< Jeremiah 45 >
1 The worde that Ieremiah the Prophet spake vnto Baruch the sonne of Neriah, when he had written these woordes in a booke at the mouth of Ieremiah, in the fourth yeere of Iehoiakim the sonne of Iosiah King of Iudah, saying,
Hili ni neno ambalo Yeremia nabii alimwambia Baruku mwana wa Neria. Hii ilitokea wakati alipoandika kwenye kitabu maneno haya kwa imla ya Yeremia - hii ilikuwa katika mwaka wa nne wa Yehoyakimu mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda, na alisema,
2 Thus sayeth the Lord God of Israel vnto thee, O Baruch,
“Yahwe, Mungu wa Israel, asema hivi kwako, Baruku:
3 Thou diddest say, Wo is me nowe: for the Lord hath laied sorrow vnto my sorrowe: I fainted in my mourning, and I can finde no rest.
Umesema, Ole mimi, kwa kuwa Yahwe ameongeza uchungu wa maumivu. Kuugua kwangu kumenichosha; sipati pumziko.'
4 Thus shalt thou say vnto him, The Lord sayeth thus, Behold, that which I haue built, will I destroy, and that which I haue planted, will I plucke vp, euen this whole lande.
Hivi ndivyo unapaswa kusema kwake: “Yahwe asema hivi: Ona, nilichojenga, sasa ninararua chini. Nilichopanda, sasa ninangoa. Hii ni kweli juu ya dunia.
5 And seekest thou great things for thy self? seeke them not: for beholde, I wil bring a plague vpon al flesh, saith the Lord: but thy life wil I giue thee for a pray in all places, whither thou goest.
Lakini unategema mambo makubwa kwa ajili yako? Usitegemee hayo. Uone, maafa yanakuja kwa binadamu wote - hii ni tamko la Yahwe - lakini ninakupa maisha yangu kama nyara popote utakakoenda.”