< Isaiah 58 >

1 Crye aloude, spare not: lift vp thy voyce like a trumpet, and shewe my people their transgression, and to the house of Iaakob, their sinnes.
''Lia kwa sauti; usinyamaze. Paza sauti yako juu kama mbiu. Kabiliana na watu wangu wenye uasi, na nyumba ya Yakobo na dhambi zao.
2 Yet they seeke me dayly, and will knowe my wayes, euen as a nation that did righteously, and had not forsaken the statutes of their God: they aske of me the ordinances of iustice: they wil drawe neere vnto God, saying,
Bali wananitafuta mimi kila siku na kufurahia katika maarifa ya njia zangu, kama taifa linalotenda haki na hawakuiacha sheria ya Mungu wao. Wananiuliza mimi kuhusu hukumu ya haki; wamepata furaha katika mawazo yao ya kwa kumkaribia Mungu
3 Wherefore haue we fasted, and thou seest it not? we haue punished our selues, and thou regardest it not. Beholde, in the day of your fast you will seeke your will, and require all your dettes.
Kwa niini tulifunga; walisema, 'Lakini hamkuona hilo? Kwa nini tulijinyenyekeza wenywe, lakini hakutambua?' Tazama, siku ya kufunda kwanu utatafuta furaha yanu mwenyewe na kuwanyanyasa wafanyakazi wenu wote.
4 Beholde, ye fast to strife and debate, and to smite with the fist of wickednesse: ye shall not fast as ye doe to day, to make your voyce to be heard aboue.
Tazama, ninyi mnafunga ili muwe wepesi wa kugombana na kupigana, na kupiga kwa ngumi ya uovu wako; haujafunga leo kuifanya sauti yako isikike juu.
5 Is it such a fast that I haue chosen, that a man should afflict his soule for a day, and to bowe downe his head, as a bull rush, and to lie downe in sackecloth and ashes? wilt thou call this a fasting, or an acceptable day to the Lord?
Kwa uhalisi aina ya mfungo huu ndio ambao ninauhitaji: Siku ambayo kila mtu hunyenyekea mwenyewe, huinamisha kichwa chake chini kama mwanzi, na hutawanya mavazi ya magunia na majivu chini yake? Je kweli unauita huu ni mfungo, siku ya kumfurahisha Yahwe?
6 Is not this the fasting, that I haue chosen, to loose the bandes of wickednes, to take off the heauie burdens, and to let the oppressed goe free, and that ye breake euery yoke?
Hii sio mfungo ambao niliuchagua mimi: kufungua vifungo vya waovu, kufungua kamba za nira, kuwaweka huru walioangamizwa, na kuharibu kila nira?
7 Is it not to deale thy bread to the hungry, and that thou bring the poore that wander, vnto thine house? when thou seest the naked, that thou couer him, and hide not thy selfe from thine owne flesh?
Sio kwamba kula mkate na wenye njaa na kuwaleta masikini na kuwaleta wasio na makazi katika nyuma yako?'' Unapomuana mtu yuko uchi, unatakiwa vumvishe mavazi; na usijifiche mwenyewe na ndugu zako.
8 Then shall thy light breake foorth as the morning, and thine health shall grow speedily: thy righteousnes shall goe before thee, and the glorie of the Lord shall embrace thee.
Halafu mwanga wako utafunguliwa kama jua, na uponyaji wako utachipukia juu kwa haraka; haki yako itaenda mbele zake, na na utukufu wa Yahwe utakuwa nyuma kukulinda.
9 Then shalt thou call, and the Lord shall answere: thou shalt cry and hee shall say, Here I am: if thou take away from the mids of thee the yoke, the putting foorth of the finger, and wicked speaking:
Halafu utamuita, na Yahwe atakuitikia; utalia ukihitaji msaada, na atasema, ''Nipo hapa.'' Ikiwa utaitoa nira isiwepo miongoni mwako, kidole kinachoshataki, maongezi ya waovu,
10 If thou powre out thy soule to the hungrie, and refresh the troubled soule: then shall thy light spring out in the darkenes, and thy darkenes shalbe as the noone day.
Ikiwa wewe mwenyewe utawapa wenye njaa na kuwaridhisha wahitaji katika shida, na giza lako litakuwa kama mchana.
11 And the Lord shall guide thee continually, and satisfie thy soule in drought, and make fat thy bones: and thou shalt be like a watred garden, and like a spring of water, whose waters faile not.
Halafu Yahwe ataendelea kuwaongoza ninyi na kuwa ridhisha ninyi katika mikoa ambayo hakuna maji, Ataimarisha mifupa yenu. Mtakuwa kama bustani iliyonyeshewa maji, na kama mkondo wa maji, ambaopo maji yake hayapungui.
12 And they shalbe of thee, that shall builde the olde waste places: thou shalt rayse vp the foundations for many generations, and thou shalt be called the repairer of the breach and the restorer of the pathes to dwell in.
Baadhi yenu mtajenga tena sehumu za kale zilizoharibiwa; mtatengeneza sehemu zilizoharibiwana vizazi vingi; na mtaitwa ''Mrekebishaji wa ukuta,'' kuwarejesha katika mtaa ya kuishi.''
13 If thou turne away thy foote from the Sabbath, from doing thy will on mine holy day, and call the Sabbath a delite, to consecrate it, as glorious to the Lord, and shalt honour him, not doing thine owne wayes, nor seeking thine owne will, nor speaking a vaine word,
Tuseme kwamba ukigeuza nyuma miguu yenu kutoka safarini katika siku ya sabato, kufanya anasa siku yangu takatifu, Tuseme kwamba umeiita sabato siku ya furaha, na umeiita siku ya Bwana Yahwe mtakatifu na yenye kuheshimiwa. Tuseme kwamba unahieshimu sabato kwa kuacha biashara zako, na hautafuti anasa zako mwenyewe na uzungumzi maneno yako mwenyewe.
14 Then shalt thou delite in the Lord, and I wil cause thee to mount vpon the hie places of the earth, and feede thee with the heritage of Iaakob thy father: for the mouth of ye Lord hath spoken it.
''Halafu utapata furaha kwa Yahwe; na nitaifanya safari yako juu ya urefu wa nchi; Nitakulisha wewe kwenye urithi wa Yakobo baba yenu- maana mdomo wa Yahwe umezungumza.''

< Isaiah 58 >