< Joel 2 >

1 Blowe the trumpet in Zion, and shoute in mine holy mountaine: let all the inhabitants of the lande tremble: for the day of the Lord is come: for it is at hand.
Piga tarumbeta katika Sayuni, na piga kelele juu ya mlima wangu mtakatifu! Wakazi wote wa nchi watetemeke kwa hofu; maana siku ya Bwana inakuja; Hakika iko karibu.
2 A day of darkenesse, and of blacknesse, a day of cloudes, and obscuritie, as the morning spred vpon the mountaines, so is there a great people, and a mighty: there was none like it from the beginning, neither shalbe any more after it, vnto the yeeres of many generations.
Ni siku ya giza na weusi, siku ya mawingu na giza nene. Kama asubuhi inayoenea kwenye milima, jeshi kubwa na la nguvu linakaribia. Hakujawahi kuwako jeshi kama hilo, na hakutakuwa tena, hata baada ya vizazi vingi.
3 A fire deuoureth before him, and behinde him a flame burneth vp: the land is as the garden of Eden before him, and behinde him a desolate wildernesse, so that nothing shall escape him.
Moto unatumia kila kitu mbele yake, na nyuma yake moto unawaka. Nchi hiyo ni kama bustani ya Edeni mbele yake, lakini nyuma yake kuna jangwa lililoharibika. Hakika hakuna chochote kitakayotoroka.
4 The beholding of him is like the sight of horses, and like the horsemen, so shall they runne.
Muonekano wa jeshi ni kama farasi, na wanakimbia kama wapanda farasi.
5 Like the noyse of charrets in the toppes of the mountaines shall they leape, like the noyse of a flame of fire that deuoureth the stubble, and as a mightie people prepared to the battel.
Wanaruka kwa kelele kama ile ya magari juu ya vilele vya milima, kama kelele za muale wa moto ambao huangamiza majani, kama jeshi la nguvu lililo tayari kwa vita.
6 Before his face shall the people tremble: all faces shall gather blackenesse.
Mbele yao watu wako katika maumivu na nyuso zao zote zinakuwa za rangi.
7 They shall runne like strong men, and goe vp to the wall like men of warre, and euery man shall goe forward in his wayes, and they shall not stay in their paths.
Wanakimbia kama wapiganaji wenye nguvu; wanapanda kuta kama askari; wanasonga, kila mmoja kwa hatua, na hawavunji safu zao.
8 Neither shall one thrust another, but euery one shall walke in his path: and when they fall vpon the sword, they shall not be wounded.
Wala hakuna mmoja anayemsukuma mwingine kando; wanasonga, kila mmoja katika njia yake; wao huvunja kwa njia ya ulinzi na si kuanguka nje ya mstari.
9 They shall runne to and from in the citie: they shall runne vpon the wall: they shall clime vp vpon the houses, and enter in at ye windowes like ye thiefe.
Wanakimbilia jiji, wanakimbia kwenye ukuta, wanapanda ndani ya nyumba, na hupita kupitia madirisha kama wezi.
10 The earth shall tremble before him, ye heauens shall shake, the sunne and the moone shalbe darke, and the starres shall withdraw their shining,
Nchi hutikisika mbele yao, mbingu hutetemeka, jua na mwezi ni giza, na nyota zinaacha kuangaza.
11 And the Lord shall vtter his voyce before his hoste: for his hoste is very great: for he is strog that doeth his word: for the day of the Lord is great and very terrible, and who can abide it?
Bwana huinua sauti yake mbele ya jeshi lake; maana wapiganaji wake ni wengi sana; kwa maana wao ni wenye nguvu, wale wanaofanya amri zake. Kwa maana siku ya Bwana ni kubwa na ya kutisha sana. Nani anayeweza kuishi?
12 Therefore also now the Lord sayth, Turne you vnto me with all your heart, and with fasting, and with weeping, and with mourning,
“Lakini hata sasa,” asema Bwana, “Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote. Haraka, lia na omboleza.”
13 And rent your heart, and not your clothes: and turne vnto the Lord your God, for he is gratious, and mercifull, slowe to anger, and of great kindnes, and repenteth him of the euill.
Rarueni miyoyo yenu, si mavazi yenu tu, na kurudi kwa Bwana Mungu wenu. Kwa maana ni mwenye neema na mwenye huruma, si mwepesi wa hasira na wingi katika uaminifu wa agano, na angependa kugeuka kutokana na adhabu.
14 Who knoweth, is he wil returne and repent and leaue a blessing behinde him, euen a meate offring, and a drinke offring vnto ye Lord your God?
Nani anajua? Labda angegeuka na kuwa na huruma, na kuacha baraka nyuma yake, sadaka ya unga na sadaka ya kinywaji kwa Bwana, Mungu wenu?
15 Blowe the trumpet in Zion, sanctifie a fast, call a solemne assembly.
Piga tarumbeta huko Sayuni, itisha kwa ajili ya funga takatifu, na itisheni kusanyiko takatifu.
16 Gather the people: sanctifie the congregation, gather the elders: assemble the children, and those that sucke the breastes: let the bridegrome go forth of his chamber, and the bride out of her bride chamber.
Kusanyeni watu, wito kwa kusanyiko takatifu. Kusanya wazee, kukusanya watoto na watoto wachanga. Bwana arusi waweze kutoka nje ya vyumba vyao, na bibi arusi kutoka kwenye vyumba vyao.
