing away when he dieth, neither shall his pompe descende after him.
Maana atakapo kufa hataondoka na chochote; utukufu wake hautamfuata yeye.
18 For while he liued, he reioyced himselfe: and men will prayse thee, when thou makest much of thy selfe.
Yeye huifurahisha nafsi yake awapo hai na watu hukusifu wewe uishipo maisha yako mwenyewe-
19 He shall enter into the generation of his fathers, and they shall not liue for euer.
naye atakwenda kwenye ukoo wa baba zake naye kamwe hataiona nuru tena.
20 Man is in honour, and vnderstandeth not: he is like to beasts that perish.
Yule ambaye ana mali lakini hana ufahamu ni kama wanyama, ambao wataangamia.

< Psalms 49 >