< Psalms 120 >

1 A song of degrees. I called vnto the Lord in my trouble, and hee heard me.
Wimbo wa kwenda juu. Katika dhiki yangu namwita Bwana, naye hunijibu.
2 Deliuer my soule, O Lord, from lying lippes, and from a deceitfull tongue.
Ee Bwana, uniokoe kutoka midomo ya uongo na ndimi za udanganyifu.
3 What doeth thy deceitfull tongue bring vnto thee? or what doeth it auaile thee?
Atakufanyia nini, au akufanyie nini zaidi, ewe ulimi mdanganyifu?
4 It is as the sharpe arrowes of a mightie man, and as the coales of iuniper.
Atakuadhibu kwa mishale mikali ya shujaa, kwa makaa yanayowaka ya mti wa mretemu.
5 Woe is to me that I remaine in Meschech, and dwell in the tentes of Kedar.
Ole wangu kwa kuwa naishi Mesheki, kwamba naishi katikati ya hema za Kedari!
6 My soule hath too long dwelt with him that hateth peace.
Nimeishi muda mrefu mno miongoni mwa wale wanaochukia amani.
7 I seeke peace, and when I speake thereof, they are bent to warre.
Mimi ni mtu wa amani; lakini ninaposema, wao wanataka vita.

< Psalms 120 >