< Psalms 125 >

1 A song of degrees. They that trust in the Lord, shalbe as mount Zion, which can not be remooued, but remaineth for euer.
Wimbo wa kwenda juu. Wale wamtumainio Bwana ni kama mlima Sayuni, ambao hauwezi kutikisika, bali wadumu milele.
2 As the mountaines are about Ierusalem: so is the Lord about his people from henceforth and for euer.
Kama milima inavyozunguka Yerusalemu, ndivyo Bwana anavyowazunguka watu wake sasa na hata milele.
3 For the rod of the wicked shall not rest on the lot of the righteous, least the righteous put forth their hand vnto wickednes.
Fimbo ya waovu haitadumu juu ya nchi waliopewa wenye haki, ili wenye haki wasije wakatumia mikono yao kutenda ubaya.
4 Doe well, O Lord, vnto those that be good and true in their hearts.
Ee Bwana, watendee mema walio wema, wale walio wanyofu wa moyo.
5 But these that turne aside by their crooked wayes, them shall the Lord leade with the workers of iniquitie: but peace shalbe vpon Israel.
Bali wale wanaogeukia njia zilizopotoka, Bwana atawafukuza pamoja na watenda mabaya. Amani iwe juu ya Israeli.

< Psalms 125 >