< Isaiah 59 >

1 Beholde, the Lordes hande is not shortened, that it can not saue: neither is his eare heauie, that it cannot heare.
Tazama, mkono wa Yahwe sio mfupi ambao hautweza kukuokoa wewe; wala sikio lake sio zito, ambalo haliwezi kusikia.
2 But your iniquities haue separated betweene you and your God, and your sinnes haue hidde his face from you, that he will not heare.
Matendo yako ya dhambi, hata hivyo, zimekutenga wewe na Mungu, na dhambi zenu zimemfanya aufiche uso wake msimuone wala kumsikia yeye.
3 For your handes are defiled with blood, and your fingers with iniquitie: your lips haue spoken lies and your tongue hath murmured iniquitie.
Maana mikono yenu ina madoa ya damu na vidole vyenu vimejaa dhambi. Midomo yenu inazungumza uongo na ulimi wenu unazungumza kwa nia mbaya.
4 No man calleth for iustice: no man contendeth for trueth: they trust in vanitie, and speake vaine things: they conceiue mischiefe, and bring foorth iniquitie.
Hakuna hata mmoja aitae haki, na hakuna anayewasihi kesi yake katika haki. Wanayamini maneno yasiyo ya haki, maneno ya uongo; wanashika matatizo na kuzaa dhambi.
5 They hatch cockatrice egges, and weaue the spiders webbe: he that eateth of their egges, dieth, and that which is trode vpon, breaketh out into a serpent.
Wanetotoa mayai ya nyoka wenye sumu na hufuma mtandao wa buibui. Yeyote alaye mayai yake atakufa, na ikiwa yai litavunjika, litatotoa nyoka mwenye sumu.
6 Their webbes shall be no garment, neither shall they couer themselues with their labours: for their workes are workes of iniquitie, and the worke of crueltie is in their handes.
Mitando yao haitatumika kama mavazi, wala hawawezi kujifukia wenyewe kwa kazi yao. Kazi zao ni kazi za dhambi, na matendo ya vurugu yako mikononi mwao.
7 Their feete runne to euill, and they make haste to shed innocent blood: their thoughts are wicked thoughts: desolation and destruction is in their paths.
Miguu yao inakimbilia uovu, na wanakimbilia kumwaga damu isiyo na hatia. Mawazo yao ni mawazo ya dhambi; vurugu na uharibifu ndio njia yao.
8 The way of peace they knowe not, and there is none equitie in their goings: they haue made them crooked paths: whosoeuer goeth therein, shall not knowe peace.
Njia ya amani hawaijuyui, na hakuna haki katika njia zao. Wametengeneza njia njia zlizopotoka; yeyote atakaye safiri kupitia njia hizi njia hizi hazijui amani.
9 Therefore is iudgement farre from vs, neither doeth iustice come neere vnto vs: we waite for light, but loe, it is darkenesse: for brightnesse, but we walke in darkenesse.
Hivyo basi haki iko mbali a sisi, wala haki haijatufikia sisi. Tunasubiri mwanga tunaona giza; tunatafuta mwangaza, lakini tunatembea gizani. Tunapapasa kwenywe ukuta kama kipofu, kama wale wasiona,
10 Wee grope for the wall like the blinde, and we grope as one without eyes: we stumble at the noone day as in the twilight: we are in solitarie places, as dead men.
Tuna mashaka mchana kweupe kama kwenye mwanga unaofifia; miongoni mwa wenye nguvu tuko kama watu waliokufa.
11 We roare all like beares, and mourne like dooues: wee looke for equitie, but there is none: for health, but it is farre from vs.
Sisi tunaunguruma kama dubu na kuomboleza kama njiwa; tunasubiria haki, lakini hakuna kitu; kwa ukombozi, lakini uko mbali na sisi.
12 For our trespasses are many before thee, and our sinnes testifie against vs: for our trespasses are with vs, and we knowe our iniquities
Maana makosa yetu mengi yako mbele zako, na dhambi zetu zinatushuhudia sisi; maana makosa yako pamoja na sisi.
13 In trespassing and lying against the Lord, and wee haue departed away from our God, and haue spoken of crueltie and rebellion, conceiuing and vttering out of the heart false matters.
Tumeaasi, kumkana Yahwe na kuacha kumfuata Mungu. Tulizungumzia ulafi kujeuka nyuma, na kuanza kulalamika kutoka moyoni na maneno ya uongo.
14 Therefore iudgement is turned backewarde, and iustice standeth farre off: for trueth is fallen in the streete, and equitie cannot enter.
Haki imerudishwa nyuma, wenye haki wamesimama mbali sana; maana ukweli uko mashakani katika mraba wa umma, haki haiwezi kuja.
15 Yea, trueth faileth, and hee that refraineth from euill, maketh himselfe a praye: and when the Lord sawe it, it displeased him, that there was no iudgement.
Waaminifu wamenda zao, na yeyote anayegeuka mbali na maovu anajiathiri mwenyewe. Yahwe aliliona hilo na hakupendezwa maana hakuna haki.
16 And when he sawe that there was no man, hee wondered that none woulde offer him selfe. Therefore his arme did saue it, and his righteousnes it selfe did sustaine it.
Aliona kwamba hakuna mtu, na akastaajabu kwamba hakuna mtu wa kuoma. Hivyo basi mkono wake uliletao wakovu kwake, na haki yake unamtosheleza yeye.
17 For he put on righteousnes, as an habergeon, and an helmet of saluation vpon his head, and he put on the garments of vengeance for clothing, and was clad with zeale as a cloke.
Huivaa haki kama ngao kifuani na kofia ya chuma ya wokovu kichwani mwake. Anajivika mwenyewe kwa mavazi ya kisasi na kuvaa vazi la bidii.
18 As to make recompence, as to requite the furie of the aduersaries with a recompence to his enemies: he will fully repaire the ylands.
Analipa tena kwa kilichotokea, hukumu ya hasira kwa adui zake na kwa adui atairidisha adhabu ya kisiwa kama zawadi yao.
19 So shall they feare the Name of the Lord from the West, and his glory from the rising of the sunne: for the enemie shall come like a flood: but the Spirit of the Lord shall chase him away.
Hivyo wataliogopa jina la Yahwe kutoka magharibi na utukufu wake kutoka mashariki; maana atakuja kama mkondo wa mto, inaendeshwa na pumzi ya Yahwe.
20 And the Redeemer shall come vnto Zion, and vnto them that turne from iniquitie in Iaakob, saith the Lord.
Mkombozi atakuja Sayuni na wale watkaojeuka kutoka matendo yao ya uasi katika nyumba ya Yakobo- Hili ni tamko la Yahwe.
21 And I will make this my couenant with them, saith the Lord. My Spirit that is vpon thee, and my wordes, which I haue put in thy mouth, shall not depart out of thy mouth, nor out of the mouth of thy seede, nor out of the mouth of the seede of thy seede, saith the Lord, from hencefoorth euen for euer.
Na kama mimi, hili ni agano langu pamoja nao- asema Yahwe- Roho yangu iliyo juu yenu, na maneno yangu niliyoyaweka kinywani mwenu, hayataondoka midomo mwenu au kuodoka mbali na midomo wajukuu wenu, au kwenda mbali asema Yahwe- kuanziia sasa na hata milele.''

< Isaiah 59 >