< Job 9 >

1 Then Iob answered, and sayd,
Kisha Ayubu akajibu na kusema,
2 I knowe verily that it is so: for howe should man compared vnto God, be iustified?
“kweli najua kwamba ndivyo hivyo. Lakini ni kwa namna gani mtu anakuwa na haki kwa Mungu?
3 If I would dispute with him, hee could not answere him one thing of a thousand.
Kama akitaka kujibishana na Mungu, hatamjibu yeye mara moja katika elfu zaidi.
4 He is wise in heart, and mighty in strength: who hath bene fierce against him and hath prospered?
Mungu ni mwenye hekima moyoni na ukuu katika nguvu; ni nani daima aliyejifanya mwenyewe kuwa mgumu dhidi yake na akafanikiwa? -
5 He remoueth the mountaines, and they feele not when he ouerthroweth them in his wrath.
ambaye huiondoa milima bila kumtahadharisha yeyote wakati akiipindua katika hasira zake -
6 Hee remooueth the earth out of her place, that the pillars thereof doe shake.
ambaye huitikisa nchi itoke mahali pake na mihimili yake hutikisika.
7 He commandeth the sunne, and it riseth not: hee closeth vp the starres, as vnder a signet.
Ni Mungu yule yule ambaye huliamuru jua lisichomoze, nalo halichomozi, na ambaye huzihifadhi nyota,
8 Hee himselfe alone spreadeth out the heauens, and walketh vpon the height of the sea.
ambaye peke yake ni mwenye kupanua mbingu na kuyatuliza mawimbi ya bahari,
9 He maketh the starres Arcturus, Orion, and Pleiades, and the climates of the South.
ambaye huumba Dubu, Orioni, kilima, na makundi ya nyota ya kusini.
10 He doeth great things, and vnsearcheable: yea, marueilous things without nomber.
Ni Mungu yule yule atendaye mambo makuu, mambo yasiyofahamika - hasa, mambo ya ajabu yasiyohesabika.
11 Lo, when he goeth by me, I see him not: and when he passeth by, I perceiue him not.
Tazama, huenda karibu nami, na siwezi kumuona yeye; pia hupita kwenda mbele, lakini ni simtambue.
12 Behold, when he taketh a pray, who can make him to restore it? who shall say vnto him, What doest thou?
Kama akichukua kitu chochote, nani atamzuia? Nani awezaye kumuuliza, 'unafanya nini?'
13 God will not withdrawe his anger, and the most mightie helpes doe stoupe vnder him.
Mungu hataondoa hasira yake; wamsaidiao Rahabu huinama chini yake.
14 Howe much lesse shall I answere him? or howe should I finde out my words with him?
Je ni upungufu kiasi gani mimi nitamjibu, je nichague maneno kuhojiana naye?
15 For though I were iust, yet could I not answere, but I would make supplication to my Iudge.
Hata kama ni mwenye haki, nisingelimjibu; ningeomba msamaha tu kwa hukumu yangu.
16 If I cry, and he answere me, yet woulde I not beleeue, that he heard my voyce.
Hata kama ningelimwita na yeye akanitikia, nisingeamini kuwa ameisikia sauti yangu.
17 For he destroyeth mee with a tempest, and woundeth me without cause.
kwa kuwa yeye anidhoofishaye kwa dhoruba na kuyaongeza majeraha yangu pasipo sababu.
18 He wil not suffer me to take my breath, but filleth me with bitternesse.
Yeye hataki hata kuniruhusu nipate kuvuta pumzi; badala yake, hunijaza uchungu.
19 If we speake of strength, behold, he is strog: if we speake of iudgement, who shall bring me in to pleade?
Kama ni habari ya nguvu, tazama! yeye ni mwenye uwezo! Kama ni habari ya haki, ni nani atakaye mhukumu?
20 If I woulde iustifie my selfe, mine owne mouth shall condemne mee: if I would be perfite, he shall iudge me wicked.
Ingawa ni mwenye haki, kinywa changu mwenyewe kitanihukumu; na ingawa ni mtakatifu, maneno yangu yatashuhudia kuwa ni mwenye kosa.
21 Though I were perfite, yet I knowe not my soule: therefore abhorre I my life.
Mimi ni mtakatifu, lakini siijali zaidi nafsi yangu; Naudharau uhai wangu mwenyewe.
22 This is one point: therefore I said, Hee destroyeth the perfite and the wicked.
Haileti tofauti yoyote, kwa sababu hiyo nasema kwamba yeye huangamiza watu wasio na makosa na waovu pia.
23 If the scourge should suddenly slay, should God laugh at the punishment of the innocent?
Kama hilo pigo likiua ghafla, yeye atafurahi mateso yake mtu asiye na kosa.
24 The earth is giuen into the hand of ye wicked: he couereth the faces of the iudges therof: if not, where is he? or who is he?
Dunia imetiwa mkononi mwa watu waovu; Mungu hufunika nyuso za waamuzi wake. kama si yeye hufanya, ni nani basi?
25 My dayes haue bene more swift then a post: they haue fled, and haue seene no good thing.
Siku zangu zinapita haraka kuliko tarishi akimbiae; siku zangu zinakimbia mbali; wala hazioni mema mahali popote.
26 They are passed as with the most swift ships, and as the eagle that flyeth to the pray.
Zinapita kama mashua zilizoundwa kwa mafunjo ziendazo kwa kasi, na zinakasi kama tai ashukaye upesi katika mawindo yake.
27 If I say, I wil forget my complaynt, I will cease from my wrath, and comfort mee,
Kama ni kisema kwamba mimi nitasahau kuhusu manung'uniko yangu, kwamba nitaacha kuonyesha sura ya huzuni na kuwa na furaha,
28 Then I am afrayd of all my sorowes, knowing that thou wilt not iudge me innocent.
Mimi nitaziogopa huzuni zangu zote kwa sababu nafahamu kuwa hutanihesabu kuwa sina hatia.
29 If I be wicked, why labour I thus in vaine?
Nitahukumiwa; kwa nini, basi, nitaabike bure?
30 If I wash my selfe with snowe water, and purge mine hands most cleane,
Kama najiosha mwenyewe kwa maji ya theluji na kuitakasa mikono yangu na kuwa safi zaidi,
31 Yet shalt thou plunge mee in the pit, and mine owne clothes shall make me filthie.
Mungu atanitumbukiza shimoni, na nguo zangu mwenyewe zitanichukia.
32 For he is not a man as I am, that I shoulde answere him, if we come together to iudgement.
Kwa kuwa Mungu si mtu, kama mimi, kwamba naweza kumjibu, hata tukaribiane katika hukumu.
33 Neyther is there any vmpire that might lay his hand vpon vs both.
Hakuna hakimu baina yetu awezaye kuweka mkono wake juu yetu sote.
34 Let him take his rod away from me, and let not his feare astonish me:
Hakuna hakimu mwingine ambaye anaweza kuniondolea fimbo ya Mungu, awezaye kuzuia kitisho chake kisinitie hofu. kisha ningesema na nisimuogope.
35 Then will I speake, and feare him not: but because I am not so, I holde me still.
Lakini kama mambo yalivyo sasa, sitaweza kufanya hivyo.

< Job 9 >