< Psalms 114 >

1 When Israel went out of Egypt, and the house of Iaakob from the barbarous people,
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2 Iudah was his sanctification, and Israel his dominion.
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
3 The Sea sawe it and fled: Iorden was turned backe.
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4 The mountaines leaped like rams, and the hils as lambes.
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5 What ailed thee, O Sea, that thou fleddest? O Iorden, why wast thou turned backe?
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
6 Ye mountaines, why leaped ye like rams, and ye hils as lambes?
enyi milima mkarukaruka kama kondoo dume, enyi vilima, kama wana-kondoo?
7 The earth trembled at the presence of the Lord, at the presence of the God of Iaakob,
Ee dunia, tetemeka mbele za Bwana, mbele za Mungu wa Yakobo,
8 Which turneth the rocke into waterpooles, and the flint into a fountaine of water.
aliyegeuza mwamba kuwa dimbwi la maji, mwamba mgumu kuwa chemchemi za maji.

< Psalms 114 >