< Psalms 13 >

1 To him that excelleth. A Psalme of Dauid. Howe long wilt thou forget me, O Lord, for euer? howe long wilt thou hide thy face from me?
Mpaka lini, Yahweh, utaendelea kunisahau? Ni kwa muda gani utauficha uso wako nisiuone?
2 How long shall I take counsell within my selfe, hauing wearinesse dayly in mine heart? how long shall mine enemie be exalted aboue me?
Ni kwa muda gani nitalazimika kuhofu na kuhuzunika moyoni mwangu kila siku? Ni kwa muda gani adui zangu watanishida?
3 Beholde, and heare mee, O Lord my God: lighten mine eyes, that I sleepe not in death:
Unitazame na unijibu, Yahwe Mungu wangu! Nipe mwanga machoni pangu, vinginevyo nitalala katika mauti.
4 Lest mine enemie say, I haue preuailed against him: and they that afflict me, reioyce when I slide.
Usimuache adui yangu aseme, “Nimemshinda huyu,” ili kwamba asiweze kusema, “Nimemtawala adui yangu;” la sivyo, maadui zangu watafurahia nitakapo shushwa chini.
5 But I trust in thy mercie: mine heart shall reioyce in thy saluation:
Lakini nimeamini katika uaminifu wa agano lako; moyo wangu wafurahia katika wokovu wako.
6 I will sing to the Lord, because he hath delt louingly with me.
Nitamuimbia Yahwe kwa kuwa ameniganga kwa ukarimu kabisa.

< Psalms 13 >