17 Let the Priestes, the ministers of the Lord weepe betweene the porch and the altar, and let them say, Spare thy people, O Lord, and giue not thine heritage into reproche that the heathen should rule ouer them. Wherefore should they say among the people, Where is their God?
Basi makuhani, watumishi wa Bwana, waliao kati ya patakatifu na madhabahu. Wawaambie, Waitie watu wako, Ee Bwana, wala usitoe urithi wako kwa aibu, ili mataifa watawawale juu yao. Kwa nini wanapaswa kusema kati ya mataifa, “Yuko wapi Mungu wao?”
18 Then will the Lord be ielous ouer his land, and spare his people.
Ndipo Bwana alikuwa mwenye bidii kwa nchi yake na kuwahurumia watu wake.
19 Yea, the Lord wil answere and say vnto his people, Beholde, I will send you corne, and wine, and oyle, and you shalbe satisfied therewith: and I will no more make you a reproche among the heathen,
Bwana akawajibu watu wake, Tazama, nitawaletea nafaka, divai mpya, na mafuta. Utaridhishwa nao, wala sitawafanya kuwa aibu kati ya mataifa.
20 But I will remooue farre off from you the Northren armie, and I will driue him into a land, barren and desolate with his face toward the East sea, and his end to the vtmost sea, and his stinke shall come vp, and his corruption shall ascend, because he hath exalted himselfe to do this.
Nitawaondoa washambuliaji wa kaskazini mbali nanyi, na nitawapitisha katika nchi kavu na iliyoachwa. Sehemu ya mbele ya jeshi lao itaingia bahari ya mashariki, na sehemuya nyuma itaingia bahari ya magharibi. Uvundo wake utainuka juu, na harufu yake mbaya itainuka juu. Hakika, amefanya mambo makuu.
21 Feare not, O land, but be glad, and reioyce: for the Lord wil do great things.
Msiogope, nchi, shangilieni na kufurahi, kwa kuwa Bwana atafanya mambo makuu.
22 Be not afrayde, ye beastes of the fielde: for the pastures of the wildernesse are greene: for the tree beareth her fruite: the figge tree and the vine do giue their force.
Usiogope, wanyama wa kondeni, kwa kuwa malisho ya jangwa yatakua, miti itazaa matunda yake, na miti ya mizabibu na mizabibu itazaa mavuno yao yote.
23 Be glad then, ye children of Zion, and reioyce in the Lord your God: for he hath giuen you the rayne of righteousnes, he wil cause to come downe for you the rayne, euen the first raine, and the latter raine in the first moneth.
Furahini, enyi watu wa Sayuni, na kufurahi katika Bwana, Mungu wenu. Kwa maana atakupa mvua ya vuli kwa kiasi na kuleta mvua kwa ajili yenu, mvua ya vuli na mvua ya masika kama hapo awali.
24 And the barnes shalbe full of wheate, and the presses shall abound with wine and oyle.
Sakafu ya kupepetea zitajaa ngano, na vyombo vitafurika kwa divai mpya na mafuta.
25 And I will render you the yeeres that the grashopper hath eaten, the canker worme and the caterpiller and the palmer worme, my great hoste which I sent among you.
“Nitawawezesha miaka ya mazao ambayo nzige walikula, Palale, nzige, na nzige wakuteketeza - jeshi langu lenye nguvu ambalo nimelituma kati yenu.
26 So you shall eate and be satisfied and praise the Name of the Lord your God, that hath dealt marueilously with you: and my people shall neuer be ashamed.
Mutakula chakula tele na kushiba, na kulitukuza jina la Bwana, Mungu wenu, aliyefanya miujiza kati yenu, wala sitawaletea tena watu wangu.
27 Ye shall also know, that I am in the middes of Israel, and that I am the Lord your God and none other, and my people shall neuer be ashamed.
Utajua ya kwamba mimi niko kati ya Israeli, na kwamba mimi ni Bwana, Mungu wako, wala hakuna mwingine, wala sitawaletea aibu watu wangu.
28 And afterward will I powre out my Spirit vpon all flesh: and your sonnes and your daughters shall prophecie: your olde men shall dreame dreames, and your yong men shall see visions,
Itakuwa baada ya hayo nitamimina Roho yangu juu ya wenye mwili yote, na wana wenu na binti zenu watatabiri. Wazee wenu wataota ndoto, vijana wenu wataona maono.
29 And also vpon the seruants, and vpon the maydes in those dayes wil I powre my Spirit.
Pia juu ya watumishi na watumishi wa kike, siku hizo nitaimimina Roho wangu.
30 And I will shewe wonders in the heauens and in the earth: blood and fire, and pillars of smoke.
Nitaonyesha maajabu mbinguni na duniani, damu, moto na nguzo za moshi.
31 The sunne shalbe turned into darkenesse, and the moone into blood, before the great and terrible day of the Lord come.
Jua litakuwa giza na mwezi kuwa damu, kabla ya siku kuu na ya kutisha ya Bwana itakapokuja.
32 But whosoeuer shall call on the Name of the Lord, shalbe saued: for in mount Zion, and in Ierusale shalbe deliuerance, as the Lord hath said, and in the remnant, whom the Lord shall call.
Itakuwa kwamba kila mtu anayeita jina la Yahweh ataokolewa. Kwa maana juu ya Mlima Sayuni na Yerusalemu watakuwa na wale waliokoka, kama Bwana alivyosema, na kati ya wale walisalia, wale ambao Bwana anawaita.

< Joel 2 >